Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Shida ni muda wa kufunga au idadi ya milo maana kuna nchi za scandnavia watu wanafunga kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku takriban masaa takriban masaa 17 had 18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funga yangu inanikataza kutukana je vipi kwako ewee kufar funga yako ya kwaresma imekuruhusu kutukana kama ulivyonituka? Au imekuruhusu kutukana ila uweke ** kumuhadaa mungu wako asijue kama ulitukana ?Matusi aliyaanza Mtume Mudy, mimi ni Mgalatia tu niliyejifunza kwake
Nyie mnaona nguruwe TU,angekuwa si kiumbe Mungu anachokitaka asingekiumba.Vipi kuhusu matunguri mbona husemi?Kwani wagalatia huwa mnafata maandiko ya biblia? Nyie si huwa mnafata ya kwenu dini imepita pembeni? Mngekua mnafata maandiko mngeanza na hii
Walawi (11:7-8)
Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao”
Duuh!!! Waislamu wanafunga kwa hiyari au wanalazimishwa.Siyo kwamba tunawaonea wivu waislam? Maana wao wanaheshimu funga yao kuliko sisi wakristo ambao huwa hatufungi kabisa tunaenda kupaka majivu tu.
Aliejitahidi sana kufunga anachagua kufunga kula kitu kimoja anakwambia kafunga kula kachori.
Sisi waislam hatuna hiyari katika maelekezo ya mwenyezi Mungu akisema tufunge tunafunga wenye hiyari kwa maneno ya mnaemuabudu ni nyie wagalatia ambao mmekatazwa kula nguruwe katika biblia ila mnaendelea kula tena kwa kujisifu.Duuh!!! Waislamu wanafunga kwa hiyari au wanalazimishwa.
Hakuna mtu wa kumuonea wivu muislam labda wewe.
Unaposema unafunga makande kama mfungo moyoni unajua unafunga boshen tu bora uache.
Ramadhan ni ngumu na siyo nyepesi kama kwaresma yetu
Mkuu wewe ni dini gani!?Sisi waislam hatuna hiyari katika maelekezo ya mwenyezi Mungu akisema tufunge tunafunga wenye hiyari kwa maneno ya mnaemuabudu ni nyie wagalatia ambao mmekatazwa kula nguruwe katika biblia ila mnaendelea kula tena kwa kujisifu.
Ndiyo nilikua mgalatia nikatoka katika kufuru nikaingia katika uislamMkuu wewe ni dini gani!?
Post ya kwanza ulikuwa mkristo ya sasa muislam
Tofauti ya wakristo na waislamu, waislamu mko very emotional ndio maana mnachinjana nyie kwa nyie nyie kwa makafiri kama mnavyodai.Sisi waislam hatuna hiyari katika maelekezo ya mwenyezi Mungu akisema tufunge tunafunga wenye hiyari kwa maneno ya mnaemuabudu ni nyie wagalatia ambao mmekatazwa kula nguruwe katika biblia ila mnaendelea kula tena kwa kujisifu.
Masaa machache yaliyopita ulikuwa mgalatia dakika chache mbele muislamu.Ndiyo nilikua mgalatia nikatoka katika kufuru nikaingia katika uislam
Post ya kwanza muislamu ila baadae ghafla umebadilisha diniNdiyo nilikua mgalatia nikatoka katika kufuru nikaingia katika uislam
Post nyingi sana anasema ni mkristo ila yuko bize kuutukana na kashfu ukristoMasaa machache yaliyopita ulikuwa mgalatia dakika chache mbele muislamu.
Ndio maana nimeshangaa comment ya kipumbavu kabisa kuwahi kuiona hata mkristo layman hawezi kuitoa kumbe ni ya sheikh ubwabwa
Waislamu huwa akili zao wanazijua wao mtu anaye pretend mkristo atashindwa kupretend amefungaPost nyingi sana anasema ni mkristo ila yuko bize kuutukana na kashfu ukristo
Ni mnafki sana na sijui anapata faida gani
Kwani sisi wagalatia yupo ambae siyo layman?Masaa machache yaliyopita ulikuwa mgalatia dakika chache mbele muislamu.
Ndio maana nimeshangaa comment ya kipumbavu kabisa kuwahi kuiona hata mkristo layman hawezi kuitoa kumbe ni ya sheikh ubwabwa
Wewe huwezi kuwa at the same time mgalatia same time muislamu chagua upande.Kwani sisi wagalatia yupo ambae siyo layman?
Haya nimechagua mimi ni mgalatiaWewe huwezi kuwa at the same time mgalatia same time muislamu chagua upande.
Au kuna shida upstairs ni member wa milembe
Then your dumb and foolishHaya nimechagua mimi ni mgalatia
Uncle bright na Mjanja M1 ni madogo wanahangaika humi jf balaa.Acheni watu wafanye kile imani yao inataka hata kama hukubaliani nao.