To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🥴[emoji1787]hii kali ya zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🥴[emoji1787]hii kali ya zote
🤣🤣 Inatakiwa nijue uliyemtag ana Nini na Mimi kwanza😔Monetary doctor umeona anachesama To yeye?
Anapenda vituko vilivyoenda shule.🤣🤣 Inatakiwa nijue uliyemtag ana Nini na Mimi kwanza😔
[emoji1787]wapatwe na zombie apocalypse wawe misukule kabisa haha no kuhurumia mwiziHizo ndo akili sasa an...
Hata mimi nataka hawa watu wawehuke kabisa wawe machizi watokwe na maudenda hapa mtaani..
Kawe kafundisho alafu najikausha kimya
🤣🤣🤣 Okay...alete chake pia tufurahiAnapenda vituko vilivyoenda shule.
Maisha yana majaribu kibao[emoji1787]wapatwe na zombie apocalypse wawe misukule kabisa haha no kuhurumia mwizi
Wee ngoja tuu mi nakwambia mwaka huu kuna jitu litajamba cheche pale mtaani...[emoji1787]wapatwe na zombie apocalypse wawe misukule kabisa haha no kuhurumia mwizi
Ngoja tusubiri🤣🤣🤣 Okay...alete chake pia tufurahi
Fanya kweli mkuu, hakuna kucheka na mwiviWee ngoja tuu mi nakwambia mwaka huu kuna jitu litajamba cheche pale mtaani...
Si wamenipangia sasa na mii nafanya kweli
Hivi inakuwaje mtu mzima anakuwa mwizi, duh...[emoji1787]mambo si ndio hayo mkuu uskae kinyonge kuna fala inabidi aumie, mpe chamtema kuni na chamtema gesi
Sichek mkuu yaan kwanza now takua mkaksi na hawa vijNa maana navocheka nao wananiona mi bwege sasa hv ni mwendo wa kunyoosha tuuFanya kweli mkuu, hakuna kucheka na mwivi
Picha linaanza nimemchek bi mkubwa nimemsimulia kila kitu..[emoji1787]mambo si ndio hayo mkuu uskae kinyonge kuna fala inabidi aumie, mpe chamtema kuni na chamtema gesi
Mpaka Leo sijui namba ila najua ma forward mabeki na Winga wanapokaa ila kinamba mtihani na sijataka ksumbukaMe ilikuwa ni kitambo nilikuwa bado sijui nafasi za kwenye mpira najua tu kipa ni namba moja ila wengine najua ni mabeki, viungo na washambuliaji ila sijui namba zao
Hivyo nikaitwa kucheza nikauliza we unacheza namba ngapi nikasema winga namba nane, jamaa akauliza nini ! nikarudia tena bila wasi wasi basi hapo ilikuwa ni kicheko dakika kama tano nachekwa tu
[emoji1787]Picha linaanza nimemchek bi mkubwa nimemsimulia kila kitu..
Alichofanya kaja dukani pale kachek mazngira alafu kasepa.
Leo asubh ananiambia yupo msumbiji ila kasema nitoe tangazo
😄😄😄😄😄[emoji1787]
New message!
Mtaalam Sumbawanga: umesema alivunja fremu akaiba flat
Poor brain: ndio
mtaalam: na yeye ngoja tumfanye awe flat
Kwacha zile Scania ndefu au Leyland nzito sanakweli ni babukijana sio kwa hizo mbio mkuu [emoji1787] itakuwa ni zile bus za kitambo, kwa hizi bus za yutong mapema tu ushaachwa