Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Hakuna haja ya kupigwa ban, ila tutasema wazi wewe ni mdini. Unapenda sana kuwachokoza waislam na uislam sijui walikufanya nini?!

Huwa nakuona kwenye mada nyingi; mara uislam hivi mara vile!

Usijipe umuhimu kwa mambo ambayo hayakuhusu! Kama unachuki nao kufa na chuki yako hivyo hivyo!
SINA UPANDE HIVYO MIMI SIO MDINI

ni mpaka nikosoe upande wako ndio naonekana mdini ? Kuna post kibao tu nawapongeza waislam, hii ni mojawapo

 
Ramadhan ni ngumu na siyo nyepesi kama kwaresma yetu ambayo unaamua kufunga kula chakula kimoja, Mimi kwaresma ya mwaka huu nimefunga kula makande siku 40 zikiisha bila kula makande ndo nimekamilisha kufunga.

Tofauti kabisa na Ramadhan yenyewe unajizuia kufunga na kula chochote kwanzia alfajiri ya kweli hadi kuzama kwa jua kwahiyo ni tofauti.
 
Hii ni sawa, Zanzibar tu jtano nilikuwa huko,kila kitu kimefungwa na kuna maeneo hata maji huuziwi,jambo ambalo si sahihi maana kuna wagonjwa,wajawazito, watoto wadogo etc.Tukiheshimiana kila kitu kitakuwa rahisi tu
KWa zanzibar
Mada zingine ni mapuuza. Wangelazimishwa kufunga kwa saa 24 zingeibuka hoja kwamba imani yao ni katili. Tuheshimu imani za watu mradi hazidhuru shughuli zetu.
Wao kufunga kwa masaa hayo ni imani yao kwanini ikukere na kuanzishia uzi wenye mrengo wa dhihaka ndani yake?
Kwakweli inashangaza sana yani mtu anakaa kabisa badala ya kufikiria na kuleta hoja za maana anawaza amtukane nani halafu sijui anafaidika na nini
 
SINA UPANDE HIVYO MIMI SIO MDINI

ni mpaka nikosoe upande wako ndio naonekana mdini ? Kuna post kibao tu nawapongeza waislam, hii ni mojawapo

Swahaba wa Mtume, ibn Masoud R.A kwenye hazina ya mali ambayo yeye alikuwa ni bohari akiingia kuifanyia ukaguzi anaona Mali imepungua. Siku baada ya siku akamkamata mwizi wake na kumwambia nakupeleka kwa Mtume ili akatoe hukumu.

Yule mtu akamwambia nionee huruma, nakuahidi sitoiba tena na nitakupatia kitu bora kwa ulinzi wa Mali zako. Akamwambia soma aya fulani katika Qurani Mali zako zitakuwa chini ya ulinzi wa Mungu.

Hizi taarifa alipomfikishia Mtume, Mtume akamwambia; alichokisema kwenye ulinzi ni cha kweli, lakini huyo mtu bado ni mwongo! Na kweli mbeleni akamdaka tena akiiba.

Kwa hiyo, utawahadaa wengine, ila haitobadili maana kwamba wewe ni mdini.
 
Embu tuonyeshe mkristo mmoja tu anayefunga hivyo? Mnavyopenda kula tangu lini mkafunga wenyewe mnajijua kama dini imeshawapita pembeni dunia mmeiweka mbele kiufupi 99% ya wakristo hawafungi funga yao ni kula ila usishibe, ndio maana hata hiyo kwaresma haieshimiwi duniani kote kwasababu hawafungi
Maandiko ya Biblia yanakataza kufunga kwa showoff katika imani ya kikristo

Matthew 6:16-18
[16]Moreover when ye fast, be not, as the hypocrites, of a sad countenance: for they disfigure their faces, that they may appear unto men to fast. Verily I say unto you, They have their reward.
Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao.

[17]But thou, when thou fastest, anoint thine head, and wash thy face;
Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;

[18]That thou appear not unto men to fast, but unto thy Father which is in secret: and thy Father, which seeth in secret, shall reward thee openly.
ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi. Kuhusu Hazina

Huwezi kujua kuwa mkristp amefunga kwa kuwa hatakaa aonyeshe funga yake kwa public kama wafanyavyo Waislam. Kutokuona kuwa wakristo wanafunga inaonyesha dhahiri kuwa wanatekeleza hilo agizo la Kristo kikamilifu.
 
Swahaba wa Mtume, ibn Abbas R.A kwenye hazina ya mali ambayo yeye alikuwa ni bohari akiingia kuifanyia ukaguzi anaona Mali imepungua. Siku baada ya siku akamkamata mwizi wake na kumwambia nakupeleka kwa Mtume ili akatoe hukumu...
Sina upande na criticize kote kote nikiona mambo hayapo sawa, hivyo ukiona nimehamia upande wako usiniite mdini,




 
Maandiko ya Biblia yanakataza kufunga kwa showoff katika imani ya kikristo

Matthew 6:16-18
[16]Moreover when ye fast, be not, as the hypocrites, of a sad countenance: for they disfigure their faces, that they may appear unto men to fast. Verily I say unto you, They have their reward.
Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao.

[17]But thou, when thou fastest, anoint thine head, and wash thy face;
Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;

[18]That thou appear not unto men to fast, but unto thy Father which is in secret: and thy Father, which seeth in secret, shall reward thee openly.
ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi. Kuhusu Hazina

Huwezi kujua kuwa mkristp amefunga kwa kuwa hatakaa aonyeshe funga yake kwa public kama wafanyavyo Waislam. Kutokuona kuwa wakristo wanafunga inaonyesha dhahiri kuwa wanatekeleza hilo agizo la Kristo kikamilifu.
Haya elezea funga ya kwaresma huwa inatekelezwa vipi? Inafungwa siku 40 bila kula?
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba...
Upo Sahihi Kabisa

Kufunga kwa Waislam ni kwa Fashion tu yaani ni Mfungo wa swaga au mwendo kasi

Kula saa 10 au saa 11 kasoro kabla ya Azana ya Alfajiri hiyo tayari ni siku inayofuata

Kwahiyo ni kubadilisha muda wa kula tu
 
Upo Sahihi Kabisa

Kufunga kwa Waislam ni kwa Fashion tu yaani ni Mfungo wa swaga au mwendo kasi

Kula saa 10 au saa 11 kasoro kabla ya Azana ya Alfajiri hiyo tayari ni siku inayofuata

Kwahiyo ni kubadilisha muda wa kula tu
Siyo kwamba tunawaonea wivu waislam? Maana wao wanaheshimu funga yao kuliko sisi wakristo ambao huwa hatufungi kabisa tunaenda kupaka majivu tu.

Aliejitahidi sana kufunga anachagua kufunga kula kitu kimoja anakwambia kafunga kula kachori.
 
Siyo kwamba tunawaonea wivu waislam ? Maana wao wanaheshimu funga yao kuliko sisi wakristo ambao huwa hatufungi kabisa tunaenda kupaka majivu tu.

Aliejitahidi sana kufunga anachagua kufunga kula kitu kimoja anakwambia kafunga kula kachori.
Huyo Mkristo unayemzungumzia ni yupi? Mimi ninaowajua nami nikiwa mmojawapo tunafunga 24 Hrs na wengine siku 3 tena bila kujitangaza
 
Maandiko ya Biblia yanakataza kufunga kwa showoff katika imani ya kikristo

Matthew 6:16-18
[16]Moreover when ye fast, be not, as the hypocrites, of a sad countenance: for they disfigure their faces, that they may appear unto men to fast...
hawafungi kwa siri wala nini wanakula saa zote mchana kweupe sasa au ukifunga unaruhusiwa kula?
 
Mbona upo tofauti na wenzio.Mim kuna mkiristo kasema funga ya kikristo ni kufunga jambo unalolopenda sana mfano unapenda nyama choma,unaamua kutokula nyama choma mfungo mzima
Kumbe ni mtu kasema, Biblia haisemi hivyo sasa. Mawazo na maamuzi binafsi ya mtu sio hitimisho la namna funga inatakiwa iwe. Soma na maandiko uone yanasemaje.
 
Sina upande na criticize kote kote nikiona mambo hayapo sawa, hivyo ukiona nimehamia upande wako usiniite mdini,



Qadhi mmoja wakati wa kusikiliza kesi kwenye mahakama, mwanamke aliyekuwa akitoa ushahidi wake alikuwa akitoa huku akibubujikwq na machozi sana mpaka mmoja wa masheikh akamwambia Qadhi; hutosheki na ushahidi wake? humuonei huruma kwa ushahidi wa huyu mwanamke mpaka hali aliyonayo ya kulia?

Qadhi akamjibu; sihukumu machozi, nahukumu haki.

Kwa hiyo ndugu yangu, mimi nimebahatika kukuona kwa nafasi mbalimbali ndani ya hii Jf. Nimebahatika kukuona kwa maudhui yanayohusu dini ya kiislam na uchangiaji wako nimeuona.

Watu wa aina yenu nawajua: Alaa kulli hall! Iwe mashariki ya ardhi na magharibi yake, hata iwe chembe ya mchanga haitoondoa maana kwamba wewe si mdini.
 
Ramadhan ni ngumu na siyo nyepesi kama kwaresma yetu ambayo unaamua kufunga kula chakula kimoja, Mimi kwaresma ya mwaka huu nimefunga kula makande siku 40 zikiisha bila kula makande ndo nimekamilisha kufunga.

Tofauti kabisa na Ramadhan yenyewe unajizuia kufunga na kula chochote kwanzia alfajiri ya kweli hadi kuzama kwa jua kwahiyo ni tofauti.
Muongozo huu wa funga umeutoa wapi ndugu. Unaweza kunukuu hata andiko moja linaloelekeza aina hii ya funga?
 
Huyo Mkristo unayemzungumzia ni yupi? Mimi ninaowajua nami nikiwa mmojawapo tunafunga 24 Hrs na wengine siku 3 tena bila kujitangaza
Masaa 24 yakiisha huwa hauli pia ila unakula neno la Mungu alafu unafunga siku 9 bila kula siyo?
Hakuna watu wanaokula mtaani kama wakristo katika kipindi hiki cha kwaresma au ndo huwa wanaigiza kama wanakula ila wakifika nyumbani wanajitapisha ili tusijue kama wamefunga kwakua wanafunga kisiri?
 
Maandiko ya Biblia yanakataza kufunga kwa showoff katika imani ya kikristo

Matthew 6:16-18
[16]Moreover when ye fast, be not, as the hypocrites, of a sad countenance: for they disfigure their faces, that they may appear unto men to fast. Verily I say unto you, They have their reward.
Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao.

[17]But thou, when thou fastest, anoint thine head, and wash thy face;
Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;

[18]That thou appear not unto men to fast, but unto thy Father which is in secret: and thy Father, which seeth in secret, shall reward thee openly.
ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi. Kuhusu Hazina

Huwezi kujua kuwa mkristp amefunga kwa kuwa hatakaa aonyeshe funga yake kwa public kama wafanyavyo Waislam. Kutokuona kuwa wakristo wanafunga inaonyesha dhahiri kuwa wanatekeleza hilo agizo la Kristo kikamilifu.
NA achana na hizo porojo zako ukweli upo wazi wakristo hawafungi na kila mtu hata wakristo wenyewe mnajua hakuna cha kwaresma wala december nyie ni kula tu , sasahivi mpo kwaresma angia lunch time ofisini kwako utaniambia wakristo wangapi wanafunga nakuhakikishia haitozidi watatu out of 50, ila ni nadra kukuta muislamu hafungi mwezi wa ramadhani na hiyo dunia nzima inajua, haya muandishi ni mkristo na yupo zake southafrica ika kaona tofauti ya kwaresma na ramadhani
 

Attachments

  • Screenshot_20240320-072925_Facebook.jpg
    Screenshot_20240320-072925_Facebook.jpg
    125 KB · Views: 3
NA achana na hizo porojo zako ukweli upo wazi wakristo hawafungi na kila mtu hata wakristo wenyewe mnajua hakuna cha kwaresma wala december nyie ni kula tu , sasahivi mpo kwaresma angia lunch time ofisini kwako utaniambia wakristo wangapi wanafunga nakuhakikishia haitozidi watatu out of 50, ila ni nadra kukuta muislamu hafungi mwezi wa ramadhani na hiyo dunia nzima inajua, haya muandishi ni mkristo na yupo zake southafrica ika kaona tofauti ya kwaresma na ramadhani
Kwenye hio pich kuna maneno "The period of fasting can never be interrupted by anyone"

Tafsiri: Funga ya Ramadan haiwezi kuharibiwa na mtu yoyote

Hajui lolote huyo karopoka tu, Aende hapo Zanzibar ajaribu kula hadharani aone venye atashushiwa stiki mpaka azione nyota, mtu asiehusika na kufunga ale hadharani anaharibu vipi funga ya mwengine ?
 
Muongozo huu wa funga umeutoa wapi ndugu. Unaweza kunukuu hata andiko moja linaloelekeza aina hii ya funga?
Kwahiyo unakataa kuwa funga ya kikristo ni kuacha kula chakula unachopenda? Mimi nimefunga kula makande maana ndo chakula nachopenda vingine vyote nakula.

Tena unaweza kufunga tu kunywa chai bila sukari au chakula bila chumvi ndo ikawa umefunga chakula,
Lakini bado huwa hatuwezi kufunga ndo maana Ramadhani imekua inaheshimika zaid na hata sasa tupo ndani ya kwaresma ila ni kama haipo kwakua sisi wenye kwaresma hatutekelezi hayo, tumebakia kuwachukia wanaotekeleza ibada yao kwa heshima kubwa .
 
Back
Top Bottom