Tariq Mimi
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 368
- 717
Ushawahi kusikia kitu wanaita QT?Hainogi bana ingekuwa mtihani unajibu humo humo maswali tofauti unakuwa ushafeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kusikia kitu wanaita QT?Hainogi bana ingekuwa mtihani unajibu humo humo maswali tofauti unakuwa ushafeli
Hizi ndio field zako mkuu. Hivi malisa trafik usa bado yupo?Unaenda kukata gogo
Mkuu Simulia basi!tutajuaje km umeuhamisha huu uzi wa pete ya dhahabu ba kidani chekundu
hebu malizia humuhumu itanogo
sasa hali ya mitandao sio mizuri kila kitu wanadhani ni siasa kwa hiyo kugundua wapi kuna uhondo ni shida, labda utatuhamisha kwa link au kutag
Kila siku tunabishana jambo hili....
Haya bhana!
Vipi lkn kuhusu Lampard unamkubali au tim Lampard out?
Simfahamu hiloUshawahi kusikia kitu wanaita QT?
Nitawatag wote waliopita kwenye huu uzi. Kuanzia leo naanza kujiandaa alafu nitautuma wote kwa pamoja bila like kipengele kinachochukiwa na wengi cha "ITAENDELEA"😆😆tutajuaje km umeuhamisha huu uzi wa pete ya dhahabu ba kidani chekundu
hebu malizia humuhumu itanogo
sasa hali ya mitandao sio mizuri kila kitu wanadhani ni siasa kwa hiyo kugundua wapi kuna uhondo ni shida, labda utatuhamisha kwa link au kutag
Nitatoa taarifa mkuuMkuu vipi malizia hapa hapa, mbona kila kitu kinaeleweka, sema labda kama unataka kuanzisha uzi wako tu mwingine ila hata hapa mambo yameenda poa tu. Kama utaamua kuanzisha uzi basi tupe taarifa humu kua umeuanzisha au utaunzisha lini tuje tumalizie hapa ulipoishia.
Poa poa@fydell mkuu unitag pls
Kwa kitendo alichokifanya pale na hofu niliyokuwa nayo nasema alikuwa anafunua netiDah, ni bongo tu majini yanafunua neti ili yapande kitandani[emoji23][emoji23][emoji23]. Ndio kama ile ya kwenye bongo movie jini kuangalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka barabara
Usiache kunitag mkuuNitawatag wote waliopita kwenye huu uzi. Kuanzia leo naanza kujiandaa alafu nitautuma wote kwa pamoja bila like kipengele kinachochukiwa na wengi cha "ITAENDELEA"[emoji38][emoji38]
nifundisheni namna ya kutag
wow [emoji2956]