secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Likishatokea limetokea mkuu huwezi kubadisha, cha msingi ni kupambana na kuwa mwangalifu ilikusudi kilichotokea kisijirudie.Kweli mkuu usemalo ila nimerudishwa nyuma
Hakuna kukata tamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likishatokea limetokea mkuu huwezi kubadisha, cha msingi ni kupambana na kuwa mwangalifu ilikusudi kilichotokea kisijirudie.Kweli mkuu usemalo ila nimerudishwa nyuma
Wala hujakosea.Yeah majobless pro max tunasema "pesa zipo nyingi sana ni kutafuta tu namna ya kuzitoa kwenye mikono ya watu zije mikononi mwako"
Kweli kabisa hakuna kukata tamaa.Likishatokea limetokea mkuu huwezi kubadisha, cha msingi ni kupambana na kuwa mwangalifu ilikusudi kilichotokea kisijirudie.
Hakuna kukata tamaa.
Hahaha 😂Kanda ya ziwa wengi nimewaona wengine Air fresh walizikoga kabisa.
Mkuu acha tuu..haha ni kweli kama kipindi nilienda migodini ile local, jamaa kainvest 80M akapata dhahabu ya 20M akaona huu upuuzi akasepa imagine 60M zikateketea ndani ya mwezi mmoja
Kiukweli nitasema wanyongwe kwa sababu mtu kukuibia kitu ulichotafuta kwa jasho lako ni madharau/ yaani anakuona boyaKweli kabisa hakuna kukata tamaa.
Je ikitokea mtu anasema hawa walioiba tuwafanyr nn wewe utasemaje
Kwa lugha nyingine wafeKiukweli nitasema wanyongwe kwa sababu mtu kukuibia kitu ulichotafuta kwa jasho lako ni madharau/ yaani anakuona boya
Hata mimi mkuuMkuu acha tuu..
Haya mambo haya...
Mi nilipitia stage flan hv mpaka leo huwa na despline ya pesa
Ulishoneka 😂😂😂😂😄😄😄Hata mimi mkuu
Yeah, wala hujakoseaKwa lugha nyingine wafe
Sana!Ulishoneka 😂😂😂😂😄😄😄
Ukaletewa umuue utaweza.?Yeah, wala hujakosea
Mkuu kuna kipindi hom wakawa wananiona mimi kama mbwa koko niliyekosa jinaSana!
Je unaweza kufanya hvo kwa mikono yakowezi ni watu wapumbavu wajinga na vilaza yaan anakuibia kitu cha laki1 anaenda kuuza buku ye chamsingi akuibie na apate kahela, mtu mwizi ni wa kuchapa fimbo hata 2500 mpaka afe kabla ya kufariki
Ikithibitika kuwa ndio wahusika wabakiwa wauaweKwa lugha nyingine wafe
Je upo tayar kufanya hvo kwa mikono yakoIkithibitika kuwa ndio wahusika wabakiwa wauawe