Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?

Hakuna aliyewahi kujipulizia Dawa ya Mbu akijua Ni pafyumu Kubwa ?
Kaka yangu mtu mzima ameia kwa kuchelewa. Sada kajiopolea mtu mzima mwenzake,
Mimi na ndugu wengine baada ya kuoa tukaenda msalimia na kuvunja kamati mara moja.
Kufika pale shemeji kapika machopo chopo kibao wageni upande wa mume wamekuja.
Moja la pishi alilopika ni samaki. Wageni tumekula tumeshiba tukaletewa maji ya kunawa na sabuni(1a magadi).
Sasa kuna mtu akanawa akanusa mikono kawaida., biharusi mpya akajichukulia point 3 chap, c akachukua air fresh akupulizia watu mikononi ili kukata shombo la samaki.
Aisee tulijibana kucheka pale ila tulivyokuwa tubaondoka njia nzima ni kicheko balaa.
MWenye mke kainama kwa aibu
 
VYoo vya kisasa vile vinaflash maji ukitoka, ndugu yangu mkinga katoka mang'oto aje asafishe macho mjini,
Tukaenda kwenye hotrl kubwaile anamaliza kukojoa akasikia pyaaaaa, wacha asituke aseme lukolo mjini ukikojoa na choo kinajibu mapigo aisee....
[emoji1787][emoji1787] πŸ˜€ πŸ˜€ Dah nimecheka
 
haha πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Chai
 
Mwaka gani huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…