Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Hamia Huko

Kwani waislamu si watanzania? Kwanini wewe usihamie huko sisi tukapewa mahakama yetu ya kadhi na tukabakia na wenzio wenye kukubali uwepo wa mahakama ya kadhi. KWANINI UNA UDINI HIVI WEWE NDUGU!!!!
 
Kenya iko kwenye section 66 of the constitution of kenya. Nashangaa Tanzania ugumu uko wapi ni maana malumbano hayataisha.

kwa kauli yako inadhihirisha kuwa tayari ulishakubali yale maneno ya David Cameroon. Sababu uingereza wanakubali ushoga basi na wewe kuwa shoga
 
Tunataka serikali moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar iingizwe kwenye serikali ya Muungano na kutulia.

Hata mie nakuunga mkono,

Wazo la mwanakijiji nililifikiria sana na nimelifanyia utafiti mwingi nikagundua solution hapa ni Serikali moja tu. Serikali 3 kuna watu wana ajenda zao tu hakuna jengine!!!

Nakubaliana na Mzee mwenzangu Mwanakijiji solution hapa ni Serikali moja hakuna jengine.
 
Hata mie nakuunga mkono,

Wazo la mwanakijiji nililifikiria sana na nimelifanyia utafiti mwingi nikagundua solution hapa ni Serikali moja tu. Serikali 3 kuna watu wana ajenda zao tu hakuna jengine!!!

Nakubaliana na Mzee mwenzangu Mwanakijiji solution hapa ni Serikali moja hakuna jengine.

kwa mawazo yako sawa, ila warioba kasema wengi waliohojiwa wataka 3 bila
 
CCM haiwezi kuanguka chali isiwpokuwa CDM ndiyo chali, kwani yote waliyokuwa wakiyadai ovyo ovyo yalitupiliwa mbali baada ya wao kwenda wenyewe CDM kunywa "chai" Ikulu.

Ha ha ha ha....Utakufa wewe na kijiba cha roho.....Vipi ccm imefanikiwa kuhusu Serikali mbili....? Maana kelele za hovyo hovyo za CDM zilikuwa si Serikali Tatu....
 
kwa mawazo yako sawa, ila warioba kasema wengi waliohojiwa wataka 3 bila

Wengi ni wapi 39,000 au Milioni 20 ya wapiga kura??? hebu fikiri vizuri. Tume wamefanya sampling kura ya maoni ndio itakayosema wengi wametaka au la . Serikali 3 ni mzigo na kama mtanganyika atalipia huo mzigo mie sitokubali na kama mzanzibari atalipa sawa na mtanganyika katika huo mzigo pia sitakubaliana nayo.
 
Tunataka serikali moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar iingizwe kwenye serikali ya Muungano na kutulia.
zanzibar hawatakubali,tena wao wanatamani wawe taifahuru lenye kiti UN.
 
zanzibar hawatakubali,tena wao wanatamani wawe taifahuru lenye kiti UN.

kwa maoni yangu,jibu hapa ni serikali moja znz iwe mkoa kamili na si nchi au muungano uvunjwe tukutane EAC
 
Jk ni mwanamapinduzi wa kweli! Nampa heko kwa kulisimamia swala la katiba mpya tuombe mungu tuipate chini ya uongozi wake maake mzee huyu kajilipua kisawasawa! Ni very patriotic leader wakati mwingine tunamwonea kwa sababu ya mfumo uliopo! May god give him good health at this critical moment
 
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?

Imekula kwenu mazima....
 
zanzibar hawatakubali,tena wao wanatamani wawe taifahuru lenye kiti UN.

Wazanzibar wanokataa ni baadhi ya viongozi wa serikali ya Zanzibar ambao ni wachache sana Wanzibar wengi hawataki muungano uvunjwe (Tuwe na serikali Tatu), hivyo wanzanzibar. Hivyo hizo kauli za viongozi hao wachache isikupe wasiwasi.
 
Hatimae kilio cha sikunyingi cha cuf kimesikika rasmu imependekeza serikari tatu

kwani kwa miaka mingi Cuf imekuwa ikililia muungano wa serikari tatu toka mwaka 2005
 
Back
Top Bottom