dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 596
- 1,475
Ngonja nifikirie ntakwambia 😃😃Sorry boo♥️
Nikuite nani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngonja nifikirie ntakwambia 😃😃Sorry boo♥️
Nikuite nani?!
[emoji1787]we itakua ni msabato haha usiulize nimejuajeMara ya kwanza kuoa, kwenye usiku wa kwanza wa fungate mke wangu alilala na kanguo kafupi kepesi...alinikwaza sana maana nilikua namheshimu sana na hakuwahi nivalia nguo fupi kabla.
Nikikumbuka kadi yangu ilivyo mezwa pale ubungo centre/sheliNoma
I don't like your avatar 🥲Ngonja nifikirie ntakwambia 😃😃
😀 ATM kamati ya roho mbayaNikikumbuka kadi yangu ilivyo mezwa pale ubungo centre/sheli
Kumbe ATM ni touch sio button nakaa nione inachoendelea
Dk tatu nyingi nasikia tiii tiii tiiiii tiii ndo akili inarudi hapo sina hata nauli acha kabisa
Kwa NiniI don't like your avatar 🥲
You sound like a lady ila.avator ya mbabuKwa Nini
Kukosea ndo mwanzo wa kujua mkuu.Nikikumbuka kadi yangu ilivyo mezwa pale ubungo centre/sheli
Kumbe ATM ni touch sio button nakaa nione inachoendelea
Dk tatu nyingi nasikia tiii tiii tiiiii tiii ndo akili inarudi hapo sina hata nauli acha kabisa 😂😂
Yaani sijui nilifkria nn nilijiona km fala mm wakushindwa kuwa makini mpk kadi imezwe 😃😀 ATM kamati ya roho mbaya
Meditation mpaka nimekuwa Old soulYou sound like a lady ila.avator ya mbabu
Nshatumia almost km mwaka uko sahihiKukosea ndo mwanzo wa kujua mkuu.
Kuweka KONYAGI kwenye frijiHabari wakuu
Mara ya kwanza kujiunga na huduma za kibenki nilienda kwenye tawi la benki wakanisajili ikafika mda wa kufanya kadi iwe active.
Nimeenda kwenye ATM na yule mhudumu akaiweka kadi ndani ya ATM ananiambia chagua lugha, me hapo hata sijui wanabonyeza wapi, akanionesha zile button za pembeni nikachagua, akanambia bonyeza hapa nikabonyeza, akasema weka namba ya siri nikaanza kuijaza.
Sasa yeye akatoka nimemaliza akakawia kuja. Namsubiri mara nashangaa kadi inamezwa nikamuita nikamuuliza mbona kadi imedumbukia tena, akasema aisee ungeitoa dah, me nikamwambia sasa hukuniambia, nilikaa pale saa zima nasubiri wailete dah!
Mara ya pili, nimeenda ATM pekeangu kufika kumbe ile ATM ni ya touchscreen haina buttons za pembeni zipo za namba tu maandishi yale ya pembeni kumbe unatouch, duh nikadata nje kuna bonge la foleni wanasubiri nitoke, naweka kadi naweka PIN nasubiri hola! duh nikaona nitoke hapa nishatolewa ushamba, hata nikaona kuuliza watanicheka nikaenda kutoa kwa wakala, haha dah!
ushamba mzigo
You can meditateMeditation mpaka nimekuwa Old soul
😂😂😂Kasema tuende roomhaha kumbe katukataza ili muende PM [emoji1787]
Bangi😀 okay ana bahati PM yangu haifanyi kazi
Mengine siku nyingine😂ni tamu
Khh khh khh atshh bombocraaat[emoji1787]