Misk na hivyo ulivyolinganisha navyo ni vitu tofauti mno.Madhara huwa ni ya muda mrefu mkuu sio ya papo kwa papo.Kuweka misk,limao,asali coke n.k haifai kabisa according to wataalamu wa afya ambao nafikiri ni wabobezi kuliko karne zilizopita katika fani ya utabibu.Sio lazima tuafikiane thou.
umeona ee....sasa muite huyo ugeuke mtumwa wa kumtimizia vile anavyotaka....hata pesa huwezi kufurahia masharti ya moto! huoni mtu ana hela ila anatembelea ndala zimechakaa balaa.....au chooni haruhusiwi kuingia na mguu fulani yan ilimradi majanga..
Sidhani kama uko sahihi..hujafuatilia tu..Kitoabu alimaliza..Mbwichichi nadhani ni majukumu tu..kuwepo kwa uzi zingine sidhani kama tatizo kwani kumefanya wengine tujifunze vingi..yaani jiwe moja limeua ndege wengi..kwa wale wasio wavivu wa kusoma haina shida kabisa.Yaliomfanya Kitoabu afupishe stori yake na asiendelee na mengineyo kwenye comment ndo hicho hicho kimemfanya Mbwichichi ashindwe kuendelea na stori ujuaji mwingi na Uzi juu ya Uzi ndo unafanya Mambo yawe hivi ni Bora mtu afungue Uzi hii itasaidia hata kujua au kuwa na kumbukumbu ya baadae Mana ukisearch tuu kitu kinakuja kwani achilia mbali na kuburudishana hizi stori nazo hutupa elimu na mwanga wa maisha kwa upande mwingine Kama unastori ifungulie Uzi
Malizia story acha maneno mengi ww
Kila nukta ya huu Uzi nimesoma na kwa jinsi store ya Kitoabu alivyokuwa anahadithia kuacha kipande Cha Uzi basi ujue kujibu na kusherehesha comments alikuwa analeta madini makali mno kuliko stori za maendeleo wa uziSidhani kama uko sahihi..hujafuatilia tu..Kitoabu alimaliza..Mbwichichi nadhani ni majukumu tu..kuwepo kwa uzi zingine sidhani kama tatizo kwani kumefanya wengine tujifunze vingi..yaani jiwe moja limeua ndege wengi..kwa wale wasio wavivu wa kusoma haina shida kabisa.
Mnaharibu uzi wa watu haipendezi kwa kweli...nendeni kwenye uzi wa mambo ya siasa huko.Yaani bado unaendelea kudhihirisha ujinga wako tu, kweli we kiboko.
Nimekosea hapo juu, lugha ya watu umenisahihisha na nimekubaliana na hilo, halafu unakuja kusema nimequit, kweli?
Sasa hapo nimequit nini? Kiingereza au? Na huoni kama hilo lilikuwa nje ya mjadala.
Intelligence yako haikuliona hili? na kama hiyo intelligence unayo au unasema tu.
[emoji23][emoji23][emoji23], nitanunua drone yenye uwezo mkubwa nairusha tuhahahaaaaaaa ushirikina una gharama mkuu..
mbona simple?! nenda kule Mbwichichi alikokusema huko msitu wa nyumbanitu utaexperience kila kitu ..
Check mawazo yako sasa! we mtoto balaa tupuBasi kumbe huyu ni mtu kabisa ila tu kilema
Maana ni wazi atakuwa hadi na chura
hahaaha acha tu mkuu yan una pesa za kutosha halafu unaangusha chooni.....sasa hapo sijui unafurahiaje maisha aisee...Mkuu Wengine wanalala chooni wmesimama co poa kisa haya mambo
hahahaah sasa drone yenyewe si ndo itasikia live unapaswa uende mwenyewe kwenye lile shimo uvae miwani ya jua ukipigwa ule mwanga mkali we uko safi tu ..[emoji23][emoji23][emoji23], nitanunua drone yenye uwezo mkubwa nairusha tu
we maliza tu mkuu madini yote yawe hapahapa anayetaka muendelezo atatafuta..mods wanagomea kuanzisha uzi mpya naandika wanafuta..
tutamaliza hapa hapa
kidogo tu...Humu kuna mambo ya kutisha sana
Bora tuendelee hapahapamods wanagomea kuanzisha uzi mpya naandika wanafuta..
tutamaliza hapa hapa
ukimaliza kuandika uni-tag na story uimalize,mambo ya mwendelezo kwa my wife wako hukomods wanagomea kuanzisha uzi mpya naandika wanafuta..
tutamaliza hapa hapa
@Mbwichichi ebu malizia, imevutia lakini imeniogopesha sana stori, kama movie vile, maisha hayamods wanagomea kuanzisha uzi mpya naandika wanafuta..
tutamaliza hapa hapa