Tukio la Shadrack linatoa ujumbe mkubwa sana kwa Rais Samia na Mahakama

Tukio la Shadrack linatoa ujumbe mkubwa sana kwa Rais Samia na Mahakama

Nimejaribu kuchallenge tu,Mamlaka za wanyamapori zifanye kazi Yao inavyotakiwa.
Mambo ya Tembo kuua watu na kuharibu mashamba kwa kigezo kuwa Wananchi wanakaa kwenye shoroba za Tembo hazikubaliki Wala hazina mantiki.
Kama wameamua kuhifadhi wanyama,wakubali pia gharama za kuwalinda wasidhuru watu.
Sema mkuu jua kuwa yule ni mnyama hana utashi..
Ndio maana hakuna usawa mda wa sheria
 
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na CCM yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali.

Pia soma
- Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

#Goodmorning
Hiyo haikuwa picha ya Rais...

Huo ulikuwa ni mchoro wa picha ya mtu anayefanana fanana na mwanamke mmoja anayejulikana kama Samia Suluhu Hassan...

Kwa kifupi sana ni kuwa, hatuna Rais Tanganyika bali tuna kinyago cha mwanamke tu kipo pale ikulu yetu...!

She has to go kwao Zanzibar...❗
 
Sema mkuu jua kuwa yule ni mnyama hana utashi..
Ndio maana hakuna usawa mda wa sheria
Najua yote hayo.Tanzania tuna mapori ya akiba makubwa na mbuga nyingi ambazo hatuwezi kudhibiti movement ya wanyama hatarishi.
Kimantiki hili ni jukumu lao,sio swala la utashi Wala uhayawani wa wanyama.
Askari wanyama pori wawe wa kutosha,Tembo wavunwe inapobidi,Ulinzi kwa maeneo yaliyopakana na hifadhi uwe wa kudumu.
Huku kwetu,mko jirani na Selous(Nyerere NP) akionekana Tembo mtaani anasumbua mpaka muwapigie askari waje!
Maeneo kama hayo lazima kuwe na station ya askari wanyapori.
Vingenevyo itakuwa tunaleta siasa kwenye Maisha ya watu.
 
kumbe ww ni kiazi kiasi icho
Nchi inaendeshwa kwa sheria, taratibu, kanuni na katiba.

Kwa kitendo kilichotokea imeonesha na imesibitisha ni kias gan raisi anahesimu sheria, katiba na kanuni za nchi

Ttzo la watanzania weng bado tunaishi kwa kumtukuza marehemu jiwe.

Sema tu ingekua uongozi wa jiwe huyo jamaa angeozea ndan sabu watu waliishi wa uoga na sio kufuata sheria na katiba vinasema nn
Kama mi kiazi usinge reply kwenye Uzi wa Kiazi inaonyesha kias gani uzi wangu umekugusa na hilo ndilo lilikua lengo langu
 
Najua yote hayo.Tanzania tuna mapori ya akiba makubwa na mbuga nyingi ambazo hatuwezi kudhibiti movement ya wanyama hatarishi.
Kimantiki hili ni jukumu lao,sio swala la utashi Wala uhayawani wa wanyama.
Askari wanyama pori wawe wa kutosha,Tembo wavunwe inapobidi,Ulinzi kwa maeneo yaliyopakana na hifadhi uwe wa kudumu.
Huku kwetu,mko jirani na Selous(Nyerere NP) akionekana Tembo mtaani anasumbua mpaka muwapigie askari waje!
Maeneo kama hayo lazima kuwe na station ya askari wanyapori.
Vingenevyo itakuwa tunaleta siasa kwenye Maisha ya watu.
Hapo nimekupata mkuu...
Umeongea vyema kabisa bila kuegemea upande wowote.

Ni kweli hawa TANAPA waongeze askali tuu au ikiwezekana wajue wanatusaidia vipi..

Japo hoja zao kubwa watasema ni wananchi huku wamejenga kwenye hifadhi
 
2. Rais Samia hahusiki na tukio hilo la shadrack Chaula bali ni Serikali ya Mkoa wa Mbeya

3. Hakufungwa kwa kuchoma picha bali kwa ku publish habari za uwongo kuwa Rais Samia hashighuliki kukemea ushoga
Hujui lolote wewe...

Eti serikali ya Mbeya...

Kwani huyo RC - Mbeya, nani kamweka pale? Amepigiwa kura na wana Mbeya?

Aliyemweka huko ni Samia Suluhu Hassan na kwa hiyo chochote anachofanya ni kwa ajili ya kumfurahisha aliyemteua...!

=========================================================

Eti unasema alihukumiwa kwa sababu ya kosa gani? Kwa kuchapisha habari za uongo kuwa "Rais Samia hajishughulishi na kukumea ushoga....?"

Hivi maoni binafsi aonavyo yeye juu ya Rais wake yanawezaje kuwa kosa la kumhukumu mtu kufungwa jela?

Kilichopaswa kufanyika ni yule anayeshutumiwa kuwa hafanyi kitu kujitokeza na kusema nafanya na hatua nilizochukua kushughulikia hilo ni 1, 2, 3

Sasa aliyeambiwa yuko kimya halafu hakimu naye kwa ujinga kabisa wa kutojua sheria anaona hilo ni kosa na kumtesa mtu...!!!??
 
Hapo nimekupata mkuu...
Umeongea vyema kabisa bila kuegemea upande wowote.

Ni kweli hawa TANAPA waongeze askali tuu au ikiwezekana wajue wanatusaidia vipi..

Japo hoja zao kubwa watasema ni wananchi huku wamejenga kwenye hifadhi
Najua Niko sahihi,Babu zangu wameishi Jirani na hifadhi kwa miaka mingi.Nayajua madhila Yao Tembo,nimeyaishi.
 
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na CCM yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali.

Pia soma
- Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

#Goodmorning
Ni doa sana kwa mfungwa katika maisha yake. Kifupi ameteza sifa za kuwa kiongozi. Hawezi kuwa mtumishi wa umma ktk maisha yake. Ningewaona mna akili zaidi ya nyumbu kama mngekata rufaa na kushinda.
Vinginevyo,..........!
 
Inawezekana uko sahihi.

Mosi,hakuna Kiongozi anayependwa na watu wote.

Pili,ukisema Watanzania kwa ujumla wetu wote ndio tumechanga pia sio sahihi.

Tatu,waliochanga haina maana wamefurahishwa na alichokifanya.

Nne,naipongeza Mahakama kwa kutenda Haki.Imeacha option ya kulipa faini wazi kama Sheria ilivyotaka.

Kwa tulipofikia ilikuwa ni wazi tu hiyo faini ya Milioni Tano dogo angelipiwa.

Kama ingekuwa wakati wa mwendazake,wangetoa kifungo tu bila hata option ya faini na hakuna ambaye angesema chochote.

Kwenye utoaji Haki,"mchomwa moto" anajitahidi.
Mahakama haikutenda haki imeendesha kesi kimihemuko.
Ndio maana imekatwa rufaa mahakama kuu kupinga hiyo hukumu ya kipumbavu.
Pili sio bibi chura ndio hapendwi, bali ni wananchi wamechukia uongozi kuna bomu kunachemka katika hii nchi viongozi wamejisahau wanajifanya miungu watu.
Hii move yote inaonyesha rais hapendwi wananchi walio wengi.
Yaani hata ikitengenezwa clip bibi chura anasodomiziwa watu hawatakasirika tofauti na alivyofanyiwa JK raia walikasirika ika huyu mama watu watafurahia
 
Mahakama haikutenda haki imeendesha kesi kimihemuko.
Ndio maana imekatwa rufaa mahakama kuu kupinga hiyo hukumu ya kipumbavu.
Pili sio bibi chura ndio hapendwi, bali ni wananchi wamechukia uongozi kuna bomu kunachemka katika hii nchi viongozi wamejisahau wanajifanya miungu watu.
Hii move yote inaonyesha rais hapendwi wananchi walio wengi.
Yaani hata ikitengenezwa clip bibi chura anasodomiziwa watu hawatakasirika tofauti na alivyofanyiwa JK raia walikasirika ika huyu mama watu watafurahia
Kwa nini mnapenda kufanya generalization!!.Hii Nchi ni kubwa sana,na Ina watu wengi.
Yaani tukio la mtu mmoja linadhihirisha Msimamo wa Raia Milioni 62?
Acha utani wewe,Uongozi umechokwa umefanya nini hicho Cha kuchosha watu Milioni 62?
Kuna wakati mjaribu kufikiria kwa Uhuru,msiendeshwe na propaganda za wanasiasa.
JK mlikuwa mnampenda tokea lini ninyi,Mzee wa watu mlimsimanga mpaka mkamaliza maneno.
Jiwe alivyoanza kuwanyoosha ndio mlikumbuka mema yake.
Narudia hakuna Utawala unaopendwa,Wala Mamlaka inayopendwa popote pale Duniani.
Na wanasiasa waliokomaa wanajua hilo na haliwababaishi.
Samia sio Pombe,mnafanya vitu vya ajabu Ili areact negative mpate Cha kusema!
Kashawajua mna kisharwara,ndio maana yupo kimya.
 
Hujui lolote wewe...

Eti serikali ya Mbeya...

Kwani huyo RC - Mbeya, nani kamweka pale? Amepigiwa kura na wana Mbeya?

Aliyemweka huko ni Samia Suluhu Hassan na kwa hiyo chochote anachofanya ni kwa ajili ya kumfurahisha aliyemteua...!

=========================================================

Eti unasema alihukumiwa kwa sababu ya kosa gani? Kwa kuchapisha habari za uongo kuwa "Rais Samia hajishughulishi na kukumea ushoga....?"

Hivi maoni binafsi aonavyo yeye juu ya Rais wake yanawezaje kuwa kosa la kumhukumu mtu kufungwa jela?

Kilichopaswa kufanyika ni yule anayeshutumiwa kuwa hafanyi kitu kujitokeza na kusema nafanya na hatua nilizochukua kushughulikia hilo ni 1, 2, 3

Sasa aliyeambiwa yuko kimya halafu hakimu naye kwa ujinga kabisa wa kutojua sheria anaona hilo ni kosa na kumtesa mtu...!!!??
Wewe pimbi nenda kwanza ukapate chakula cha mchana maana hujui hata unachoandika.
 
Mahakama haikutenda haki imeendesha kesi kimihemuko.
Ndio maana imekatwa rufaa mahakama kuu kupinga hiyo hukumu ya kipumbavu.
Pili sio bibi chura ndio hapendwi, bali ni wananchi wamechukia uongozi kuna bomu kunachemka katika hii nchi viongozi wamejisahau wanajifanya miungu watu.
Hii move yote inaonyesha rais hapendwi wananchi walio wengi.
Yaani hata ikitengenezwa clip bibi chura anasodomiziwa watu hawatakasirika tofauti na alivyofanyiwa JK raia walikasirika ika huyu mama watu watafurahia
Yaani usipomenda wewe na wanao huko sweken Tandahimba au Makongorosi unaona ndiyo Watanzania wote?

Weka makalio yako kwa utulivu maana Samia mpaka 2030
 
Kama njia zipi ikiwa yeye anajiita kiziwi?
wanaomdhihaki na kumkejeli ndio anakuwa kiziwi ila shida za wananchi anafuatilia na kutatua, hadi issue za mitandao ya kijamii anafuatilia na kutolea maelezo, hata mzazi wako nyumbani anakosea ila kuna njia ya kufikisha ujumbe
 
C
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na CCM yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali.

Pia soma
- Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

#Goodmorning
Chaula sio mnyakyusa ni Mkinga au Mbena, Tukuyu ni metropolitan district
 
Bora angesema ewe picha nimekuchora mwenyewe kwa hiari pasipo dhihaka nakuchoma mimi mwenyewe kwa hiari pasipo dhihaka yoyote ile.
 
wanaomdhihaki na kumkejeli ndio anakuwa kiziwi ila shida za wananchi anafuatilia na kutatua, hadi issue za mitandao ya kijamii anafuatilia na kutolea maelezo, hata mzazi wako nyumbani anakosea ila kuna njia ya kufikisha ujumbe
Angekuwa hivyo unavyomueleza kusingekuwa na hata wa kuchoma picha yake wewe unaongea kinyume chake, labda nikuulize kitu. Tunajua hakuna mtu mkamilifu na mwenye kuwaridhisha watu wote ila kwa unavyoelewa wewe ni mambo yapi ambayo wananchi huku mitaani hulalamika sana kuhusu rais Samia?

Rais Samia ni kiongozi ambaye anaamini watanzania ni watu wa kupiga tu kelele muda fulani ukipita wanasahau, hili aliliweka wazi kabisa mwenyewe. Na ndivyo anavyoenda na wananchi wake sasa ukiniambia kwamba anasikiliza kero na kuzifanyia kazi unanishangaza nachojua huishia kusema "hili mkaliangalie" hapo amemaliza yeye.
 
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na CCM yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali.

Pia soma
- Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

#Goodmorning
Je unajuwa nani katowa hizo pesa?
Inawezekana ikulu imetowa pesa.
Sie waisilamu mtume wetu alitukanwa sana wakati wa zamazake, lakini alikuwa anawasamwhe wate wanafanfanya hivyo na kuwatuliza watu wake wasi chukuwe hatuwa.
 
Back
Top Bottom