Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

wilaya ya makete, kata ya matamba, kuna poli pale katika shule ya sekondali ITAMBA linaitwa kisulike, kuna mzungu alikuwa mbishi aliingia na farasi hakutoka mpaka leo

ilo poli ukingia utoki unabaki humo humo ,kuna siku bange zetu zikatutuma tuingie humo ,si unajua watoto wa dar tunaosoma mkoa, tunakua viburi
 
twende kazi
 

Pole sn mkuu
 
Mkuu hapa jf watu ndio walivyo..hamaanishi alichoandika anafurahisha genge tu.
 
kila lenye kheri baharia
 
Basi siku ya sita sikuoga ile dawa na nilishadharau, natoka seminar room (kwa mliosoma au mnaopafahamu Udsm ukishamaliza vimbweta vya hapa chini ya UDLS ili nivuke barabara kwenda hall 1) nikamuona yule mzee mbele yangu kama mita 30 hivi amesimama akiniangalia. Aisee nilitimuwa mbio kurudi SR nikawa napishana na wenzangu wanaorudi hostel, wengi waliniona kama nimechanganyikiwa, kufika SR niliyokuwa ninajisomea nikaingia na kujikausha huku nikitetwa. Rafiki zangu ambao niliwaacha wakanishangaa vipi mbona umerudi na ulisema hujisikii kusoma leo? Nikawaambia nawasubiri mmalize twende wote. Nikawa nasali kimoyo moyo na kunuia yale maneno aliyotuambiaga shekhe. Nilirudi SR kwasababu kuna room mate wangu wawili kwahiyo wakati wakutoka tutaongozana pamoja kwa moja mpaka room. Nikampigia simu mzee na kumweleza, pia nikampigia na shekhe. Shekhe akaniambia nisiogope kwasababu ameshadhibitiwa yule hawezi kunifanya chochote hata nikimwona tena niseme tu yale maneno na kesho niende kwake.
Nikampigia simu mdogo wangu kama kuna kitu kimemtokea, akanijibu hakuna chochote na anafurahia kesho yake anamalizia Ile dawa. Nikamwambia mi sijaoga Ile dawa na nimemuona yule mzee akiniangalia kwahiyo aombe ili lisije linamtokea huko nyumbani maana yeye ndiye aliileta Ile pete ingawa mawazo ya kuiuza nilitoa mimi.
Jimena
 

Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…