Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?

Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?

Kutokana na kuwa mshabiki wa soka na mpondaji wa marefa wa ligi kuu Tanzania bara niliteuliwa kuwa refa katika mashindano ya Mpira wa miguu yaliyoandaliwa na mbunge wetu.
Siku ya Kwanza nikapangiwa kuwa referee wa pembeni yani linesman shida ilikuja pale nilipokuwa nakimbia kuanzia kona hadi kona yaani kutoka kwenye kibendera hadi kibendera na nilikuwa namshangaa mwenzangu wa upande wa pili anaishia katikati ya uwanja nakumwona mvivu wa kukimbia.
Nilipogundua kuwa nilikuwa nimefanya makosa nilijifanya mnyonge na nilihama mkoa.

Nilitamani ningejuana na realMamy na Nifah wangenipa ABC zihusuzo maswala uamuzi.
 
Kutokana na kuwa mshabiki wa soka na mpondaji wa marefa wa ligi kuu Tanzania bara niliteuliwa kuwa refa katika mashindano ya Mpira wa miguu yaliyoandaliwa na mbunge wetu.
Siku ya Kwanza nikapangiwa kuwa referee wa pembeni yani linesman shida ilikuja pale nilipokuwa nakumimbia kuanzia kona hadi kona yaani kutoka kwenye kibendera hadi kibendera na nilikuwa namshangaa mwenzangu wa upande wa pili anaishia katikati ya uwanja nakumwona mvivu wa kukimbia.
Nilipogundua kuwa nilikuwa nimefanya makosa nilijifanya mnyonge na nilihama mkoa.

Nilitamani ningejuana na realMamy na Nifah wangenipa ABC zihusuzo maswala uamuzi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka kwa sauti
 
Enzi za kwacha kutoka Mbeya kwenda Iringa.
Rujewa pale niko na Bro.
Tumezama ndani tupige chai na mayai aisee chai ya moto balaa, puliza puliza pale kumbe bus limepiga honi likatimka.
Aisee tulitoka baru kulifukuzia yule juma ikangaa atasubiri.
Brother alinitangulia mi nilikua nimevaa glocks zile mpya tu.
Da nikaona zinachelewesha
Tupa kule piga mibio mpk bro nikamuacha mbali tu simamisha bus likasimama.dah kucheck bro viatu sina.
Ikabidi dereva asubiri tufwate viatu aisee,
Kulikua hamna watu njiani enzi hizo vinginevyo tusingevikuta.
 
Habari wakuu
Mara ya kwanza kujiunga na huduma za kibenki nilienda kwenye tawi la benki wakanisajili ikafika mda wa kufanya kadi iwe active.
Nimeenda kwenye ATM na yule mhudumu akaiweka kadi ndani ya ATM ananiambia chagua lugha, me hapo hata sijui wanabonyeza wapi, akanionesha zile button za pembeni nikachagua, akanambia bonyeza hapa nikabonyeza, akasema weka namba ya siri nikaanza kuijaza.

Sasa yeye akatoka nimemaliza akakawia kuja. Namsubiri mara nashangaa kadi inamezwa nikamuita nikamuuliza mbona kadi imedumbukia tena, akasema aisee ungeitoa dah, me nikamwambia sasa hukuniambia, nilikaa pale saa zima nasubiri wailete dah!

Mara ya pili, nimeenda ATM pekeangu kufika kumbe ile ATM ni ya touchscreen haina buttons za pembeni zipo za namba tu maandishi yale ya pembeni kumbe unatouch, duh nikadata nje kuna bonge la foleni wanasubiri nitoke, naweka kadi naweka PIN nasubiri hola! duh nikaona nitoke hapa nishatolewa ushamba, hata nikaona kuuliza watanicheka nikaenda kutoa kwa wakala, haha dah!
ushamba mzigo
Unatoka Meatu sehemu gani?
Sio kwa ubaya.
 
Enzi za kwacha kutoka Mbeya kwenda Iringa.
Rujewa pale niko na Bro.
Tumezama ndani tupige chai na mayai aisee chai ya moto balaa, puliza puliza pale kumbe bus limepiga honi likatimka.
Aisee tulitoka baru kulifukuzia yule juma ikangaa atasubiri.
Brother alinitangulia mi nilikua nimevaa glocks zile mpya tu.
Da nikaona zinachelewesha
Tupa kule piga mibio mpk bro nikamuacha mbali tu simamisha bus likasimama.dah kucheck bro viatu sina.
Ikabidi dereva asubiri tufwate viatu aisee,
Kulikua hamna watu njiani enzi hizo vinginevyo tusingevikuta.
kweli ni babukijana sio kwa hizo mbio mkuu [emoji1787] itakuwa ni zile bus za kitambo, kwa hizi bus za yutong mapema tu ushaachwa
 
Enzi za kwacha kutoka Mbeya kwenda Iringa.
Rujewa pale niko na Bro.
Tumezama ndani tupige chai na mayai aisee chai ya moto balaa, puliza puliza pale kumbe bus limepiga honi likatimka.
Aisee tulitoka baru kulifukuzia yule juma ikangaa atasubiri.
Brother alinitangulia mi nilikua nimevaa glocks zile mpya tu.
Da nikaona zinachelewesha
Tupa kule piga mibio mpk bro nikamuacha mbali tu simamisha bus likasimama.dah kucheck bro viatu sina.
Ikabidi dereva asubiri tufwate viatu aisee,
Kulikua hamna watu njiani enzi hizo vinginevyo tusingevikuta.
Babu Kijana we ni noma.
 
Back
Top Bottom