secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kiujumla hili swali gumu sana mkuu.Je unaweza kufanya hvo kwa mikono yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiujumla hili swali gumu sana mkuu.Je unaweza kufanya hvo kwa mikono yako
Mbona unajiogopa mkuu...kama ikibidi
Ahahahahhahaha umeona eeeh kuua so poa an hawa watu sijui wafanywe nn sasaKiujumla hili swali gumu sana mkuu.
Kabisa.Hapo mshamba ni yeye mkuu.
Duh mkuu usipokuwa na pesa hata familia inakuona wewe ni jinga hata kama huko nyuma uliwasaidiaMkuu kuna kipindi hom wakawa wananiona mimi kama mbwa koko niliyekosa jina
Yaani kila mtu ananiona mi sina maana aiseee😄😄😄😄Duh mkuu usipokuwa na pesa hata familia inakuona wewe ni jinga hata kama huko nyuma uliwasaidia
Muoga weweahahahaha kuua sio mchezo mkuu ni kisanga
Ila wanatakiwa wachapike kisawasawa mpaka wasema aliyewatuma.Ahahahahhahaha umeona eeeh kuua so poa an hawa watu sijui wafanywe nn sasa
Ila baada ya Ku recover mambo yalikuwaje mkuuYaani kila mtu ananiona mi sina maana aiseee😄😄😄😄
Daaah aiseee ngoja tuone mkuuuIla wanatakiwa wachapike kisawasawa mpaka wasema aliyewatuma.
Ni hatariahahahaha kuua sio mchezo mkuu ni kisanga
Nimeficha location hawajui nipo wapi na nafanya nini anIla baada ya Ku recover mambo yalikuwaje mkuu
Hizi familia zetu hizi...Nimeficha location hawajui nipo wapi na nafanya nini an
kipindi flani kijijini mwizi aliiba mbuzi kama 5, ikapigwa yowe asubuhi wanakijiji wakafatilia wakazikuta kwenye mji mmoja kijiji cha jirani, kumbe mwizi aliiba akapeleka mji anapoishi na ndugu zake, walivyofika wakuchukua mbuzi zao 5 na mbuzi zote walizozikuta kwenye ule mji jumla mbuzi 73, alieibiwa akasema asanteni nimepata mbuzi zangu 5, hizi nyingine mtajua wenyewe mzifanyeje, watu waligawana mapaja hayo, kule kwa ndugu wa mwizi ni kilio na lawama kama zoteAhahahahhahaha umeona eeeh kuua so poa an hawa watu sijui wafanywe nn sasa
Monetary doctor umeona anachesama To yeye?Romans kuiita romance....
Kupita mlango wa dereva ili nikae kwenye kiti Cha abiria
Yaan vingi mno nimepoteana kwa kweli...
Nawaza hiyo siku nimeipanga nipande ndege sijui kama sijaingilia kwenye tajiri🥴
Hizo ndo akili sasa an...kipindi flani kijijini mwizi aliiba mbuzi kama 5, ikapigwa yowe asubuhi wanakijiji wakafatilia wakazikuta kwenye mji mmoja kijiji cha jirani, kumbe mwizi aliiba akapeleka mji anapoishi na ndugu zake, walivyofika wakuchukua mbuzi zao 5 na mbuzi zote walizozikuta kwenye ule mji jumla mbuzi 73, alieibiwa akasema asanteni nimepata mbuzi zangu 5, hizi nyingine mtajua wenyewe mzifanyeje, watu waligawana mapaja hayo, kule kwa ndugu wa mwizi ni kilio na lawama kama zote