Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

tutajuaje km umeuhamisha huu uzi wa pete ya dhahabu ba kidani chekundu
hebu malizia humuhumu itanogo
sasa hali ya mitandao sio mizuri kila kitu wanadhani ni siasa kwa hiyo kugundua wapi kuna uhondo ni shida, labda utatuhamisha kwa link au kutag
Nitawatag wote waliopita kwenye huu uzi. Kuanzia leo naanza kujiandaa alafu nitautuma wote kwa pamoja bila like kipengele kinachochukiwa na wengi cha "ITAENDELEA"😆😆
 
Nitatoa taarifa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…