Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Ahsante mkuu, tulishahama ile nyumba.... ule mtaa ulikuwa hauishi vibweka..... watu wenye vichwa vizito wanoona mambo walikuwa hawaishi kuchagawa hata mchana utaskia kelele watu washachagawa wanasema kuna wanga...... mtt yuko poa now ana kama miaka 7 ivi..... na yupo vizuri tu anasoma na muelewa Alhamdulilah. Kuna dada mmoja wa kazi huyo nikikaa nae muda mrefu almost miaka mitano na yeye pia alikuwa anaonaona haya mambo.... kuna siku mida kama 6 usiku ivi mie nishalala nimeshtushwa na kelele kubwa sana.... yule dada analia mie kujua labda kimetokea msiba kapigiwa simu kumbe mume wangu alikuwa na yeye keshashtuka ndio anamtuliza kapandisha majini.....anasema mtt yupo kitandani tunamuona tu pale lkn kiuhalisia kuna watu wamemchkua wapo nae nje kwenye mti pana mti wa bilimbi nje.... bwana weeeee mwili wote ulifanya kama umepatwa na baridi kali.... ikabidi hapo kumsemesha mpk akatulia..... anasema ule mtaa mbaya tena watu majirani tu wana kazi ya kuwachezea wtt kimazingara. Yaani acha tu
Mmmmh hii dunia ina mambo magumu aisee, me naona bora kutoyaona haya mamboo sababu unaweza kuwa kichaa kwa kupiga kelele.
 
Ahsante mkuu, tulishahama ile nyumba.... ule mtaa ulikuwa hauishi vibweka..... watu wenye vichwa vizito wanoona mambo walikuwa hawaishi kuchagawa hata mchana utaskia kelele watu washachagawa wanasema kuna wanga...... mtt yuko poa now ana kama miaka 7 ivi..... na yupo vizuri tu anasoma na muelewa Alhamdulilah. Kuna dada mmoja wa kazi huyo nikikaa nae muda mrefu almost miaka mitano na yeye pia alikuwa anaonaona haya mambo.... kuna siku mida kama 6 usiku ivi mie nishalala nimeshtushwa na kelele kubwa sana.... yule dada analia mie kujua labda kimetokea msiba kapigiwa simu kumbe mume wangu alikuwa na yeye keshashtuka ndio anamtuliza kapandisha majini.....anasema mtt yupo kitandani tunamuona tu pale lkn kiuhalisia kuna watu wamemchkua wapo nae nje kwenye mti pana mti wa bilimbi nje.... bwana weeeee mwili wote ulifanya kama umepatwa na baridi kali.... ikabidi hapo kumsemesha mpk akatulia..... anasema ule mtaa mbaya tena watu majirani tu wana kazi ya kuwachezea wtt kimazingara. Yaani acha tu
Kumbe hii inaendelea Mkuu..haya tunasubiri sehemu ya tatu.
 
Ahsante mkuu, tulishahama ile nyumba.... ule mtaa ulikuwa hauishi vibweka..... watu wenye vichwa vizito wanoona mambo walikuwa hawaishi kuchagawa hata mchana utaskia kelele watu washachagawa wanasema kuna wanga...... mtt yuko poa now ana kama miaka 7 ivi..... na yupo vizuri tu anasoma na muelewa Alhamdulilah. Kuna dada mmoja wa kazi huyo nikikaa nae muda mrefu almost miaka mitano na yeye pia alikuwa anaonaona haya mambo.... kuna siku mida kama 6 usiku ivi mie nishalala nimeshtushwa na kelele kubwa sana.... yule dada analia mie kujua labda kimetokea msiba kapigiwa simu kumbe mume wangu alikuwa na yeye keshashtuka ndio anamtuliza kapandisha majini.....anasema mtt yupo kitandani tunamuona tu pale lkn kiuhalisia kuna watu wamemchkua wapo nae nje kwenye mti pana mti wa bilimbi nje.... bwana weeeee mwili wote ulifanya kama umepatwa na baridi kali.... ikabidi hapo kumsemesha mpk akatulia..... anasema ule mtaa mbaya tena watu majirani tu wana kazi ya kuwachezea wtt kimazingara. Yaani acha tu
Ok afadhali kama yameisha, Mungu azidi kuwapigania.
 
Ok asante mkuu, vipi kuna njia yoyote ya kawaida ya kujua kama huyu niliyekutana nae (either mbwa, paka au binadamu) kua ni jini?
mbwa mweusi tiiiiiii au paka mweusi tiiiiiii! halafu unakutana nae mazingira hatarishi by the way sio rahisi sana kugundua au nyoka akiingia ndani ndio maana kuna utaratibu wa kusema nae ujue ni nyoka au laa....umewahi kuskia mtu amemkuta nyoka ndani akamwambia naomba utoke akashangaa anatoka zake.....huyo sio nyoka bali ni jini...
nyoka wa kawaida hatoskia bali atataka kujihami..
na zaidi mkuu kwenye maisha tusitumie mifupa na vinyesi vya wanyama kujisafisha baada ya kujisaidia {kesi za porini n.k} kwani hivyo ni vyakula vya majini..
shukran..
 
[emoji2] Sasa scenario kama hiyo wewe utafanyaje?

Au ndo ile bora mtu uachie hata shuzi moja zito linaweza likamlewesha akafutika arudi alikotoka
mi binafsi sio muoga na nimekutana na mengi mazito....niliwahi pata pia mtihani wa kupendwa na jini wa kike though mimi hakufanya la maana sababu nafanya ibada na niko karibu na anga za juu kuliko mambo ya kidunia..
 
Ok asante mkuu, vipi kuna njia yoyote ya kawaida ya kujua kama huyu niliyekutana nae (either mbwa, paka au binadamu) kua ni jini?
kwa kukazia mkuu jini hawezi kujibadilisha umbo la binadamu 100% lazma kuna kitu atakuwa hajakamilisha na nilipata kuskia hawawezi kudumu kwa muda mrefu kabla hawajarudi kwenye umbo la asili.....na kwa nilivyowastudy hawana guts za kuangaliana na mtu macho kwa macho kama ukimkazia! wana kama kaaibu fulani...
 
Acha kabisa.... Mie niliwahi kutokewa na mauzauza nyumba nilokuwa nakaa mwanzo, usiku nimelala na mtt wangu age kama one year ivi ghafla nikashtuka nimesimamiwa na dada wa kiarabu (namuona mpk leo alivokuwa katusimamia na alivovaa) sema kama kulikuwa na kagiza kdg.... baba wtt kalala chini (si unajua tena mkiwa na wtt wadogo kulala pamoja sio issue) basi nilivoshtuka yule dada akapotea, nikajiuliza mmmh ni ndoto au, jamaa yangu kalala wa juzi habari hana. Nikasema mmh wacha tu niendelee kulala labda waswas tu mana mie nna kaujasiri kdg.. Ile kufumba tu tena macho nikaanza tena kama kuweweseka nashtuka ghafla namuona tena yule dada this time keshainama tayari na mtoto kambeba yaani ile beba ya mikono miwili kwa mbele, niliinuka ghafla akapotea na kila kitu kikarudi kama kilivyo aaah hapo ikabidi nimuamshe mwenzangu kimwambia huku nalia.... yaani ilikuwa kama ndoto lkn ni uhalisia mana kila kitu nilivokionakilikuwa kama kilivyo chumbani na mtt nguo zake za pajamas ni zilezile.... hapo hatukulala tena. Yaani mpk tunahama kile chumba changu mwenyewe nilikua nakiogopa hata mchana mpk nipelekwe mara moja moja ndio najikaza. na huyu mtt ikabidi kumfanyia dawa... tuliambiwa ni kama vile yule jini alimpenda... sasa sijui hata alikuwa anataka kumpeleka wapi
huyo hiyo sura ya kiarabu ni amejibadilisha tu sura yake ya asili huwezi kumuona.....hayo mambo yapo..
 
Back
Top Bottom