Tukio gani kwenye soka huwezi kulisahau?

Goli la aguero if I'm not mistaken
 
Gattuso akavua bukta yake mara baada ya dakika 90.
 
Kila nikisikia Agueroooooooooooooooooooooooooooooopp


Nasikitika sana
 
Huyo mjinga ule mpira angempa Mbappe historia isingekuwa hivi ilivyo leo
 
Nilikuwa mwanza hii, kama mshabiki wa Man Utd iliniuma pia!!

Mbaya zaidi mashabiki wa City wakawa wanajisifu kuwa wameshinda ubingwa katika fergie time🤔

Ferguson nae akaanza kuwaita "the noise neighbours"
 
Nilikuwa mwanza hii, kama mshabiki wa Man Utd iliniuma pia!!

Mbaya zaidi mashabiki wa City wakawa wanajisifu kuwa wameshinda ubingwa katika fergie time🤔

Ferguson nae akaanza kuwaita "the noise neighbours"
Miye nilikuwa Kagera,na ndiyo hapo uhamiaji wa kimakundi wa Mashariki wa Arsenal kwenda Mancity ulipoanza Kwa kasi
 
Mechi ya madrid na barcelona santiago benabeu....aise dinho alipiga mpira hatari siku hiyo balaa tupu mpaka mashabiki wa madrid wakampigia makofi. Jamaa alikuwa nyoko.

Fa cup semi finl arsenal vs man utd ryan giggs anawachambua mabeki wa arsenal hatari mno.

Mnchester vs real madrid hatari redondo anapiga backheel matata anampita sijui alikuwa henningburg u huku delima anapiga magoli tuu. Beckhama nae akakiwasha.

Trezequet anafunga golden goal dhidi ya toldo fina ya uero 2000. Hatari.

Aisee mpira bwana bonge la burudani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…