Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Sio mbaya, yaani mwanmke alalwe na bwan ake huko ndiye aje atuongoze sisi?
Mwe! punguza font aiseee duuuSio mbaya, yaani mwanmke alalwe na bwan ake huko ndiye aje atuongoze sisi?
bongo bangraHakuna ubabe apo. Ayo ni maigizo tu
Unamjua mama yangu wewe? Sijawahi kuw na undugu na mzunguAcha matus yako yule ni sawa na mama yako
Jamaa atakuwa ceo uchwara, anapenda ripoti tuMkuu angalia hiyo clip ya video
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
umaga makalio
Mie nilikuwa Team UnderTaker jamaa alikuwa ananifurahisha anakuja na jeneza ulingoni mara taa izime aisee alinikosha sana
Alimtumia kuvuna au kuongeza utajiri wake na siyo kwa upendo[emoji85] !!Mnasema hapendi watu weusi mbona alimtumia huyo mweusi?
najua mkuu..Umaga alisha-dead kitambo
GamblerTrump hana historia ya kuashindwa
Mm nlikuwa nampenda sana the rock...