lumimwandelile
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 308
- 286
kubeba sio kunywa. walibeba ili wanywe wakitoka porini. nadhan alimaanisha hivyoKweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?
Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.
Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.
Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )
cc Kitoabu
View attachment 1624286
Ungeachana nae kimya kimya tu sio lazma uonekane umeandika na wewe. Story iwe ya kweli au ya uongo, kama imepangwa vizuri na inavutia watu lazma wawe tayari kuisikilizawewe ni mbabaishaji kama wengine tu.
Mods waitwe hapa waifutilie mbali story yako hii.
Mkuu soma vizuri uelewe setting ni Mozambique na ni kijijini machimboni huko habari ya mkoa gani inatoka wapi Bwashee?2015 mkoa/nchi gani hiyo vilitokea vifo vingi ila havikuvuma kwenye mitandao ya kijamii?
Ungeachana nae kimya kimya tu sio lazma uonekane umeandika na wewe. Story iwe ya kweli au ya uongo, kama imepangwa vizuri na inavutia watu lazma wawe tayari kuisikiliza
Kuna dragon nyingine ni energy drinks tuKweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?
Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.
Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.
Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )
cc Kitoabu
View attachment 1624286
Kabisa mkuu...lazima tushee stori tofauti tofauti.....dunia Ina mengi hii....Ila kwa wengine wanaweza kudhani ni chaiHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha nimepata muda wakustorika na wanandugu bhana.
Si Unajua hii ni JF, ime kusanya watu wa aina mbali mbali kutoka pande zote za dunia.
mlio ndo baruti au?Ishubya machimbo huwezi kuilewa mpaka hi uwe karibu na hayo maeneo hawa jamaa wanapata hela sanaaa.....
Sasa kuna muda mlio unatokea kwenye shamba la mtu unakuta hata heka 50 ni ya mtu anaamua watu wafanye yao na wana mmpa %kadhaa kwa kila kiwango fulani cha mawe (kesi ya dhahabu naongelea hapa)
Sasa hapa unakuta eneo lote lina maduara kama 15 active na yanatoa mzigo wa maana ila utamkuta mwenye shamba kalewa kuanzia asubuhi mpaka jioni anasubiri share tu...
Na kipindi hiki mlio ukiita tu SERIKALI ishatia timu ni mwendo wa mirabaha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanamaindi kinoma.
We jamaa mbona stori zako za Moto iviBaada ya laana kukithiri polini, Mwenye (chifu) akawatangazia wanakijiji wenzie wawakataze vijana wao wasiingie polini.
Kwakua watu tulikua wengi hakuna alie jua kua wenye kijiji wametususia poli.
Laana iliendelea mpaka ulipo lipuka ule ugonjwa.
****************************************************************************************
Baada ya story hiyo kutapakaa karibu kwa kila mchimbaji, mala majadiliano yalianza.
Kwanza tulijiuliza kama ule ugonjwa ni kweli kipindu pindu mbona tulivyo fika kijijini pale na ugonjwa ulikoma?
Kulikua kuna watu walikua wanaeza habari za mzungu kutia sumu kwenye maji tuliyo kua tunatumia kwenye shughuli zetu mbali mbali.
Lakini swali likaja, kama nikweli sumu, mbona wanaokufa ni wanaume tu? ( na nikweli, kwenye kisanga hichi hakuna mwanamke alie kufa)
Tena ukizingatia walikua wanakufa wengi ni wanunua dhahabu, wafanya biashara wengine, na wanaozunguka na vingwendu.
Kumbuka watu hao wote, machimboni hunywa maji ya dukani.
Jibu likaja kua kuna masharti yamevunjwa.
Watu wakatiana moyo wa kwenda tena polini.
Ikapangwa siku, mwenye kutaka kwenda polini aungane twende.
Nikajifikilia, na mimi nikajipa ujasili wa kuungana na kikundi kitacho rudi tena polini.
Kilicho ni shawishi kikubwa niliamini kuna watu wengi walikua wamekufa na dhahabu mfukoni, hivyo niliamini lazima nirudi na dhahabu.
Pili nilikua nashauku ya kujua kama Wamisunjo alifia pale ama alitoboa mpaka kijijini?
Kulipo kucha safari ilianza.
Safari ilikua ya mtu kama 20+ hivi.
Ila kabla ya safari tulikubaliana hakuna mtu kubeba bange, sigara wala pombe.
Safari ilianza rasmi ya kuelekea polini, njiani tunapishana na maiti, upigi hatua kumi bila kukutana na maiti.
Asikuambie mtu binaadam akifa ananuka balaaa.
Yani ilikua ni mwendo wa kushikapua mpaka unataka kutapika.
Tulitembea mpaka pale tulipo muacha Wamisunjo, nikamkuta jamaa wamemjalia nzi tu, yani hata kumkalibia nilishindwa kwa huzuni.
Safari iliendelea mpaka tunafika matandani.
Tulipo fika matandani, maiti zenyewe hizo! Kama kwenye movies vile.
Kila upande zime jazana maiti tu, kuna harufu mbaya, kama huna moyo wa ujasili lazima utapike.
Tulizunguka polini pale lakini tulishindwa kufanya kazi kutokana na hali halisi.
Tukajadiliana kwamba watu kumi wafuate petrol watu wengine tubaki tukizisomba maiti na kuzi weka sehem moja kisha tuzitie moto.
Kwa wingi wa maiti zile na kuharibika vile ilikua ngumu kuzizika, hivyo wazo wa kuzichoma moto lilikua wazo zuri.
Tukatafuta sehem mbali kidogo na matandani, tukalala.
Hapo uliwashwa moto mkubwa, hapo ni story za kupeana moyo tu husu maisha, kila mtu anaongea lake mpaka asubuhi.
Kulipo kucha wale kumi walielekea kijijini kufuata petrol, na sisi wengine tukaanza kuzisogeza maiti sehem moja (zile zilezo kalibiana.
Mfano fungu moja unakuta maiti tano, fungu lingine watatu kutokana na ukaribu walipo fia.
Nakumbuka mimi na brother mmoja (huyu ni mmalawi) tuliingia ndani ya duka moja hivi, tukamkuta mwenye duka kafa kwenye kiti chake kaa tu.
Tulipekua duka lote (japo kunanuka)mara ya kwanza tuliambulia pesa tu, jamaa nilie nae akania huyu maiti alikua ananunua dhahabu pia hivyo tuwe makini katika kusachi kwetu tusije pishana na dhahabu.
Harakati za kumsachi mfukoni, tukamvua viatu, wapi?
Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.
Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.
Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )
Siku ilisha tukizikusanya maiti tu na kuzisachi, mwenye bahati ya kukutana na dhahabu ni ya kwake.
Tulipo gundua kua maiti nyingi zimekufa na dhahabu mikoni, kazi ya kuzikusanya haikua ngumu tena, wala kile kinyaa kikapotea.
Tukaanza kuzigombania maiti kila mtu anataka kusachi, mwisho wa siku tukaingiwa na kama wazimu hivi.
Nakumbuka kuna jamaa walizichapa (nusura wauwane ) wakiigombania maiti moja hivi.
Kuna mmoja kati yao anadai anamfaham malehemu, hivyo yeye ndie mwenye haki ya kuchua dhahabu ya marehem......
Narudi muda si mrefu.
Mchimbaji maisha yake anatembea na sururu ndogo tu wanaita MOKO hivyo akiambiwa ahame au Kuna machimbo mapya yanatema dhahabu wala hana cha kubeba zaid ya sururu yake na kusepa, wengi wao hawajarudi nyumban kwao kwa miaka mingi sana maisha yao yamekua ni ya kuhama hama kwenda machimbo mapya sehem anaposikia dhahabu imetema.Ishubya machimbo huwezi kuilewa mpaka hi uwe karibu na hayo maeneo hawa jamaa wanapata hela sanaaa.....
Sasa kuna muda mlio unatokea kwenye shamba la mtu unakuta hata heka 50 ni ya mtu anaamua watu wafanye yao na wana mmpa %kadhaa kwa kila kiwango fulani cha mawe (kesi ya dhahabu naongelea hapa)
Sasa hapa unakuta eneo lote lina maduara kama 15 active na yanatoa mzigo wa maana ila utamkuta mwenye shamba kalewa kuanzia asubuhi mpaka jioni anasubiri share tu...
Na kipindi hiki mlio ukiita tu SERIKALI ishatia timu ni mwendo wa mirabaha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanamaindi kinoma.
Hapana mkuu ila nko jirani na hapoUpo mgodi wa Laizer nini mkuu?...nifanyie mchakato basi.
Hao ni wale waliokua hawajielewi,wachimbaji wenye akili wamefanya mengi ya maendeleo.Maisha ya uchimbaji madini ukishaingia kutoka ni ngumu mno,nina jamaa yangu aliwahi ishi Mererani 10yrs anasema walikuwa wanapata madini ya pesa nyingi lakini wakishauza wanakwenda kutumbua mpaka hela inaisha then wanaanza moja,alikaa huko mpaka akili ilipomrudia akaamua kuachana na hizo shughuli na pia alitoka akiwa amechoka vibaya kiuchumi...
We jamaa kama ni kweli yote haya na unayashuhudia, basi ni miongoni mwa watu majasiri sana hapa duniani.Nimekuelewa mkuu.
Tatizo maisha ninayo ishi ni mchaka mchaka kinoma.
Mfano jana usiku kucha tumekesha hospital, kuna mtanzania mwenzetu (mtoto wa songea) kapigwa shoka na mrundi.
Hivi ninavyo andika, mtanzania mwenzetu ishakula kwake, akipona sijui!!!
Kitacho tokea hapa, ni mapambano ya Wabongo na warundi hapo baadae, maana Wabongo wameapa kutokukubali.
Kwahiyo Kiufupi muda wa kukaa na kuandika kwa utulivu nakua sina.
Cha muhimu tuvumiliane.
Mkuu itoshe tu kusema hela za masimboni zina laana . hao jamaa hata wakipata hela nyingi zinaishia kwenye starehe ya wanawake na uleviπππ
Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
πππ mlio maana yake 'Taarifa inayosambaa ikieleza kupatikana kwa dhahabu au madini mengine sehemu fulani'mlio ndo baruti au?
Mkuu huyu jamaa kaongelea dragon energy siyo hiyo ya kilevi, dragon energy zinatumika sana kwa madereva na watu wanaofanyakazi ngumu hasa za kukesha..Kweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?
Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.
Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.
Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )
cc Kitoabu
View attachment 1624286
Huko mbeleni iandikie kitabu hii storyUmenifanya nimecheka mpaka basi.