Tukio gani baya ulilowahi kukutana nalo usiku?


Usiku kuna mengi
 
Jinamizi ilo
 
Mapatna wetu Iyunga boys. Sema sasa ss haikuwa perfect combo kwa sbb Iyunga enzo tunasoma wao walikua o level pekee. Ss form five na six enzi hzo. Vipi wameshaanzisha A level I hope so.
Yah Mkuu A level ipo na mimi nimepiga hapo Advance mkuu...Hakika Mlikua ma partner wetu..hata sisi tulikua hatusikii kitu kuhusu Loreza aisee...Tunawapenda Toka moyoni hahahaha
 
So sad
 
Miaka ya nyuma (90's), tekinonojia ikiwa bado chini, mabasi yalikuwa yanasafiri hata siku mbili kwenda mikoani. Mabasi hayo yalikuwa yanasafiri usiku na mchana. Sasa safari moja nikiwa naenda mkoa fulani, safari ikiendelea usiku wa manane, tukiwa katika pori kubwa, giza totoro, mtu mmoja akamwomba konda kuwa anataka kushuka. Konda akamwuliza unataka kujisaidia, akajibu, nashukia hapa, nimefika. Watu wa mle ndani ya basi tulishangaa sana! Maana ni msitu mnene hauna dalili ya kukaa mtu. Basi konda akamsihi dereva asimame, na mtu huyo alishuka. Sasa watu mle kwenye basi wakaanza kuulizana, hapa mbona hawakai watu, huyu anaenda wapi. Watu wengine wakasema, usiku huu, tuyaache kama yalivyo. Hapo mahali aliposhukia hata ukipita leo hii mchana kweupe, hakuna dalili ya watu, maana ni msitu mzito sana. Sasa yule jamaa usiku ule alienda wapi na alikuwa peke yake! Kila nikipita maeneo yale huwa najiuliza maswali mengi sana!
 
Aisee usiku sio poa

Siku moja si nipo mitaa za zenj hivy kama saa 5 namsindikiza demu home kwao baada ya kumsindikiza mi narudi fresh sina hili wala lile

Ebwanaa we si kumbe ubaya ubaya walinilia teming nashtuka tayar nimwzungukwa mbele na nyuma nikajua hapa leo kazi

Sehem ilikua kuna ka kigiza hivi nikachomoa pochi nikadondosha chini nataka kuchomoa na smu nakuta jamaa kalita kisu mkononi kikanijeruhi kidgo

Basi wakachkja smu wakatoka nduki

Siku ya pili tukaanza msako si tuje kumshika mmoja aisee nilipasua pumbu zote sasa sjui kua aliishi au alikufa.
 
Atakua anaenda kwa mganga wake, ishu kama hiyo ilitokea siku nimepanda lori, uzuri tulikua na abiria mwingine akasema hapa anapatikana mganga matata wa masuala ya uchumi.
 
Bahati mbaya kama hizo hutokea.!

Kuna siku mzee anarudisha gari nyuma kumbe paka wetu mzur alilala chini ya tair.!

Nililia kushuhudia anavyo jaribu kuinusur roho yake.
 
Bahati mbaya kama hizo hutokea.!

Kuna siku mzee anarudisha gari nyuma kumbe paka wetu mzur alilala chini ya tair.!

Nililia kushuhudia anavyo jaribu kuinusur roho yake.
Inaumiza sana kuona mnyama asiye na jeuri yoyote anaangamia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…