APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Sema mimi sijui kwanini gari lipo ila sitaki kuendesha,boda boda masela wengi nawajua ila sitaki lifiti,mda mwingine napenda kutembea kwa miguu,tena usiku wa kiza kinene kwa mtu anayejua arusha usiku panakuaje bonge la giza ni makelele ya umbwa kama woteUkiwa na pesa nyingi panda bike, panda ,tax wahi ufike salama haya mambo ya kuwa bahili sanaa ukiwa na pesa nyingi ni hatari sana R.I. P dada wakala
Chuga bhana sijui kwa nini wanapenda kufuga mambwa halafu kuyahudumia hawawezi, wanayaacha yanazagaa mtaani kama Njiro kuna ma mbwa kibao, sema sababu moja nahisi watu wa kule ukijisahau tu wanakuvamiaππndo maana mageti mengi kule yana vibao vya makampuni ya ulinzi.Sema mimi sijui kwanini gari lipo ila sitaki kuendesha,boda boda masela wengi nawajua ila sitaki lifiti,mda mwingine napenda kutembea kwa miguu,tena usiku wa kiza kinene kwa mtu anayejua arusha usiku panakuaje bonge la giza ni makelele ya umbwa kama wote
Dawa yake huyo aliekunya ungeenda kwa babu amfanyizie mnduku wake uwashe mwezi mzima na anuke kimavi mwezi mzimaKuna siku nimetoka nje usiku nafungua geti nakuta Kuna mtu kanya mavi fungu kubwa aisee lile tukio lilikiwa la kutosha sana na wakati huo nilikuwa naenda hospital kuchoma sindano za masaa. Yale mavi yalikuwa ya week nzima. Hakuna mtu anaweza kunya fungu lile kwa siku moja. .
Ule ni mkoa wa arusha na waarusha wanapenda kufuga maumbwaChuga bhana sijui kwa nini wanapenda kufuga mambwa halafu kuyahudumia hawawezi, wanayaacha yanazagaa mtaani kama Njiro kuna ma mbwa kibao, sema sababu moja nahisi watu wa kule ukijisahau tu wanakuvamiaππndo maana mageti mengi kule yana vibao vya makampuni ya ulinzi.
π€£π€£π€£ atakua mwanaume uyo nasikia wanaume wanashusha mikubwaKuna siku nimetoka nje usiku nafungua geti nakuta Kuna mtu kanya mavi fungu kubwa aisee lile tukio lilikiwa la kutosha sana na wakati huo nilikuwa naenda hospital kuchoma sindano za masaa. Yale mavi yalikuwa ya week nzima. Hakuna mtu anaweza kunya fungu lile kwa siku moja. .
Kuna mtu nilimpa Hela akanunua sindano na ndimu akaweka kwenye mavi anadai atawasgwa matako. Ila bahati nzuri ilinyesha mvua kubwa Yale mavi yakaenda na maji. .Dawa yake huyo aliekunya ungeenda kwa babu amfanyizie mnduku wake uwashe mwezi mzima na anuke kimavi mwezi mzima
Kumbe umesikia,pia wanaume wanaingiza sanaπ€£π€£π€£ atakua mwanaume uyo nasikia wanaume wanashusha mikubwa
Umenifanya ni cheke sana. Wewe ni boya, Huyo manzi ata kuona wewe ni mwanaume dhaifu na boya maisha yake yote. [emoji23][emoji23]kukimbizwa na sungusungu nilikuwa nipo na bibie fulan hv katika kiwanja cha mpira mchizi naforce nile tunda kimasihara.... aaah ghafla naona sungu sungu hawa hapa mda uo nanii ipo kwenye nani nilitoka mbio ile kinga nilienda kuvulia mbele ya safar uko. nilisikia yule demu akipigwa mikwaj akilia tu
πKumbe umesikia,pia wanaume wanaingiza sana
π€£π€£π€£ atakua mwanaume uyo nasikia wanaume wanashusha mi
Ungeshuka uwaulizeππππMwaka juzi nilikua natoka masasi narud dar ilikua kama saa 9 usiku ivi niliona wanaume wawili wanakimbia mdogo mdogo na maeneo hayo kuna poli hakuna kijiji karibu adi Leo sielew ilikuaje
πππ sasa ungekuwa wewe ndo me ungebaki au mapenz ayo ya kujifanya mwamba yapo kwenye movie za wahindi tuUmenifanya ni cheke sana. Wewe ni boya, Huyo manzi ata kuona wewe ni mwanaume dhaifu na boya maisha yake yote. [emoji23][emoji23]
Weeeee jeuri iyo naipatia wapiUngeshuka uwaulizeππππ
Au uliogopa kubakwa??Weeeee jeuri iyo naipatia wapi
Ndio tena wanaume wawili siwezi kujitoa sadakaAu uliogopa kubakwa??
Au uliogopa kubakwa??Weeeee jeuri iyo naipatia wapi
Kama angekuwa mmoja ungeshuka??Ndio tena wanaume wawili siwezi kujitoa sadaka