Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Hii nchi wakristo wengi sana, lakn kulalamika sasa & kuwasema waislamu humu JF kumezidi. Yaan kuna post ukiisoma unaona kabisa huyu kaandika kwa hasira kali au huku analia.
Bora uandike emotionally kuhusu UMEME. Over[emoji41]
Freedom of speech
 
Freedom of speech
Ndo inafanya mtu mzima kuonekana akili kisoda, Fikiria post zinazohusu UDINI au SIMBA na Yanga utakutana na Comments za kushushiana heshima kwa wingi. Kuna post hazi make sense unaona kabisa mtu anataka aanzishe fujo.
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :

Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.

Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa.

Upande wa pili ukila saa moja jioni unaweza kutupia tena mida ya saa nne flani hivi kabla hujalala, hapo bado tena kuna daku la saa kumi alfajiri, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakipiga daku lakini bado wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
huu ni wakati watu wanakula kuliko wakati usio wa mfungo, bajeti inaandaliwa kabisa mapemaaaa, kuanzia jioni hadi asubuhi watu wanajaza vyakula hadi tumbo linapata shida, mchana mzima ameshiba na anawaza tu jioni itafika saa ngapi aanze tena kula.
 
Ndo inafanya mtu mzima kuonekana akili kisoda, Fikiria post zinazohusu UDINI au SIMBA na Yanga utakutana na Comments za kushushiana heshima kwa wingi. Kuna post hazi make sense unaona kabisa mtu anataka aanzishe fujo.
Wanaofanya fujo ni wanaokosa uvumilivu wanapokosolewa au kusemwa vibaya.
Watu kusema au kuandika vibaya, kukosoa kwa kejeli ni sehemu ya freedom of speech.
 
Sina upande na criticize kote kote nikiona mambo hayapo sawa, hivyo ukiona nimehamia upande wako usiniite mdini,




Kwani huna kazi ya kufanya zaidi ya kushughulika na dini za watu? Aah hii nchi kuna watu mna kazi aise.
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :

Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.

Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa.

Upande wa pili ukila saa moja jioni unaweza kutupia tena mida ya saa nne flani hivi kabla hujalala, hapo bado tena kuna daku la saa kumi alfajiri, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakipiga daku lakini bado wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
Nilimsikia shehe mmoja anasema muda wa mwisho wa kula daku ni saa 04:50AM.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Embu tuonyeshe mkristo mmoja tu anayefunga hivyo? Mnavyopenda kula tangu lini mkafunga wenyewe mnajijua kama dini imeshawapita pembeni dunia mmeiweka mbele kiufupi 99% ya wakristo hawafungi funga yao ni kula ila usishibe, ndio maana hata hiyo kwaresma haieshimiwi duniani kote kwasababu hawafungi
Unachekesha kweli watu wanaenda saba kavu nn masaa 12??na wapo kibao na wala hawana kelele
 
I am Working in an office where Christian are dominant. I am Muslim ☪️ and I have my boundaries when it comes to gossip umbea na usengenyaji hawa wagalatia nimewaonya kimasihara kuhusu kusengenyana.

Kiukwelinkama hujui udhaifu wa watu kaa nao na jifanye mwezao utaona mengi.
Umbea ni tabia ya mtu wala si suala la dini huko uswahilini wanakokodishiana mpka ngoma za kusutana wamejaa dini gani???
 
Kwa kuwa umetaka kujua acha nikupe maandiko sasa ya namna ya funga ya kikristo. Hii ipo mara 2 kufunga bila kula wala kunywa kwa kipindi chote cha maombi. Inaweza kuwa kwa siku mpaka 3 bila kula wala kunywa chochote.

Exodus 34:28
[28]And he was there with the LORD forty days and forty nights; he did neither eat bread, nor drink water. And he wrote upon the tables the words of the covenant, the ten commandments.
Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi. Uso wa Musa Ung’aao

Matthew 4:2
[2]And when he had fasted forty days and forty nights, he was afterward an hungred.
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.

Luke 4:2
[2]Being forty days tempted of the devil. And in those days he did eat nothing: and when they were ended, he afterward hungered.
akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.

Esther 4:16
[16]Go, gather together all the Jews that are present in Shushan, and fast ye for me, and neither eat nor drink three days, night or day: I also and my maidens will fast likewise; and so will I go in unto the king, which is not according to the law: and if I perish, I perish.
Uende ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Shushani, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.

Au kufunga na kula jioni hadi jioni huku ukiwa kwenye maombi.

Leviticus 23:32
[32]It shall be unto you a sabbath of rest, and ye shall afflict your souls: in the ninth day of the month at even, from even unto even, shall ye celebrate your sabbath.
Itakuwa kwenu sabato ya kustarehe kabisa, nanyi mtazitesa nafsi zenu; siku ya kenda ya mwezi wakati wa jioni, tangu jioni hata jioni, mtaishika hiyo Sabato yenu. Sikukuu ya Vibanda

Pia uelewe funga sio lazima kwa Wafuasi wa Kristo. Maandiko yanatuambia kuwa tufunge tu pale ambapo neema ya Kristo inapokuwa imeondoka kwetu au tukiwa kwenye maombi maalum. Hivyo issue za kufunga kwaresma sio kwa ajili ya Wakristo wote bali wale wanaoichuchumilia neema ya Kristo iliyoondolewa kwao au wenye maombi maalum kwa wakati huo.

Mark 2:18-20
[18]And the disciples of John and of the Pharisees used to fast: and they come and say unto him, Why do the disciples of John and of the Pharisees fast, but thy disciples fast not?
Nao wanafunzi wake Yohana na Mafarisayo walikuwa wakifunga; basi walikuja, wakamwambia, Kwani wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo hufunga, bali wanafunzi wako hawafungi?
[19]And Jesus said unto them, Can the children of the bridechamber fast, while the bridegroom is with them? as long as they have the bridegroom with them, they cannot fast.
Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kufunga maadamu bwana-arusi yupo pamoja nao? Muda wote walipo na bwana-arusi pamoja nao hawawezi kufunga.
[20]But the days will come, when the bridegroom shall be taken away from them, and then shall they fast in those days.
Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana-arusi, ndipo watakapofunga siku ile.

Pia kuna wakati kama mkristo unapata kibano cha Mungu kutokana na kukengeuka. Namna pekee ya kupata huruma na neema ya msamaha wa Mungu ni kufunga kula na kunywa huku ukimuomba Mungu.

Acts 9:8-12
[8]And Saul arose from the earth; and when his eyes were opened, he saw no man: but they led him by the hand, and brought him into Damascus.
Sauli akainuka katika nchi, na macho yake yalipofumbuka, hakuona kitu; wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski.
[9]And he was three days without sight, and neither did eat nor drink.
Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi.
[10]And there was a certain disciple at Damascus, named Ananias; and to him said the Lord in a vision, Ananias. And he said, Behold, I am here, Lord.
Basi palikuwapo Dameski mwanafunzi jina lake Anania. Bwana akamwambia katika maono, Anania. Akasema, Mimi hapa, Bwana.
[11]And the Lord said unto him, Arise, and go into the street which is called Straight, and enquire in the house of Judas for one called Saul, of Tarsus: for, behold, he prayeth,
Bwana akamwambia, Simama, enenda zako katika njia iitwayo Nyofu, ukaulize katika nyumba ya Yuda mtu aitwaye Sauli, wa Tarso; maana, angalia, anaomba;
[12]And hath seen in a vision a man named Ananias coming in, and putting his hand on him, that he might receive his sight.
naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.

Nadhani utakuwa umeelewa sasa.
Maelezo mengi lakini sijaona namna mnavyofunga kwa kifupi wakristo hawafungi kabisa wanaacha kula chakula kimoja tu kila mtu anachagua chakula chake cha kufunga mwingine anafunga kula choroko, mwingine anafunga kula magimbi, mwingine anakunywa chai bila sukari hapo ndo wanajihesabia wamefunga.
 
Kuhusu kula Waislam ni walafi sana kipindi hiki na siku ya Idd

Mwaka jana kuja Waislam walioluwa wabaswali sana siku ya Idd walipiga misosi na kutualika na mpaka K-VANT walinunulia watu

Mbona mpaka Mdudu wanakula😂
Misikitini sahivi wanafuturisha na wanoongoza kuvamia kula futari ya bure ni wakristo
 
Wakristo Halisi hawafungi kwa msimu kama Waislam

Wakristo haswa wanafunga siku yoyote pale mioyo yao inapokuwa na uhitaji wa msaada wa Mungu, naweza amua kufunga hata masaa 12 tu kwa siku 3 nikiwa na jambo la kuombea

Suala la kufunga kwa msimu na kuzuga kuacha dhambi halafu baada ya mfungo ukaendelea na dhambi zako ni UNAFIQ
Muislam anafunga za Sunna anafunga mwezi wowote siku ya jumatatu na alhamis ya kila wiki zipo funga za sunna na siyo kwamba waislam wanafunga ramadhani tu, Ramadhan ni mwezi ambao ni muhiamu kufunga kwa kila muislam mwenye afya njema.

Ingekua wakristo hawana siku maalum ya kufunga kwaresma isingekuwepo na wakaita mfungo wa kwaresma ambayo kiuhalisia hawafungi ila wanapumzika kula chakula kimoja.
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :

Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.

Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa.

Upande wa pili ukila saa moja jioni unaweza kutupia tena mida ya saa nne flani hivi kabla hujalala, hapo bado tena kuna daku la saa kumi alfajiri, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakipiga daku lakini bado wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
Uko sahihi
 
Kuja kula chakula cha bure si vibaya, hata mimi nitakula

Lakini basically, Waislam hawafungi ni wanabadilisha muda wa kula

Nawewe unadamkaga saa 10 usiku kupiga msosi?
Ndiyo naamka kula msosi saa 10 na ninapata thawabu kwa kuamka kula muda huo.

Na wewe vipi kwaresma hii umefunga kula nini? makande au magimbi?
 
Embu tuonyeshe mkristo mmoja tu anayefunga hivyo? Mnavyopenda kula tangu lini mkafunga wenyewe mnajijua kama dini imeshawapita pembeni dunia mmeiweka mbele kiufupi 99% ya wakristo hawafungi funga yao ni kula ila usishibe, ndio maana hata hiyo kwaresma haieshimiwi duniani kote kwasababu hawafungi
Msingi wa kufunga ni nini?
 
Back
Top Bottom