Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Ha hahahahaha ati ustaadh, hapana nimejifunza mwenyewe tu yangu mdogo na naendelea kuzifanyia kazi. Unajiskia raha na salama kama kila wakati mdomo wako utakuwa wenye kuleta dhikr na duaa..... Kila unachofanya tanguliza na duaa kutoka unapoamka mpk unapolala ivo ndivo tulivousiwa na Mtume wetu SAW. Dunia ina mengi hii tunoyaona na tusoyaona
Maneno mazuriiiiiiii..
 
Pole sana!
Najua sio kumbukumbu nzuri, ila inakubidi uiongelee hiyo hali, ili ifike mahali uione kawaida, hata utakapomaliza kuisimulia kuna ahueni utaipata, na with time hiyo hali itakuwa normal tu wala haitakuwa ya kushtua tena

Hata dhahabu pia anza kuziona kawaida tu ili uondokane na ile hali ya ukiziona tu unaanza kukumbuka tukio zima,
Mi nna pete moja ya gold na naivaa sana ila sijawahi kuona mauza uza ya aina yoyote ile hivyo naomba uanze kuiona dhahabu kwa namna ya kawaida, pengine ingewezekana hata silver kuwa na mauza uza uliyopitia,

Nnachojaribu kusema hapa ni kuwa, tatizo sio dhahabu, tatizo sio pete, tatizo sio kito chekundu (ruby) tatizo lilikuwa kwa mmiliki wa hiyo pete, Nadhani yeye ndio alikuwa na mambo yake kuhusiana na hiyo pete,
My mom aliwahi kuibiwa hereni zake za dhahabu pale mkwajuni, tena alivuliwa mchana kweupe na hatujawahi kuziona zikirudi mpaka leo hii[emoji2][emoji2]
Sanasana ilimbidi tu yeye kununua hereni nyingine!!!

Nakusubiria uje kumalizia stori yetu ili nasi tujifunze zaidi (maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga)
Wewe ni msimuliaji mzuri sana mwandiko umenyooka, tupe tu haki yetu
Hahaha sio kwa ubembelezaji huu..
 
Wakuu mm sio mpenzi sana wa kucomment ila ni msomaji na mfuatiliaji mzuri sana na napenda life experience stories. Nawaomba Mbwichichi na fyddell mmalizie stori zenu watu tunaacha kufanya kazi kuangalia kama mshamalizia [emoji120][emoji120][emoji120]
Huyu Mbwichichi na Fyddel kuna kitu wanatutafuta Haiwezekani kutoa story nusunusu
 
Kweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?

Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.

Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.

Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )

cc Kitoabu
View attachment 1624286

1605685659874.png
 
Nitawatag wote waliopita kwenye huu uzi. Kuanzia leo naanza kujiandaa alafu nitautuma wote kwa pamoja bila like kipengele kinachochukiwa na wengi cha "ITAENDELEA"[emoji38][emoji38]
Teh! Teh! Teh! Teh! Kuna kile kingine kisemacho…….. "Samahani, kuna jamaa nataka kupiga naye stori. Nitarudi baadaye"!!
 
Lazima pana mali. Nasikia wapo wazungu waliojaribu lakini walifanikiwa kuibua bunduki zikiwa bado mpya kwenye makaratasi. Pale pana mali. Ila nina wasiwasi wale wanaopiga kambi pale wanaweza wakawa wamekuja wamejidhatiti wametoa au ni chain ya waliohifadhi. Waliohifadhi hizi mali zote nasikia wanatunza kwenye vitabu jinsi ya kupafikia na namna unavyotakiwa kufanya ili kuzichukua salama
Probably kuna mali mkuu, pia kuna sehemu panaitwa council (wenyeji wanapaita kansel) ipo kama kilomita 10 ukitoka tukuyu kwenda huko kisiba kuna jenga la wakoroni then kuna Locker kama la kuhifadhia documents lilijengewa ukutani watu wamejaribu kulivunja walifungue lakini hakuna alieweza had leo hii.
 
picha ya nini miski ama?!....kama ndio ulichokusudia sio kila miski bali ukifika maduka ya dawa asilia sema nataka miski nyeupe....price inarange 1500-3000tzs na harufu yake ni disturbing kidogo ni nyeupe kama maji.....ila mafuta mazito kwa kukuwepesishia origin ya miski ni mafuta ya swala { gazelle } na miski nyeupe ndio dawa nyekundu ni manukato....ya chenga ni dawa ya upele na matatizo ya ngozi ikichanganywa na vitu fulani....so wewe kaulizie miski
nyeupe.....ukiachana na hayo hapo juu kama una mke akimaliza mzunguko wake wa mwezi awe anapaka ile siku aliyomaliza inaondoa harufu na athari yote ya MP..
shukran..
Kutumia misk sehemu za siri sio salama kiafya.
 
Back
Top Bottom