Mkuu nunua Azam,lipia kifulushi cha 23000/_,cheki mieleka kila jumapili,jumatatu,jumanne saa tatu kamili usiku channel MBC ACTION,au jumapili SAA tatu asbh,au SAA Tisa mchana channel MBC POWER PLUS.Naomba mnifahamishe hizo ngumi/mieleka ya akina Umaga, Roman Reins n.k mnaipata Kwa kutumia vifurushi gani? Je ni star times ? Au Azam au DSTV ?
hyo channel haipo kwenye MOBDRO au ntawezaje kucheck kwa simu?Mkuu nunua Azam,lipia kifulushi cha 23000/_,cheki mieleka kila jumapili,jumatatu,jumanne saa tatu kamili usiku channel MBC ACTION,au jumapili SAA tatu asbh,au SAA Tisa mchana channel MBC POWER PLUS.
Mm huwa naangalia kwa kupitia youtube... Ila chanel ya e.tv huwa inaonesha kila siku kuanzia saa nane na nusu mchana..Naomba mnifahamishe hizo ngumi/mieleka ya akina Umaga, Roman Reins n.k mnaipata Kwa kutumia vifurushi gani? Je ni star times ? Au Azam au DSTV ?
For sure...Trump sio mtu wa sport sport
Steve austin humpendi..Mm nlikuwa nampenda sana the rock...
Hachelewi kuingiza white house totoz hhhLeo huyu muhuni ndo muheshimiwa sana kwa bongo mngeweza?
SimjuiSteve austin humpendi..
Bikira latifah?[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji2]
Hahaha soon ataiweka nchi(USA) yake as betting property
Ha haaaaNajua ni wachache wanaokumbuka tukio hili
Hili ni tukio la kuvutia na la kusisimua ndani ya mieleka ya WWE lililopewa jina la "THE BATTLE OF THE BILLIONAIRE`S"
Ulikuwa ni mpambano mkali kati ya Mabwenyenye(Matajiri) Donald Trump na Mmiliki wa WWE Vince Mackmahon
Katika tukio hili Matajiri hawa walisaini mkataba ambao kila mtu atakuwa na mpiganaji wake ambao watapambanishwa usiku wa "Monday night raw"
Mackmahon alimsajili "UMAGA " kama mpiganaji wake ambaye kwa sasa ni marehemu
View attachment 431936
Na Tajiri Trump alimsajili Bob Rashley kama mpiganaji wake
View attachment 431933
Katika mkataba huo, waliwekeana kuwa katika mpambano wa umaga na Bobrashley,,,Atakayepigwa ni lazima bosi wake anyolewe nywele zote abakie na upara
~kama angepigwa Bobrashkey Donald Trump angenyolewa upara
~Angepigwa Umaga Vince mackmahon angenyolewa upara
Siku ya pambano Refa alikuwa ni Steve Austin
Angalia video hapa
View attachment 431932