APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Sema mimi sijui kwanini gari lipo ila sitaki kuendesha,boda boda masela wengi nawajua ila sitaki lifiti,mda mwingine napenda kutembea kwa miguu,tena usiku wa kiza kinene kwa mtu anayejua arusha usiku panakuaje bonge la giza ni makelele ya umbwa kama woteUkiwa na pesa nyingi panda bike, panda ,tax wahi ufike salama haya mambo ya kuwa bahili sanaa ukiwa na pesa nyingi ni hatari sana R.I. P dada wakala