Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

nimejistaafisha kwa lazima aisee.....naona nipumzike nifanye mambo mengine vinginevyo kazi itakuwa kuzunguka maporini tu na kuhatarisha uhai......huko tabora kupishana na koboko na usiku kuskia muungurumo wa simba dah hatariii...
Aha ha ha hahaha.! dah karibu mkuu tumechoronga mwamba baruti ndo tumefunga tayari kwa kulipua..
 
Dah kumbe ilibidi hadi vichomwe moto? Inaonekana mambo yalikuwa mazito sana
Ila sijawahi kusikia hela zinachomwa moto nahisi huyo shehe alikula tu[emoji2]
Haha kwa kipindi kile niliamini 100% atachoma ila kwasasa nawezasema sijui Kama aliichoma yule😂😂
 
Naendelea na sakasaka la Pete ya dhahabu na kidani chekundu (kwa maelezo ya Kitoabu ni Ruby) Baada ya kushtuka usiku nilihisi baridi sana likitambaa kwenye mwili, kuangalia chini alipolala baba hayupo. Hofu iliongezeka ndani yangu nikifikiria yule mzee anaweza akaja tena na tuliyokuwa tunamtegemea ni baba kuwepo pale. Nikamuamsha mdogo wangu ili kujipa moyo wa uwepo wa pamoja katika hali niliyoihisi. Nikawa nasikia sauti mtu akilia na kusema "siondoki mpaka mnipe (Kuna neno lilitajwa ambalo sikulijua) vinginevyo nitaendelea kuwafuatilia mpaka wanirudishe kwa (akataja jina jingine la kike, nadhani ni jina la yule mwanamke aliyedondosha Pete). Nikamuuliza dogo unamsikia huyo mtu anayelia? Sauti inatokea wapi? Hakuna aliyekuwa na jibu kwasababu sauti ilikuwa inajaa madikioni mwangu bila kudhihirisha sehemu inayotokea, yaani ni Kama vile nimevaa earphone alafu mtu aongee.
Yule shekhe Kuna maneno alituambia kuwa tukiona Hali ambayo hatuielewi tuyatamke hayo maneno. Nayakumbuka lakini hapa sitayataja. Basi nikaanza kuyatamka yake maneno huku nikitetemeka mdogo wangu akilia kwa kwikwi. Bila kujielewa tulipitiwa na usingizi na kushtuka asubuhi kumeshakucha. Ile Hali haikujirudia kwa muda wa siku tano yaani it was like nothing happened before. Sasa nilikuwa nimesharudi kwenye hali ya kawaida na chuo nilikuwa nikienda na kufurahi na washkaji kama kawaida bila kuwaambia kwanini siku tatu sikuwepo mazingira ya chuo. Ile siku ya sita nilisahau kuoga Ile dawa kuanzia asubuhi mpaka jioni, kilichokuja kutokea usiku wakati natoka seminar room kujisomea haaa.......
 
Pale nilipo kaa (kuwangoja washkaji) usingizi ulinipitia nililalaa mpaka nilipo amshwa na makelele ya washkaji.

Sijui nilitumia muda gani kwenye usingizi ule ila nilipo angalia saa ilikua ni saa 6 mchana.

Nilipo amka nilikutana na kijua kikali utadhani niko Sudan, yani mpaka nguo nilizo vaa zilishaanza kunyauka.

Chakwanza niliwauliza kuhusu yule mmalawi, nikaambiwa bado wako camp wanaendelea kungoja mvua iishe waanze kazi.

Nilipo wauliza vipi kama mvua imeisha huko walikotoka, wakaniambia mvua imenyamaza sasa hivi baada ya kuvuka lile korongo.

Yani kumbe mvua inaanzia kwenye korongo kwenda matandani, ila kulimaliza korongo mvua hakuna.

Tulitembea mpaka kijijini, hakuna alie jua kua mimi nina dhahabu mbeleni.

Tuliingia kijijini saa 2 usiku, hapo tukalala.
Ila kwakua tulisha fika kijijini, kila mtu aliendelea kimpango wake.

Pale kijijini kila mtu anaham ya kujua kulikoni huko porini.
Nakumbuka nilitulia kwenye kiosk cha jamaa flani hivi, kila mtu alikua ananiuliza kuhusiana na porini.

Usiku kucha nilikesha kwenye kile kiosk cha jamaa nikila Royal gin (hii ni pombe kali sana) mpaka kuna kucha.

Kwakua nilikua na pesa ya kutosha niliyo chukua kwenye lile duka la marehem, hivyo ilikua mwendo wa kujimiminia pombe.

Kuna dem alinitamani nika lale kwake, lakini nilikataa kwa kuhofea asiniibie dhahabu yangu.

Migodini wanawake ndio wanaongoza kutuibia wachimbaji.

Kilicho fanyika nikumpa pombe mpaka dem akakimbia.

Asubuhi, sikutaka kulemba, na pombe zangu kichwani, nikakamata piki piki mpaka Montepuez.

Montepuez, hapa ndio kuna soko la madini yote.

Nikaingia kwa msirilanka nikapima dhahabu.

Dhahabu ilikua na uzito wa gram 112, kila gram kwa kipindi kile ilikua 2000 miticais sawa na laki moja shilingi kwa wakati huo.

Nikachukua 224,000 miticais, hapo akili yote inamuaza mama Abuu (Shemeji yenu)

Nakumbuka nilinunua piki piki na mazaga mengine kama nguo.

Nikatuma kama 60,000 miticais (sawa na Milioni tatu kipindi hicho) kwa mama yangu Tanzania, maisha yakaendelea.

MWISHO.

Naahidi kuwahabarishine matukio mbali mbali yanayo / yatayo tokea hapa mgodini nilipo.

Kumbuka kwa sasa naishi Tete, Muatiz, ila kwa hizi mvua zilizo anza kunyesha, nategemea kurudi Cabo del Gado wilaya ya Montepuez, nikatafute Ruby.

Hapa nangoja hii kazi iishe, nione kama nitaokoa chochote kinisogeze kwenye Ruby.
Ahsanteni na kwaherini.
Mkuu unachelewa sana kuleta mrejesho mpaka story zinapandiana thats too bad
 
Naendelea na sakasaka la Pete ya dhahabu na kidani chekundu (kwa maelezo ya Kitoabu ni Ruby) Baada ya kushtuka usiku nilihisi baridi sana likitambaa kwenye mwili, kuangalia chini alipolala baba hayupo. Hofu iliongezeka ndani yangu nikifikiria yule mzee anaweza akaja tena na tuliyokuwa tunamtegemea ni baba kuwepo pale. Nikamuamsha mdogo wangu ili kujipa moyo wa uwepo wa pamoja katika hali niliyoihisi. Nikawa nasikia sauti mtu akilia na kusema "siondoki mpaka mnipe (Kuna neno lilitajwa ambalo sikulijua) vinginevyo nitaendelea kuwafuatilia mpaka wanirudishe kwa (akataja jina jingine la kike, nadhani ni jina la yule mwanamke aliyedondosha Pete). Nikamuuliza dogo unamsikia huyo mtu anayelia? Sauti inatokea wapi? Hakuna aliyekuwa na jibu kwasababu sauti ilikuwa inajaa madikioni mwangu bila kudhihirisha sehemu inayotokea, yaani ni Kama vile nimevaa earphone alafu mtu aongee.
Yule shekhe Kuna maneno alituambia kuwa tukiona Hali ambayo hatuielewi tuyatamke hayo maneno. Nayakumbuka lakini hapa sitayataja. Basi nikaanza kuyatamka yake maneno huku nikitetemeka mdogo wangu akilia kwa kwikwi. Bila kujielewa tulipitiwa na usingizi na kushtuka asubuhi kumeshakucha. Ile Hali haikujirudia kwa muda wa siku tano yaani it was like nothing happened before. Sasa nilikuwa nimesharudi kwenye hali ya kawaida na chuo nilikuwa nikienda na kufurahi na washkaji kama kawaida bila kuwaambia kwanini siku tatu sikuwepo mazingira ya chuo. Ile siku ya sita nilisahau kuoga Ile dawa kuanzia asubuhi mpaka jioni, kilichokuja kutokea usiku wakati natoka seminar room kujisomea haaa.......
Hili jina linanikumbusha mzungu mmoja mtaliano alikua anafanya kazi MESSINA LINES alikua anapenda kusema 'fankuro'
 
Back
Top Bottom