Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
Ishantokea sana
 
Mkuu, kwa maana hiyo, kumbe baada ya binadamu kufa, nafsi zetu haziendi mbinguni wala motoni, badala yake hutunzwa kwa ajili ya binadamu watakaozaliwa?

Maana yake maisha nitakayoyaishi yatafanana na yale ya aliyekuwepo enzi hizo? Hata na kifo alichokufa ndicho ambacho na mimi nitakufa? Hata umri alioishi?
Nafsi zetu huwa zinaacha mwili tunapata nafasi ya kupumzika (sinzia). Hivyo zinapokuwa kuwa hoko mtaani zinazurura hukutana na nafsi za watu wengine na kufanya mawasiliano kama tufanyavyo tukiwa hatujapumzika.

Hivyo mawasiliano unayofanya na watu pamoja na sehemu unazotembelea ukiwa usingizini hutunzwa kwenye ubongo.
Kuna baadhi ya watu hutunza kwa picha halisi na tukio kamilifu na wengine hutunza kwa kimvuri na tukio likiwa limekatika (pungufu).

Ndio maana ukifika eneo husika au ukikutana na mtu, unakuwa na kumbukumbu kiasi la mtu, kitu au sehemu husika.

Wahenga walisema usimuhadithie mtu ndoto yako ya jana usiku.

Utaratibu wa kunakili ndoto katika maandishi ni muhimu, utakusaidia kupangua baadhi ya matukio hatarishi katika maisha yako.

Hata unabii hushushwa katika mazingira ya namna hiyo.

Usidharau ndoto. Hususan isiyokuwa na uhusiano na matukio ya mchana uliyopita.
 
Wenye uelewa na hilo kuweni specific tupate madini,, maana wengi mnatuacha njiani.
 
75% ya watu waliokuzunguka au watu unaoambatana nao ni WANGA. Huo ndio ukweli ndugu yangu.
 
Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
Maisha ni ndoto tu,, ukweli ni kuwa hata wewe si halisi,, ni ndoto tu😂
 
Kuna kipindi nilikuwa kama naionaga siku nzima ile asubui mikiamka mfano naweza ona siku hio nitapata Ela na kuitumia na kubaki na hata iweje hayo lazima yatimie ila now dayz nahisi sijui Ni nn kimetokea sipati hayo maono ya siku Wala ishara
 
Hyo inaitwa "DEJAVU".

kimsingi sisi binadamu tuna nafsi ambazo zishawahi kuishi kabla hatujapewa hii miili. Kwa hyo mfano ww unaweza kuta mwili wako una nafsi ambayo hapo kabla ishawahi kuishi hayo maeneo unayopitia, then yule alokuwa anamiliki hyo nafsi akafa, then hyo nafsi ikawekwa kwny mwili wako afu ndo ukazaliwa wewe wa saizi.
Acha uongo
 
Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
Mie inanitokea sana tu
 
NAONA una shida kidogo kwenye muungano wa roho yako na mwili wako, io hali inapelekea mwili wako kupata dodoso za mambo ya Rohoni na haikupaswa iwe hivyo.

Sasa ili kuepukana na tabia hiyo inayofanywa na mwili wako itabidi utafutee mlima mkubwa sana afu utafute kitako chake, ukae hapo chini siku tatu au ila itakuwa vizuri kama ukaingia katikati kabisa ya mlima huo. Kani ya uvutano itaziunganisha vizuri roho n mwili wako.

Asante.
Fafanua mzee kidogo umeniacha ....how mtu ataingia katikati ya mlima , pili kuna uhusiano gani kati ya nafsi na mlima ...kama hutojali tupe madini zaidi
 
Hii ata mimi huwa inanitokea sana, yani sometimes kuna mazingira fulani naweza kuwepo, au kufanya alafu nahisi kwamba hiki kitu au hii sehem mbona nshakuwepo au nshakifanya, lkn nakuwa kama naona labda niliota tu
 
Acha uoga, mambo ya kawaida hayo.

Utandawazi, elimu& dini ndivyo vimetutenganisha na Asili ya kuujua UTU wetu, rudini kwenye asili yenu mtayajua mambo ambayo hamjawai kuyajua.

Haya maisha tunayoishi kimsingi yalishapita, iko hivi Mtu anaundwa na vitu3, (1) Roho, (2)Nafsi, (3)Mwili&akili za kimwili(ufahamu), na kila muundo hapo unaishi ktk ulimwengu wake.

Roho inaishi rohoni, nafsi inaishi ulimwengu wa nafsi, na mwisho ni mwili wenye ufahamu wa kimwili ktk ulimwengu wa mwili.

Ktk ulimwengu wa Roho huko hakuna nadharia ya Muda wala wakati, na kila jambo lifanyikalo huko hufanyika kwa tafsiri ya muda tuseme linafanyika kwa muda mfupi sana sawa na sekunde, ambapo muda huo ama tukio hilo ili litafsiliwe kimwili na liakisi uhalisia wa ufaham wa dunia ya mwili, tutautumia Muda(wakati) ili kufafanua tukio hilo, na muda unaweza kuwa mrefu kulingana na tukio lililofanyika rohoni.

Unatakiwa ujuwe kuwa matukio yanaanzia rohoni na kumalizilia mwilin ambako ndiko kuna mahesabu ya muda na matendo ya mwili, na ili tuyakamilishe matendo yaliyotendwa na Roho nilazima tutumie kanuni za Muda ambapo rohon hakuna muda, hakuna siku wala mwaka, huko kunahesabika ktk nyakati za "SASA" ambapo kidunia tuna nyakati "3" kama nyakati za sasa, zilizopita na zijazo, lkn rohoni kuna "Sasa" yaan tukio likifanyika rohon litajireflect mwilin kimuda.

Hivyo haya maisha tunayoishi yalishapita tupo ktk nadharia ambazo kiroho tunazitafsiri kama "PAST", roho zetu zilishayaish haya maisha na zinayareflect matukio kutoka Nyakati zao kurudi "PAST" ilipo miili,

Kiufupi Roho yako inaishi ulimwengu wa FUTURE ambao kila jambo limeshatendeka na Mwili wako unaishi Past, hivyo ni kawaida kuliona tukio na kukumbuka kama ulishalifanya, ni roho yako inapitisha kumbukumbu zake kuziingiza ktk nafsi na baadae zinakujia ktk Ufahamu wako, ndiomaana mchakato huu usababisha watu kutoelewa maana ya matukio ama kusahau.

Kuna namna nyingi za kuyaona matukio ambayo yalishafanyika na roho kwa kupitia Ndoto, maono na uhalisia unapoliface tukio.

Haya mambo wanayajua washirikina, wachawi, na watu wa sayansi wanaopambana na TIME TRAVEL, hii sio uchawi bali ni jambo la kawaida,

Tumepumbazwa na Elimu uchwara inayotufumba ufahamu wetu tusiyajue mambo muhimu kama haya kwa kutupandikiza mambo ya kijinga jinga na maarifa ya kishenzi huko mashuleni.

Kuna mengi sana ya kujifunza basi tu Ubishi wa watu kujifunza acha yabaki kuwa maarifa ya watu wachache, wengine mtaishia kubisha na kudhihaki.

Umemaliza so roho ni uhalisia wa maisha yetu na tunaona future yetu
 
Ndugu tuoe elimu basi tunaoipe da na sisi tunufaike

Ndugu yangu ninavyojua ni hivi

Sisi tunaishi katika sehemu mbili tofauti
ulimwengu tunaojitambua ambao sio halisi ( mwili)
Na ulimwengu tusiojitambua ambao ni halisi (roho)
Sasa ili tuweze kuconnect matukio lazima nafsi itumike kuweka mawasiliano
Binadamu (mwili +nafsi+ roho)

Ukisoma hapo juu kwa waliochangia utapata uelewa zaidi ni mada ndefu kidogo

Na njia pekee tunayoweza kuwasiliana na roho ni ndoto
 
Mhhh
Aiku moja natoka dodoma kwenda singida 2003 nimefunga shule,nipo kwenye treni ,ile tumefika salanda kwaajili ua kupata chakula nikamuona jamaa anafanana na mimi kila kitu,mpaka ngui alizo vaa yaani,nikabaki namshangaa nayeye ananishangaa,hakuwa naoesa ya chakula akanifuata akaniomba nimnunulie chakula,nikafanya hivyo,baadaye sikumuona tena na wala hakushuka popote mpaka wa leo sijapata jibu
 
Back
Top Bottom