Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?

Mara ya kwanza kuoa, kwenye usiku wa kwanza wa fungate mke wangu alilala na kanguo kafupi kepesi...alinikwaza sana maana nilikua namheshimu sana na hakuwahi nivalia nguo fupi kabla.
[emoji1787]we itakua ni msabato haha usiulize nimejuaje
 
Nikikumbuka kadi yangu ilivyo mezwa pale ubungo centre/sheli

Kumbe ATM ni touch sio button nakaa nione inachoendelea

Dk tatu nyingi nasikia tiii tiii tiiiii tiii ndo akili inarudi hapo sina hata nauli acha kabisa
😀 ATM kamati ya roho mbaya
 
Kuweka KONYAGI kwenye friji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…