Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Haya elezea funga ya kwaresma huwa inatekelezwa vipi? Inafungwa siku 40 bila kula?
Kwa kuwa umetaka kujua acha nikupe maandiko sasa ya namna ya funga ya kikristo. Hii ipo mara 2 kufunga bila kula wala kunywa kwa kipindi chote cha maombi. Inaweza kuwa kwa siku mpaka 3 bila kula wala kunywa chochote.

Exodus 34:28
[28]And he was there with the LORD forty days and forty nights; he did neither eat bread, nor drink water. And he wrote upon the tables the words of the covenant, the ten commandments.
Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi. Uso wa Musa Ung’aao

Matthew 4:2
[2]And when he had fasted forty days and forty nights, he was afterward an hungred.
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.

Luke 4:2
[2]Being forty days tempted of the devil. And in those days he did eat nothing: and when they were ended, he afterward hungered.
akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.

Esther 4:16
[16]Go, gather together all the Jews that are present in Shushan, and fast ye for me, and neither eat nor drink three days, night or day: I also and my maidens will fast likewise; and so will I go in unto the king, which is not according to the law: and if I perish, I perish.
Uende ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Shushani, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.

Au kufunga na kula jioni hadi jioni huku ukiwa kwenye maombi.

Leviticus 23:32
[32]It shall be unto you a sabbath of rest, and ye shall afflict your souls: in the ninth day of the month at even, from even unto even, shall ye celebrate your sabbath.
Itakuwa kwenu sabato ya kustarehe kabisa, nanyi mtazitesa nafsi zenu; siku ya kenda ya mwezi wakati wa jioni, tangu jioni hata jioni, mtaishika hiyo Sabato yenu. Sikukuu ya Vibanda

Pia uelewe funga sio lazima kwa Wafuasi wa Kristo. Maandiko yanatuambia kuwa tufunge tu pale ambapo neema ya Kristo inapokuwa imeondoka kwetu au tukiwa kwenye maombi maalum. Hivyo issue za kufunga kwaresma sio kwa ajili ya Wakristo wote bali wale wanaoichuchumilia neema ya Kristo iliyoondolewa kwao au wenye maombi maalum kwa wakati huo.

Mark 2:18-20
[18]And the disciples of John and of the Pharisees used to fast: and they come and say unto him, Why do the disciples of John and of the Pharisees fast, but thy disciples fast not?
Nao wanafunzi wake Yohana na Mafarisayo walikuwa wakifunga; basi walikuja, wakamwambia, Kwani wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo hufunga, bali wanafunzi wako hawafungi?
[19]And Jesus said unto them, Can the children of the bridechamber fast, while the bridegroom is with them? as long as they have the bridegroom with them, they cannot fast.
Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kufunga maadamu bwana-arusi yupo pamoja nao? Muda wote walipo na bwana-arusi pamoja nao hawawezi kufunga.
[20]But the days will come, when the bridegroom shall be taken away from them, and then shall they fast in those days.
Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana-arusi, ndipo watakapofunga siku ile.

Pia kuna wakati kama mkristo unapata kibano cha Mungu kutokana na kukengeuka. Namna pekee ya kupata huruma na neema ya msamaha wa Mungu ni kufunga kula na kunywa huku ukimuomba Mungu.

Acts 9:8-12
[8]And Saul arose from the earth; and when his eyes were opened, he saw no man: but they led him by the hand, and brought him into Damascus.
Sauli akainuka katika nchi, na macho yake yalipofumbuka, hakuona kitu; wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski.
[9]And he was three days without sight, and neither did eat nor drink.
Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi.
[10]And there was a certain disciple at Damascus, named Ananias; and to him said the Lord in a vision, Ananias. And he said, Behold, I am here, Lord.
Basi palikuwapo Dameski mwanafunzi jina lake Anania. Bwana akamwambia katika maono, Anania. Akasema, Mimi hapa, Bwana.
[11]And the Lord said unto him, Arise, and go into the street which is called Straight, and enquire in the house of Judas for one called Saul, of Tarsus: for, behold, he prayeth,
Bwana akamwambia, Simama, enenda zako katika njia iitwayo Nyofu, ukaulize katika nyumba ya Yuda mtu aitwaye Sauli, wa Tarso; maana, angalia, anaomba;
[12]And hath seen in a vision a man named Ananias coming in, and putting his hand on him, that he might receive his sight.
naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.

Nadhani utakuwa umeelewa sasa.
 
NA achana na hizo porojo zako ukweli upo wazi wakristo hawafungi na kila mtu hata wakristo wenyewe mnajua hakuna cha kwaresma wala december nyie ni kula tu , sasahivi mpo kwaresma angia lunch time ofisini kwako utaniambia wakristo wangapi wanafunga nakuhakikishia haitozidi watatu out of 50, ila ni nadra kukuta muislamu hafungi mwezi wa ramadhani na hiyo dunia nzima inajua, haya muandishi ni mkristo na yupo zake southafrica ika kaona tofauti ya kwaresma na ramadhani
Katika ukristo hakuna muda maalum wa kufunga brother. Pia kufunga sio lazima maana hata Yesu mwenyewe hakuwalazimisha wanafunzi wake kufunga ila aliwapa hiyari ya kufanya hivyo.
 
Huyu mtangazaji maarufu southafrica amekuwa muwazi na kuvutiwa na waislamu wanavyotekeleza ibada zao na ni wengi wanavutiwa hata wewe mleta hoja umevutiwa ndio maana umeamua kuja na chuki zako zisizokuwa na msingi.

View attachment 2943090
Dini za waarabu na wazungu zinawatoa roho rudin kwenye Iman zenu za kweli kuabudu mizimu na kufanya sadaka Kwa Mungu
 
Ya zanzibar kubughudhi watu wanaokula mchana yaishie hukohuko, yasije huku bara yataleta balaa. Bara utakuta msikiti una fremu yenye mgahawa mkubwa na chakula kinaliwa mchana wala hakuna waislam wa kubugudhi wanaokula mchana.
 
Mbona unapenda sana udini mzee?

Kwani kwa kutumia upeo wako wa kawaida unashindwa kung'amua aina fulani za mada nikianzisha zitaleta kurushiana maneno watu wa imani tofauti?!

Yaani mada zako za kidini dini sijui una matatizo gani?!
Tuachieni sisi haya machoko ya kigalatia
Tunapiga za uso na kuufunga uzi, hakuna mjadala nao
 
Mada zingine ni mapuuza. Wangelazimishwa kufunga kwa saa 24 zingeibuka hoja kwamba imani yao ni katili. Tuheshimu imani za watu mradi hazidhuru shughuli zetu.
Utaheshimu vipi dini ya mtu inayowalazimisha watu kufunga pasipo matakwa Yao harafu unasema Ili mradi HAZIDHURU shughuli zako.
hapo Zanzibar ni mama ntilie au migahawa mingapi inaDHURIKA na hiyo Imani ya kulazimishana kufunga?
Wao kufunga kwa masaa hayo ni imani yao kwanini ikukere na kuanzishia uzi wenye mrengo wa dhihaka ndani yake?
IMANI Yako kukuruhusu wewe kufunga kula kwanini imlazimishe na asiyehusika na yeye kuzuiwa kula ? na hapo ndo watu wanapojiuliza .
 
I am Working in an office where Christian are dominant. I am Muslim ☪️ and I have my boundaries when it comes to gossip umbea na usengenyaji hawa wagalatia nimewaonya kimasihara kuhusu kusengenyana.

Kiukwelinkama hujui udhaifu wa watu kaa nao na jifanye mwezao utaona mengi.
 
Ramadhan ni ngumu na siyo nyepesi kama kwaresma yetu ambayo unaamua kufunga kula chakula kimoja, Mimi kwaresma ya mwaka huu nimefunga kula makande siku 40 zikiisha bila kula makande ndo nimekamilisha kufunga.

Tofauti kabisa na Ramadhan yenyewe unajizuia kufunga na kula chochote kwanzia alfajiri ya kweli hadi kuzama kwa jua kwahiyo ni tofauti.
hata hivyo hiyo si funga ya kikristo, ni funga kikatoliki
 
Hii dini imejaa waigizaji ni hatari, kuna jamaa angu tunafanya nae kazi za saidia fundi eti nae akawa anadai amefunga, sasa juzi kuna site moja ya mbali kidogo na tunapoishi tulikuwa tunaenda kupiga kazi hivyo tukakubaliana tuwahi asubuhi sana, ile kumi na moja alfajiri me nikawa tayari njiani naenda ghetto kwake kumpitia ili tuanze safari, kufika nakuta mwamba katenga ugali na samaki flani wadogowadogo (huku kanda ya ziwa wanaita furu) wa kukaanga anafukia mashimo hana habari, nikamuuliza kulikoni sheikh na ulidai umefunga? Jibu nililopewa, ..Hamna shida nitalipa kwenye SITA😂
 
Upuuzi mtupu
Sawa Mchunga Kondoo
Kitumbua kimeshangia mchanga
1711247008855.png
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :

Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.

Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa.

Upande wa pili ukila saa moja jioni unaweza kutupia tena mida ya saa nne flani hivi kabla hujalala, hapo bado tena kuna daku la saa kumi alfajiri, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakipiga daku lakini bado wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
Kuna mashindano ya kufunga mkuu? Kama yapo mshindi huzawadiwa nini? Ficha upumbavu wako wa kuweka pua yako inayonuka kwenye imani za watu. Mimi ni mkristo ila wenzetu wana unafuu sana kwenye imani yao... wametunza misingi yao. Sisi wakristo tupambane kujirekebisha tulipopotoka.
 
Moderator nashangaa sana nyuzi za kueneza chuki kama hizi mnaziacha ila tukipost zetu mnazifuta fasta au kuunganisha na nyuzi zingine. Kuna siku nilipost kuhusu kada wa CHADEMA ndugu James Delicious kukisapoti chama chake kwenye madai ya katiba mpya mkaufuta ule uzi fasta.
 
I am Working in an office where Christian are dominant. I am Muslim ☪️ and I have my boundaries when it comes to gossip umbea na usengenyaji hawa wagalatia nimewaonya kimasihara kuhusu kusengenyana.

Kiukwelinkama hujui udhaifu wa watu kaa nao na jifanye mwezao utaona mengi.
Aisee
Ningependa sana kuwa kwenye hiyo ofisi, wangetia akili mashoga hao
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :

Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.

Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa.

Upande wa pili ukila saa moja jioni unaweza kutupia tena mida ya saa nne flani hivi kabla hujalala, hapo bado tena kuna daku la saa kumi alfajiri, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakipiga daku lakini bado wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
Kaa na kwaresma yako tuache na Ramadhani yetu,
 
Back
Top Bottom