Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Maneno mazuriiiiiiii..
 
Hahaha sio kwa ubembelezaji huu..
 
Wakuu mm sio mpenzi sana wa kucomment ila ni msomaji na mfuatiliaji mzuri sana na napenda life experience stories. Nawaomba Mbwichichi na fyddell mmalizie stori zenu watu tunaacha kufanya kazi kuangalia kama mshamalizia [emoji120][emoji120][emoji120]
Huyu Mbwichichi na Fyddel kuna kitu wanatutafuta Haiwezekani kutoa story nusunusu
 

 
Nitawatag wote waliopita kwenye huu uzi. Kuanzia leo naanza kujiandaa alafu nitautuma wote kwa pamoja bila like kipengele kinachochukiwa na wengi cha "ITAENDELEA"[emoji38][emoji38]
Teh! Teh! Teh! Teh! Kuna kile kingine kisemacho…….. "Samahani, kuna jamaa nataka kupiga naye stori. Nitarudi baadaye"!!
 
Probably kuna mali mkuu, pia kuna sehemu panaitwa council (wenyeji wanapaita kansel) ipo kama kilomita 10 ukitoka tukuyu kwenda huko kisiba kuna jenga la wakoroni then kuna Locker kama la kuhifadhia documents lilijengewa ukutani watu wamejaribu kulivunja walifungue lakini hakuna alieweza had leo hii.
 
Kutumia misk sehemu za siri sio salama kiafya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…