Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

tutajuaje km umeuhamisha huu uzi wa pete ya dhahabu ba kidani chekundu
hebu malizia humuhumu itanogo
sasa hali ya mitandao sio mizuri kila kitu wanadhani ni siasa kwa hiyo kugundua wapi kuna uhondo ni shida, labda utatuhamisha kwa link au kutag
Nitawatag wote waliopita kwenye huu uzi. Kuanzia leo naanza kujiandaa alafu nitautuma wote kwa pamoja bila like kipengele kinachochukiwa na wengi cha "ITAENDELEA"😆😆
 
Mkuu vipi malizia hapa hapa, mbona kila kitu kinaeleweka, sema labda kama unataka kuanzisha uzi wako tu mwingine ila hata hapa mambo yameenda poa tu. Kama utaamua kuanzisha uzi basi tupe taarifa humu kua umeuanzisha au utaunzisha lini tuje tumalizie hapa ulipoishia.
Nitatoa taarifa mkuu
 
Back
Top Bottom