Tukio gani baya ulilowahi kukutana nalo usiku?

Tukio gani baya ulilowahi kukutana nalo usiku?

sasa mbona ukawa unasema toka badala ya kukemea kwa kutumia jina la Mungu wako?
Neno usiogope limetatwa mara 365 ndani ya Bible, sikua muoga na niliposema toooka bila kutaja jina la MUNGU haimaanishi sikua na MUNGU ndani, sijui umenielewa hapo?

Sijui nilichokua nakiota sababu ni nini na sijui ni nini kilipelekea nikaanza kuota nilichokiota, I am telling you I was happy in that dream but ghafla kukatokea muovu mmoja akaanza kunifukuza mpaka home, nmeingia ndani na yeye akawa ametokea ndani

Ushaelewa?.. sikua muoga hata nusu I was ready to fight, I am not that coward, ndio maana nikajivuta ili nipambane ile kuuvuta mwili nageuka najikuta nilikua nmelala

Bado haujaelewa kitu?
 
Napamanya pote hyo mitaa,ndo maana nimeshangaa mi ni zao la Loleza girls ya Enzi zilee. So mitaa hyo naijua. Halafu hapo ni mbali mnoo duuu poleni
Mtoto wa Loleza...Mkuu mi nimepiga Iyunga boys Hapo...Loleza tulikua tunawakubali sana umenikumbusha mbali
 
Neno usiogope limetatwa mara 365 ndani ya Bible, sikua muoga na niliposema toooka bila kutaja jina la MUNGU haimaanishi sikua na MUNGU ndani, sijui umenielewa hapo?

Sijui nilichokua nakiota sababu ni nini na sijui ni nini kilipelekea nikaanza kuota nilichokiota, I am telling you I was happy in that dream but ghafla kukatokea muovu mmoja akaanza kunifukuza mpaka home, nmeingia ndani na yeye akawa ametokea ndani

Ushaelewa?.. sikua muoga hata nusu I was ready to fight, I am not that coward, ndio maana nikajivuta ili nipambane ile kuuvuta mwili nageuka najikuta nilikua nmelala

Bado haujaelewa kitu?
catch you🤜🤛
 
w
Habarini wakuu,
Jana night katika safari zangu za hapa na pale kwenye daladala nipo zangu na deep feeling za kusikiliza music kwa earphones siti ya dirishani macho yakiwa nje kutazama tunavyoikata miti na mito mbalimbali, it was perfect kwangu maana me hupenda kusafiri sana, Huwa safari za usiku zinanisisimua sana hasa ile unakuta mnalikata pori alafu mfano unamuona mtu yupo peke yake maybe ukizingatia giza ni nene na pia mazingira yanatisha ila unakuta huyo mtu maybe haoneshi hofu au pengine ana hofu ila ndo hivyo yupo kwenye mapito yake ya kimaisha pia, Hilo jambo likanifanya niutafakari usiku na matukio yake mabaya niliyowahi kukutana nayo....

Tukio la kwanza, Mimi nililelewa na baba pekee baba alikuwa akinionya sana kuhusu usiku, Alikuwa akinisihi sana niepukane na mizunguko ya usiku kwani ni hatari sana, Mwanzoni nilikuwa simuelewi hadi pale nilipofikia umri wa kubalehe kwenye yale mahusiano ya girlfriend na girlfriend katika zile appointments za hapa na pale siku moja tukapanga tukutane night fulani hivi na mtoto mzuri, Though nilijua nikirudi home itakuwa msala kwa mzee ila sikujali hilo sana maana niliona cha muhimu niende na nirudi salama nikajitusu...
Ile siku niliponea kuuwawa na vibaka kama sio kujeruhiwa na girlfriend wangu alibakwa, so sad ila tulisolve mambo yakakaa sawa kuanzia pale nikagundua usiku ni hatari sana.

Tukio la pili, Hili sio la muda sana
Nilikuwa natoka kazini kuelekea nyumbani, hapakuwa na umbali sana so nikawa natembea kwa mguu barabara ya mandela road kupitia service road nilikuwa nikiongozana na mdada mmoja ambae sikumfahamu ila tulikuwa uelekeo sawa yeye yupo mbele mimi nyuma ghafla wakatokea Majamaa wawili wamepakizana kwenye bike (bodaboda) wakanipita mimi na kumuingilia yule dada kwa mbele wakamblock katika kutahamaki lile tukio maana walifunga breki ya ghafla nilisikia tu wakimuambia yule dada "Tunaomba hilo begi" (dada alikuwa ana begi, Yule dada akaanza kama kuwabwatukia hivi jamaa mmoja kashuka akamsogelea kisha akachomoa pistol akamfyatua mbili za kichwa na kuchukua begi akadandia bike wakasepa, Wakati huo mimi nimebaki kama nimeduwaa tu nisijue nini cha kufanya na hofu ikiwa imenijaa, baada ya sec kadhaa tu watu wakawa wamezingira mwili wa dada yule pale chini, Police wakaja tukaojiwa na kutoa maelezo ya tukio, vipimo vikafanyika mwili wa dada wa watu ukachukuliwa kwenda kuhifadhiwa, Kwa tetesi nilizosikia pale ni kwamba mdada yule alikuwa wakala so, pale alikuwa katoka kafunga hesabu na kwenye begi mule ndo kulikuwa na pesa za hesabu so walimtime, Me binafsi iliniuma sana kuona watu wanamtoa mtu uhai kwaajili ya jasho lake na hiyo ikanifanya nizidi kuamini usiku sio muda mzuri.

Je, wewe ni tukio gani baya ulilowahi kukutana nalo usiku?
akala anachukua pesa za mauzo usiku anachanja nazo mbuga mitaani duh!
 
Kuna siku nimetoka nje usiku nafungua geti nakuta Kuna mtu kanya mavi fungu kubwa aisee lile tukio lilikiwa la kutosha sana na wakati huo nilikuwa naenda hospital kuchoma sindano za masaa. Yale mavi yalikuwa ya week nzima. Hakuna mtu anaweza kunya fungu lile kwa siku moja. .
Hahahahah dah nimecheka kisenge sana
 
Kuna siku nimetoka nje usiku nafungua geti nakuta Kuna mtu kanya mavi fungu kubwa aisee lile tukio lilikiwa la kutosha sana na wakati huo nilikuwa naenda hospital kuchoma sindano za masaa. Yale mavi yalikuwa ya week nzima. Hakuna mtu anaweza kunya fungu lile kwa siku moja. .
Yan tangu asubuhi umeme hakuna niko na joto hasira lakin kiukweli nimecheka mpaka nimejamba aisee dah
 
Kuna siku nimetoka zangu sehemu nimeshuka buguruni sokoni ili niweze kuunga gari nyingine kwa ajili ya kwenda magomeni,muda huo ni kama saa 5,nimekaa stand kusubiria gari kumbe pembeni ya lile soko kulikuwa na vijana wanacheza kamari ile ya wachina ya mia mbili mbili,hamadi kusimama kwangu pale kumbe kuna asikari wa doria wa kituo cha buguruni wakawa wanataka kuwakamata wale vijana walikuwa wengi kidogo si wakapiga filimbi na kuwaambia simamemi mpo chini ya ulinzi kukawa na mkimbizano nikajikuta nimesimama kati nawaangalia jinsi wanavyokimbizana ila baadhi yao walikamatwa......hapo moyo wangu unadunda mapigo ya moyo kama yote sintasahau iyo siku kwakweli,ila kutembea usiku panahitaji ujasiri sana
 
Yan tangu asubuhi umeme hakuna niko na joto hasira lakin kiukweli nimecheka mpaka nimejamba aisee dah
😂😂 Yan maji yametoka Leo at least nimeoga mara mbili Jana nikipiga deshi na umeme hakuna joto kama lote😂😂😂😂
 
Nilishuhudia mbwa wangu akifa tena niliua mwenyewe pasipo kujua.....Home tulikuwa tunafuga chairfire muda ukifika wa ada tunauza tunalipa....nimesoma kwa njia hiyo....sasa sikuhiyo chairfire alitoka bandani so nikawa nafukuzia ile night ili aingie bandani mdomoni nimebana simu ya mama nipate mwanga....mkono mmoja nimeshika nyundo na msumari wa kureplace pale alipotokea chairfire.....nikaona ananizungusha tu haingii bandani,si nikainua nyundo nimwotee makalio ....daaa si mbwa wangu akawa kajitokeza alikula nyundo ya kichwa...akazimia akajazinduka bembeleza samaki ale wapii....nikaamua nikalale kuamka asubuhi kamanda kafa.... 😭 😭😭nalia mpaka Leo jamani ....I killed it mweee.....yaan daaa.
 
Mtoto wa Loleza...Mkuu mi nimepiga Iyunga boys Hapo...Loleza tulikua tunawakubali sana umenikumbusha mbali
Mapatna wetu Iyunga boys. Sema sasa ss haikuwa perfect combo kwa sbb Iyunga enzo tunasoma wao walikua o level pekee. Ss form five na six enzi hzo. Vipi wameshaanzisha A level I hope so.
 
Kuna siku nimetoka zangu sehemu nimeshuka buguruni sokoni ili niweze kuunga gari nyingine kwa ajili ya kwenda magomeni,muda huo ni kama saa 5,nimekaa stand kusubiria gari kumbe pembeni ya lile soko kulikuwa na vijana wanacheza kamari ile ya wachina ya mia mbili mbili,hamadi kusimama kwangu pale kumbe kuna asikari wa doria wa kituo cha buguruni wakawa wanataka kuwakamata wale vijana walikuwa wengi kidogo si wakapiga filimbi na kuwaambia simamemi mpo chini ya ulinzi kukawa na mkimbizano nikajikuta nimesimama kati nawaangalia jinsi wanavyokimbizana ila baadhi yao walikamatwa......hapo moyo wangu unadunda mapigo ya moyo kama yote sintasahau iyo siku kwakweli,ila kutembea usiku panahitaji ujasiri sana
we muoga sana ndugu hadi wa polisi😁😁
 
Nilishuhudia mbwa wangu akifa tena niliua mwenyewe pasipo kujua.....Home tulikuwa tunafuga chairfire muda ukifika wa ada tunauza tunalipa....nimesoma kwa njia hiyo....sasa sikuhiyo chairfire alitoka bandani so nikawa nafukuzia ile night ili aingie bandani mdomoni nimebana simu ya mama nipate mwanga....mkono mmoja nimeshika nyundo na msumari wa kureplace pale alipotokea chairfire.....nikaona ananizungusha tu haingii bandani,si nikainua nyundo nimwotee makalio ....daaa si mbwa wangu akawa kajitokeza alikula nyundo ya kichwa...akazimia akajazinduka bembeleza samaki ale wapii....nikaamua nikalale kuamka asubuhi kamanda kafa.... 😭 😭😭nalia mpaka Leo jamani ....I killed it mweee.....yaan daaa.
Dada muuaji huyu
 
Back
Top Bottom