Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Mkuu ni kweli ukienda sehemu yenye mkusanyiko mkubwa wa watu eg. Sokoni ukainama chini na kuchungulia kupitia miguu yako unaweza kuwaona majini?
hapana kabisa! huwezi kuwaona , majini hawaonekani kwa macho ya kawaida....na ukimuona kwa umbo la mtu wa kutisha au mnyama wa kutisha au mtu ana kwato na mambo kama hayo ujue ameamua umuone....ila sura yake original ni mission impossible....unless kwa namna za kishirikina nisizozijua kabisa..
 
hapana kabisa! huwezi kuwaona , majini hawaonekani kwa macho ya kawaida....na ukimuona kwa umbo la mtu wa kutisha au mnyama wa kutisha au mtu ana kwato na mambo kama hayo ujue ameamua umuone....ila sura yake original ni mission impossible....unless kwa namna za kishirikina nisizozijua kabisa..
Nimekuwa nafuatilia sana kila unachopost, kiufupi huu uzi umenisisimua na kunifunza mengi sana japo mie sio mtu wa kukoment sana. Mkuu ukifungua uzi wako naomba usiache kunitag.
 
mimi miweke hapa hapa habari yangu kuhusu machimbo haya na actually siyo machimbo ni harakati za kusaka mali alizoacha mjerumani wakati wanaondoka kutuachia nchi

kuna kitu tunafumbwa sana tunafichwa ukweli,wakoloni walipanga kila kilichotokea kwenye makoloni yao na hata yanayotokea sasa yalipangwa na wanajua nini kitafatia baada hata ya miaka kumi kuhusu nchi hizi masikini za afrika

kwamba walijipanga kuondoka ni KWELI,na uhuru hatukupigania,ni wao walipanga sasa watatutawala kwa namna nyingine ili waende wakajenge nchi zao huku wakiendelea kututawala kwa mbali na kuchuma mali zao...viongozi wote wanaokuwa madarakani ni vibaraka wao,hakuna hata mmoja mzalendo wa kweli na nchi yake

nina ushuhuda wa kusema haya,moja kati ya makubaliano yao ilikua ni kuacha mali zao salama na jukumu la serikali ni kuzilinda na kuwaruhusu wakija zichukua hata baada ya miaka mia,haya yapo kimkataba na kila raisi anayeingia madarakani anaambiwa hizi siri....na waliacha mali kweli za kutosha

story yangu sasa inabase kwenye hizi mali,hapa ni madini waliyoacha kwenye misitu ya nyumbanitu huko njombe,safari ya kuzifata hizo mali zilifanya nipoteze ndugu zangu watatu na mimi kunusurika chupu chupu ila kubaki na ulemavu...sitasahau hii safari ya machozi,jasho na damu.

ngoja nikaoge nakuja...
hivi ukiwa na camera drone haiwezekani kuitanguliza huko kuona vitu vilivyopo?
 
hahaha eti limekuja ghafla..
anyway kupunguza wingi wa maneno lakini pia kusaidia kuondoa sintofahamu unatakiwa utambue mkuu majini wako hapa duniani kabla yetu sisi wanadamu namaanisha wao wametutangulia kuja hapa duniani..
hicho ulichokisema ni simple logic tu jini ndio jina asilia la viumbe hao na limeitwa hivyo sababu hawaonekani...... akiwa mwema asiyefanya madhambi kama kuwaingilia wanadamu au machafu mengine anabaki kwenye asili ya kuitwa JINI lakini akiwa muovu anatoka kwenye lengo la kuumbwa kwake anaitwa SHETANI..

majini wazuri wanakaa sehemu nzuri za kheri miskitini, kwenye nyumba za watu wema n.k na wale mashetani wanaishi kwenye vyoo, majalala, misitu mikubwa, masokoni na sehemu panapofanyika mambo machafu na maovu.....na hawa kwa ujumla wao ni jeshi la ibliys ambaye ndie muovu zaidi na kiongozi wao....lakini wao pia wana umma mkubwa kuna wenye nguvu, madhaifu na wenye uwezo wa katikati..

mbele ya uislamu majini na wanadamu na wanyama ni viumbe kwa umoja wao na wanazingatiwa na sheria kwa ujumla wao kila mmoja na haki yake..
Umeelezea vizuri sana Shekh na wengi tumejifunza shukrani kwa kutokua mchoyo wa ulicho nacho, hawa viumbe pia nimepata kuwafahamu kiasi ni tofauti na kukalili maana kama ilivyo ngumu kuwajua binadamu wote ndivyo ilivyo kwao [emoji1][emoji1][emoji1] wana mambo yanafurahisha na kuudhi pia kuogopesha nk ila kwa mtu kamili hawana lolote la kusumbua labda waje kwako kwa njia ya mtu mwingine (wengi wanaita kupandisha walimu,maruhani,mashetani,majini) ndio wazungumze nawe huna tofauti sana na mimi japo mimi sikupendwa kimapenzi.
 
Umeelezea vizuri sana Shekh na wengi tumejifunza shukrani kwa kutokua mchoyo wa ulicho nacho, hawa viumbe pia nimepata kuwafahamu kiasi ni tofauti na kukalili maana kama ilivyo ngumu kuwajua binadamu wote ndivyo ilivyo kwao [emoji1][emoji1][emoji1] wana mambo yanafurahisha na kuudhi pia kuogopesha nk ila kwa mtu kamili hawana lolote la kusumbua labda waje kwako kwa njia ya mtu mwingine (wengi wanaita kupandisha walimu,maruhani,mashetani,majini) ndio wazungumze nawe huna tofauti sana na mimi japo mimi sikupendwa kimapenzi.
Hahahaa usijali mkuu....nashukuru kwa kukazia na kuongezea tuminofu minofu{kwa lafudhi ya kanda ya ziwa}...
na pole kwa majanga yameisha lakini?!...
 
hapana kabisa! huwezi kuwaona , majini hawaonekani kwa macho ya kawaida....na ukimuona kwa umbo la mtu wa kutisha au mnyama wa kutisha au mtu ana kwato na mambo kama hayo ujue ameamua umuone....ila sura yake original ni mission impossible....unless kwa namna za kishirikina nisizozijua kabisa..
Mkuu umeanza kuharibu uzi, nakushauri ukae kimya kidogo.
 
hahaha eti limekuja ghafla..
anyway kupunguza wingi wa maneno lakini pia kusaidia kuondoa sintofahamu unatakiwa utambue mkuu majini wako hapa duniani kabla yetu sisi wanadamu namaanisha wao wametutangulia kuja hapa duniani..
hicho ulichokisema ni simple logic tu jini ndio jina asilia la viumbe hao na limeitwa hivyo sababu hawaonekani...... akiwa mwema asiyefanya madhambi kama kuwaingilia wanadamu au machafu mengine anabaki kwenye asili ya kuitwa JINI lakini akiwa muovu anatoka kwenye lengo la kuumbwa kwake anaitwa SHETANI..

majini wazuri wanakaa sehemu nzuri za kheri miskitini, kwenye nyumba za watu wema n.k na wale mashetani wanaishi kwenye vyoo, majalala, misitu mikubwa, masokoni na sehemu panapofanyika mambo machafu na maovu.....na hawa kwa ujumla wao ni jeshi la ibliys ambaye ndie muovu zaidi na kiongozi wao....lakini wao pia wana umma mkubwa kuna wenye nguvu, madhaifu na wenye uwezo wa katikati..

mbele ya uislamu majini na wanadamu na wanyama ni viumbe kwa umoja wao na wanazingatiwa na sheria kwa ujumla wao kila mmoja na haki yake..
Nimeanza kukufatilia tangu unaanza kujibu swali la kwanza kwa jamaa huyo anayekuuliza maswali, ubarikiwe sana, kuna elimu nimeipata hapa aisee, nilichopenda huchoki kujibu, aisee Mungu akuzidishie kwa kila lenye heri utalofanya, ahsante sana
 
hahaha eti limekuja ghafla..
anyway kupunguza wingi wa maneno lakini pia kusaidia kuondoa sintofahamu unatakiwa utambue mkuu majini wako hapa duniani kabla yetu sisi wanadamu namaanisha wao wametutangulia kuja hapa duniani..
hicho ulichokisema ni simple logic tu jini ndio jina asilia la viumbe hao na limeitwa hivyo sababu hawaonekani...... akiwa mwema asiyefanya madhambi kama kuwaingilia wanadamu au machafu mengine anabaki kwenye asili ya kuitwa JINI lakini akiwa muovu anatoka kwenye lengo la kuumbwa kwake anaitwa SHETANI..

majini wazuri wanakaa sehemu nzuri za kheri miskitini, kwenye nyumba za watu wema n.k na wale mashetani wanaishi kwenye vyoo, majalala, misitu mikubwa, masokoni na sehemu panapofanyika mambo machafu na maovu.....na hawa kwa ujumla wao ni jeshi la ibliys ambaye ndie muovu zaidi na kiongozi wao....lakini wao pia wana umma mkubwa kuna wenye nguvu, madhaifu na wenye uwezo wa katikati..

mbele ya uislamu majini na wanadamu na wanyama ni viumbe kwa umoja wao na wanazingatiwa na sheria kwa ujumla wao kila mmoja na haki yake..
hakuna neno mkuu mimi sina tabu nitajaribu kutenga muda niandike mada ndefu lakini isiyochosha kisha ntapost nadhani jukwaa la intelligence....
shukran sana pia..
Naomba utakapoanzisha hio thread uni tag pia mkuu hope hutosahau ID yangu.

Nadhani maswali mengi takuuliza huko, maana kila nikiona maswali yameisha baadae nikiwa offline napata swali lingine tena [emoji28] anyway,, naomba usisahau kutufungulia hio thread pia thanks sana kwa muda wako.
 
hapana kabisa! huwezi kuwaona , majini hawaonekani kwa macho ya kawaida....na ukimuona kwa umbo la mtu wa kutisha au mnyama wa kutisha au mtu ana kwato na mambo kama hayo ujue ameamua umuone....ila sura yake original ni mission impossible....unless kwa namna za kishirikina nisizozijua kabisa..
Nashkuru mkuu,
Vipi kuhusu hili: niliskia kuna maneno (swala) ukitamka mara elfu moja kama sikosei unaweza kumuona jini
 
Nashkuru yameisha ila wamebaki wale wema wenye dini sasa tumekua kama ndugu [emoji1][emoji1] inafurahisha sana wengi wanaonizunguka huwa wanashangaa sana nnavyoishi nao tofauti sana na inavyozoeleka imefanya funzo kujua aina hii ni tofauti sana na story tulizo zoea kuwahusu

Sent from my Infinix X573S using JamiiForums mobile app
Wanajuaje kama unaishi nao
 
matajiri wengi wa njombe story zao za kutisha sana,Njombe ndio uchawi wa utajiri ulikolala...nashangaaga wanaosema kuna sehemu ni wachawi kuliko Njombe.

kule mauaji ya kichawi yameshamiri sana na wachawi wako wazi wazi,tena uchawi wa kule ni wa misukule
Mkuu tunaimba uhadisie mkasa hata mmoja, tupo tayari kukuchangia
 
Jamani nimeishia wanataka kuchoma maiti wakawa kama wamepagawa ameendelea page ipi na ipi maana duu page ya 59 nashindwa kuperuzi zote. Plz kwa atakayeweza nilistia
 
hapana kabisa! huwezi kuwaona , majini hawaonekani kwa macho ya kawaida....na ukimuona kwa umbo la mtu wa kutisha au mnyama wa kutisha au mtu ana kwato na mambo kama hayo ujue ameamua umuone....ila sura yake original ni mission impossible....unless kwa namna za kishirikina nisizozijua kabisa..
Nimewahi ona jini kariakoo aisee sura yake haielezeki wallah, nilichokosea nilikuwa na mtoto tulivokuwa tunajitahidi kumwona na tulivo shtuka akapotea
 
Back
Top Bottom