Hubble Telescope
JF-Expert Member
- Jan 30, 2025
- 426
- 527
Yes kiongozi Sasa hv najua😀 I hope saivi unajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes kiongozi Sasa hv najua😀 I hope saivi unajua
😆😆 jifunze mapema ndugu yangu ipo siku utakuja ulizwa mbele za watu tena siku hizi hata vijitoto vidogo vinajuwa, wanawake mpaka mabibi utakuja uchekwe na mbibi wa miaka 80😅😅Mpaka Leo sijui namba ila najua ma forward mabeki na Winga wanapokaa ila kinamba mtihani na sijataka ksumbuka
Hakika!Sijaona ushamba hapa!,yaan kutokujua kitu ndio ushamba?! Hata hao wahudumu wenyewe walifundishwa jinsi ya kutumia hizo ATM hakuna aliyezaliwa anajua
😂😂😂😂😂😂kipindi flani mimi mshamba wa wanawake sekondari huko
natongoza binti flani whatsapp akanichomolea basi nikamwambia 'please let's be friends'
akascreenshot ile chat akaiweka status na emoji ya kicheko
aisee niliumia hakuna mfano aise
Na hupewi pia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NIlifikiri ukisha oa unakua unaichapa kila siku,kumbe kuna kuiomba tena.
My avatar is about to give you sleepless nights😹😹😹Qashy Lilith napenda avatar yako njoo utoe kisa chako hapa
Mimi nilikuwa najiona mzungu kinoma yaani najua english siku nikaenda jukwaani kupiga inglish sasa ile kusema "several times(severo taims)" nikasema "severali taimes"
Ila hapo kwenye kuwa na ushamba sijwahi😂nipo makini .[emoji1787] wooii nihurumie
Ulikuwa wa bush😹😹...😀 ahaha nice! kopo ya soda zile za chuma ilinishinda kufungua nikakata na kisu alaa!
Au we msukuma🥲😂🙏[emoji1787]kabisa hapo first time nafika town kushangaa mataa yakibadilika rangi hata kuvuka zebra sijui
Mimi ni msukuma ila mjanja😹😹[emoji1787]umejuaje, wasukuma mbona mnawaonea sana haha
But I'm not
I came up with the namenakuona tu hata hio alias imekaa kijanja hivi maana yake