Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Nakumbuka jana Mshana jr, alilizungumzia hili kama nishati, ambayo haipotei hata mtu akifa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika Ulimwengu huu Wanadamu tuna nafasi ya kuishi katika Roho na Mwili pia unapokuwa katika Roho actively(sababu Ulimwengu huu ndio unatangulia mbele ya muda wa maisha yetu ya mwilini) basi unaweza itumia sehemu wengi waniita Six sense ambayo utaona vitu vinavyokuja mbele Yako au Matukio fulani (njia unazotumia kuona)

1.Ndoto

2.Maono au Mawazo Picha hasa dk chache unapotumia Meditate au kabla hujapata usingizi Picha gani zinakuja katika akili Yako.

3. Au muda mwingine akili(Ubongo) ina ku trek tu sbb kubwa inapotokea imeji-condition na Mazingira fulani na yanapotokea Mazingira hayo basi itarespond kama ilivyoji-condition nje na utambuzi wa nafsi yako
 
Kiukweli hata Mimi kuna mda hali inanikuta najihisi Mimi siyo Mimi,kwamba Mimi ni mtu mwingine kunasehemu nishawahi kutokea.
 
Hayo ni mwmbo fikirishi sana
 
Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka...
Mi ndo nikiota ni for the future event....nilichoota mwez huu nitakuja fanya mwez mwingine...then nakumbuka kuwa hii kitu nishawahi ota
 
Somehow..!
 
Sio lazma uishi maisha aliyoishi yeye lakn kuna baadhi ya matukio yata collide. Mfano unaenda sehemu ngeni unakuta kama vile ushawahi kufika lakn hujawahi kufika. Hii ni kwa sabab mwili wako haujawahi kufika ila nafsi yako ishawahi kufika ikiwa kwny mwili mwngne kabla haijawekwa kwny mwili wako.
 
Punguza wenge wewe au kapime malaria.
 
What if napata dejavu nikiwa kwenye basi la mwendo kasi, mradi ulioanza kufanya lazi awamu ya tano 2015-2021. Na mimi nikiwa nimezaliwa miaka ya 70. Hapa huoni kama tafsiri yako inagoma. Ikiwa inamaana miaka nyuma ya 70 mradi uwo haukuwepo.
Mradi huo haukuwepo bongo ila sio duniani.
 
Absolutely true.
 
Hii kitu ipo mkuu ata vitabu vyenu vya dini vimezungumzia sehemu nyingi tu, kuamka sio kwa kila mtu.
 
Kuna Mwl wangu aliwahi kufundisha hii kitu 🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…