Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
General wa jeshi ni Mtumishi wa Umma Serikali inapaswa kugharamia mazishi yake, Mke wake na Watoto wa 4.Miaka ya nyuma sana alifariki mtoto wa general wa jeshi hapa SA ubalozi ulitoa hela na vitu vyote baada ya kujua ni mtoto wa Mkuu na mambo mengi walisimamia wao...
Sawa, Zanzibar ijitoe katika Muungano basi irudi kwenye maeneleo kuliko Oman.Kabla Muungano Zanzibar ilikua ina uwezo kuliko Oman Muungano umekuja kusimamisha Au kuua kabisa maendeleo ya Zanzibar
Kumbe wengi humu hatujui haki zetu za kiraia.Shida yako umeingiza uzanzibari kwenye suala la msiba. Hautuambii nani aliwapa taarifa ya msiba. Unakimbilia kuulaumu ubalozi kuwa ulikuwa unakudanganya na kuwapiga danadana kuwa hawana fungu la kuhudumia matukio kama haya badala ya kuhoji kwa nini serikali haitengi fungu kwa ajili ya dharura kama hizi. Wewe una mbunge wako, mweleze yaliyokupata ili akaibane serikali suala hili. Wao kama walipa taarifa na kuwasaidia mawasiliano na hospitali na shirika la ndege na kutoa makabrasha ya kuwawezesha kumchukua marehemu kutoka Ethiopia kuja nyumbani walimaliza wajibu wao. Ukiona ubalozi unachangia ni watumishi wanachangishana baada ya kuguswa na tukio. Sitashangaa kama mliwatukana kiasi cha kuwavunja moyo wa kuchangishana maana walijua mtasema kuwa ni fedha walizokuwa wanaficha.
Unazungumzia kusafirishwa marehemu kwa Cargo kama vile ni hiyana ya ubalozi wakati maiti zote zinasafirishwa kama cargo.
Wajibu wa kulipa gharama za hospitali na usafirishaji ni za kwenu wanafamilia kama vile inavyokuwa kwa mtanzania ambae ndugu yake amefariki Muhimbili na anataka amsafirishe akamzike Bukoba.
Poleni sana kwa msiba lakini mnatakiwa kuwa waungwana hata katika wakati mgumu kama huo.
Amandla...
aise kumbe ukiwa abiria wa ndege ya shirika Fulani ukipata shida, hata ukifa utakuwa umevunja mkataba, unappteza kila kitu"valueless"nauli uliolipa inakoma Mara Moja, bima ambayo ni incorporated kwenye nauli haina cha kumsaidia mwathirika. Shirika haliathiriki, Bima ni ya nini?Huyu Mtanzania alikuwa safarini peke yake, Ethiopia haikuwa destination yake , alishushwa kwa dharura ya kuumwa ghafla na umauti ukamfika huko.Sisi hatuna familia wala jamaa kule.
Kama balozi yupo ,unadhani nanai awajibike kutowa msaada?
kama hawalipi gharama zote , hata kuchangia sehemu ya Gharama ubalozi hauwezi ?
Na ndo maana ikawa dharura na sio kwamba inatokea kila wkt l, hivyo walipaswa kwl kusaidia hiyo familiaHuyu Mtanzania alikuwa safarini peke yake, Ethiopia haikuwa destination yake , alishushwa kwa dharura ya kuumwa ghafla na umauti ukamfika huko.Sisi hatuna familia wala jamaa kule.
Kama balozi yupo ,unadhani nanai awajibike kutowa msaada?
kama hawalipi gharama zote , hata kuchangia sehemu ya Gharama ubalozi hauwezi ?
Hela ya dharula unafikiri ubalozi mmoja unaweza kuhitaji kiasi gani kwa mwaka?Ni vitu ambavyo vinawezekana sema kwa Nchi zetu ikiwepo hela ya dharula wahusika hawataweza kupata kutokana na ubinafsi uliokuwepo...
Ngoja yaje kukuta, siku utaukumbuka huu uzi.Majukumu ya Balozi si kusafirisha Maiti zinazoenda nchini kwake bwana mdogo.
Kosa lako kubwa linaanzia hapa.Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?
Kifo ni kitu ambacho kila mtu anajua atafariki, sasa kinakuwaje dharula?Na ndo maana ikawa dharura na sio kwamba inatokea kila wkt l, hivyo walipaswa kwl kusaidia hiyo familia
Haya masuala yanajadilika kiuchumi, habari ya ngoja yakukute hazina tija.Ngoja yaje kukuta, siku utaukumbuka huu uzi.
Na kweli.Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.
Taratibu fuatilia
Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.
Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.
Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.
Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.
Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.
Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.
Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?
Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.
Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.
Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.
Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.
Nawakilisha.
Pole saana dada yangu yaani viongozi wa Bara, are too selfish ,hili tukio la wanafunzi wa kitanzania kutelekezwa wenye asili ya bara nalikumbuka saana ....wewe kama hujali raia waliokuweka hapo ,you will remain useless leader forever ........Ubalozi wa Zanzibar au Ubalozi wa Tanzania?
Shina la malalamiko mkuu ni kuona wazanzibari wanatengwa au?
Poleni sana kwa msiba wa sista aisee
Tanzania NI MOJA.
Zanzibar na tanga nyika tulishazizika.
Anyway sote tutakufa tuu uzuri tukifa hatujui yanayoendeleaKifo ni kitu ambacho kila mtu anajua atafariki, sasa kinakuwaje dharula?
Kila mtu aliye nje akifa tukisema ni dharula serikali ilmsaidie, itaweza kusaidia?
Ikisaidia wengine na kuacha wengine, hapo si ndiyo mwanzo wa malalamiko ya kwamba watu fulani wanapendelewa?
Hakuna logic ya serikali kulipia nauli ya maiti kutoka nje, hili ni jambo lenye gharama kubwa sana na mara nyingine watu ambao si wasafiri hawajui kwamba nauli ya maiti ina gharama mara nyingi sana kuzidi nauli ya mtu hai.
Watu wajiwekee akiba, wakate bima, wachangishane rambirambi, wasaidiane, serikali labda itasaidia ku coordinate mambo na kufuatilia lakini kuipa serikali mzigo wa gharama hizi ni jambo lisilowezekana kwa bajeti hafifu za balozi zetu hizi.
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.
Taratibu fuatilia
Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.
Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.
Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.
Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.
Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.
Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.
Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?
Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.
Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.
Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.
Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.
Nawakilisha.
Tiizii bola kunakucha na kunakuchwa ndio maahana hata kile kimbunga kikaonà chaja kumaliza tu nguvu zake bure kwa walking deads wa Tz kikahamja kiingie mitiniMwaka jana Nchiya Oman Illeta Ndege Kuchukua raia wake wote waliokwama kwa sababu ya Corona na kuwarudisha Oman Free of charge.
Hii ndio kujali kwa nchi na raia wake.
Tiizii bola kunakucha na kunakuchwa ndio maahana hata kile kimbunga kikaonà chaja kumaliza tu nguvu zake bure kwa walking deads wa Tz kikahamja kiingie mitiniMwaka jana Nchiya Oman Illeta Ndege Kuchukua raia wake wote waliokwama kwa sababu ya Corona na kuwarudisha Oman Free of charge.
Hii ndio kujali kwa nchi na raia wake.