Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Shetani hanaga rafiki mkuu.
Shetani hana nafasi kwangu,dunia ni pana sana ndugu hata vitabu vitakatifu watu wanachanganyikiwa wakiona Nuhu alizini na bintiye,Rutu naye ilikua mipango yake yeye aliyeweka sheria,baya ama zuri si chaguo letu kamwe hatma huamua nimejifunza sana haya katika maisha usinyooshe kidole kwa mtu bila kujua Mungu anafanya lipi kwake
 
sawa mkuu kila la kheri..
Amin mkuu,nimeshare ili watu wengine wapate kujifunza jambo ama kuongeza ufahamu hakika pote nilipotembea kila aliejua anawaelewa hawa viumbe amebaki kushangaa ama kubisha na wanaojua hubaki kuamini kwa kushuhudia..Ila tukazie kuwa hawana mamlaka yoyote kwa mwanadamu na ukiwaelewa hawawezi kukusumbua hata kidogo imani ya mwanadamu kwa Mungu ni muhimu sana kuliko dini.
 
Mm nilikuwa natumia siku za kawaida,sikujua hyo nyingine,Shukran sana mkuu[emoji120][emoji120]
Siku hizi wadada kila mtu miski ndo habari ya mjini naona! hiyo asili yake tangu kale ni special kwa siku ya mwisho ya kuoga kutoka kwenye period.....inakata harufu na mabaki yote..
shukran zaidi pia mkuu karibu tena..
 
Kwakweli nimempenda mumewe hana shida hapa labda nae ustadh.

Ha hahahahaha ati ustaadh, hapana nimejifunza mwenyewe tu yangu mdogo na naendelea kuzifanyia kazi. Unajiskia raha na salama kama kila wakati mdomo wako utakuwa wenye kuleta dhikr na duaa..... Kila unachofanya tanguliza na duaa kutoka unapoamka mpk unapolala ivo ndivo tulivousiwa na Mtume wetu SAW. Dunia ina mengi hii tunoyaona na tusoyaona
 
Kweli unafeli wewe, hivi vistory vya keyboard vinakuogopesha!! Pole
Tunatofautiana aiseh,, binafsi mimi naogopa hizi issue za majini, ushirikina na huyu mdudu wa kuitwa nyoka.

Hizi ni kama story lakini zina uhalisia, na kama mtu hujawahi ku experience mambo kama hayo toka utotoni lazima uwe na wenge,,

Halafu hofu na emotion zinakua kubwa pale unasoma ila baada ya muda zinaondoka mfano sasa hivi naona nipo fiti kabisa
 
Wengine tukisimulia haya wanadhani ni utani au uongo, kumbe kuna watu tumekutana na vimbwanga vya hawa jamaa. Ile dawa nilikatisha kwa ujinga wangu mwenyewe maana imani yangu ilikuwa nusu nusu. Nusu niwe chizi kwa maneno ya wazazi na wanafunzi wenzangu chuoni.

Isingekuwa yule shekhe kuingila kati na kunichukua kwa visomo na kusimamiwa dawa (nyingine) nimalizie huko viziwani Z'bar, sasa tungekuwa tunaongea mengine.

Dhahabu naichukia, sitakuja kuivaa maana inaniletea kumbukumbu mbaya sana maishani mwangu ingawa nishaizoea hii hali.
 
Mh majini kwa walokole! (Labda kwa walokole feki)
Jini mpenda kitimoto!
Kwa mujibu wa biblia all demons are agents of Satan.
Kwakukaa nao miaka yote hiyo hukuwahi kuwauliza wanatokea wapi?
 
Asante Sana mkuu
 
Exciting mkuu, sasa hua unawaona physically au ni sauti Tu? Na kama ni physically hua wanakuja katika maumbo gani? Ngoma inogile
 
Lazima pana mali. Nasikia wapo wazungu waliojaribu lakini walifanikiwa kuibua bunduki zikiwa bado mpya kwenye makaratasi. Pale pana mali. Ila nina wasiwasi wale wanaopiga kambi pale wanaweza wakawa wamekuja wamejidhatiti wametoa au ni chain ya waliohifadhi. Waliohifadhi hizi mali zote nasikia wanatunza kwenye vitabu jinsi ya kupafikia na namna unavyotakiwa kufanya ili kuzichukua salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…