Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye Chuki nasi Wakatoliki utawajua.
Kanisa la Katoliki lilianza rasmi karne ya nne wakati taifa la Warumi lilipokumbatia ukristo kupitia amri ya mtawala wake. Na katika kusimamia ukristo, ukatili mkubwa ulifanywa dhidi ya watu ambao walionekana kwenda kinyume na kile uongozii wa kanisa ambao ndio ulikuwa pia uongozi wa serikali ulitaka, kutia ndani kuwachoma moto kwa niaba ya hukumu ya Mungu (inquisitions).Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Hahahaaa! Alhad musa mchumia tumbo? Ngoja nikutafutie clip zake youtube alizokuwa anachambana na sheikh wa upanga ndio ujue kama yule ni sheikh au agent tuKanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Umenena shida binadamu wabishi sana.Hakuna bora hapo yaani, uwe mkatoric, muislam, mpentecost, mprotestant ama mlokole wote ni wamoja, namaanisha wote mko ktk kifungo kimoja cha akili ambacho ni din, na master wenu ni mkoloni(mungu kwa majina ya vificho) uo ukristo mnaoupigia promo umezaliwa juzitu miaka ya 300AD ktk mkutano was nincea uko kwa mabeberu na kum introduce fake Savior with white face, long hair and blue eyes who he's called Jesus(demon from Zeus converted names/ Azazel) na baada ya hapo ukristo yaan Krishna's religion(Christian religion) ukatengenezwa na kuwa ukatoric, na huu ndyo ulileta dini zngne kama uislam na madhehebu ya kikristo kama uprotestan, usabato,walokole na woote mnaojiita MNA dini zilzokuja na meli, kihistoria hakuna ushahid wa uwepo wa awo wahusika wa vitabu vyen vya dini.
unaebisha nikikwambia uje na shahid za uwepo wa yesu alieishi miaka2000 iliyopita utashindwa maana he is an imagination man created for brainwashing stupidity black people, wengi wenu mnaoshadadia izo dini hata uelewa wa maandiko nje ya box Amna zaid ya vitisho vyakipuuzi.
Dini zote na madhehebu yote ni uongo, maana yanatumia maandiko ya uongo yaliyokopiwa toka hadith za afrika ya kale, na kuleta imani mpya za pamoja ambazo lengo lake n kutawala akili,kupotosha ukwel, na kuficha historia ya dunia.
Muumba wakwel hapatikan ktk ayo magenge yenu ya ibada za kishetan za ijumaa,jmos na j2, maana zote mnamuabudu shetan ktk majina tofaut na uhusika tofauti, mtazid kufarakana na kutukanana sabb ya dini, na hayo ndyo aliyoyataka muanzilish wa hizi dini(divide and rule), kamwe hamuwez kuwa kitu kimoja ktk dini, Bali mnaweza kuwa kitu kimoja nje ya dini na mafundisho ya uongo, haya mambo nimesema sana lkn waafrika vichwa ngumu kukubal ukwel, wanapinga bila facts za maana, siku nyingine nitakuja humu na shahid za kuproof jinsi gani shetan anaabudiwa na izo dini zenu kwa njia tofaut na jinsi gan anawapa miujiza na feelings za uongo mnazopata mkiomba na kusingizia Roho mtakatifu kashukaView attachment 1948207
Hiyo ni catechism yao.... Hao ni kitu moja.....ni baba mmoja so lazima wasifianeNi Orthodox na Uislamu ndio utakuwa kitu kimoja kuwapiga mayahudi na wakristo angalia Orthodox wanafuga madevu kama waislamu mm mpk kanisa lao nimeingia hakuna bench za kukaa watu wote mmesimama sio Catholics .
Nani wa kumwamini Alhad Mussa?Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Chukua mtu aliyepagawa na mapepo, mpeleke kwa muumini wa kanisa Katoliki ili amuombee utashangaa ambavyo hawezi. Wanajivunia kuwa na kanisa kubwa lakini hawawajengi waumini wao ili wawe na nguvu za kiroho ili kushinda dhambi, nguvu za giza, mapepo, majini, wachawi, n.k. Wanajivunia ustaarabu na hekima ya ulimwengu (kwa kweli kwa hilo mko vyema sana) lakini nguvu za rohoni hamna kitu. Nitajivunia Yesu wangu daima (siyo dini wala dhehebu langu) anayenipa kushinda kwa nguvu zake ndani yangu.Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Katoliki hakuna ibada ya sanamu wala hakuna ushoga mkuu si vyema kukashfu imani za watu kwa maneno ya uongo. Kwa hapa wewe una chuki sasa.1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Wewe umeona kupigania sadaka..huku mkiachwa masikini na kwenda kujenga roma..acheni uzuzu..kama ni uzezeta wote mazezeta tu as long as upo katika imani hii.Kwa kweli sijawahi kusikia Catholic wakipigania sandaka kanisani kama ambavyo wakristo wengine wanazichapa kisa sadaka.
Thibitisha acha kutetea tu..mana the world inajua hilo hadi papa ameomba msamaha kwenye vitendo vya viovu ambavyo makasisis walivifanya kwa watoto wadogo.Katoliki hakuna ibada ya sanamu wala hakuna ushoga mkuu si vyema kukashfu imani za watu kwa maneno ya uongo. Kwa hapa wewe una chuki sasa.
Ukiuishi Ukatoliki Lazima Mbinguni Utaenda[emoji123][emoji123][emoji106]Sawa, ila MBINGUNI hautaenda kwa kuwa wewe ni mkatoliki.
Si kweli!Uislamu na ukatoliki unaendana kwa kiasi flani
Weka Ushahidi nani, lini, na wapi??Ndio tunajua ni kikundi cha kijasusi kinachotawala karibu kila serikali za ulimwengu!!!katoliki lilianzisha uislamu pia tunajua sana tu!!!
Yaani umenikata makali kweli kweli maana nilitaka kuandika hayo hayo labda kwa faida ya mtoa mada kanisa katoliki halipo kumhubiri Kristo bali ni maajenti wa ibilisi duniani,fuatilia ibada zenu vizuri ipo siku utakuja kugundua kuwa umepoteza muda wako mwingi kuabudu mahali pasipokukuza kiimani,ibada za sanamu Biblia imekataza ninyi mmeiondoa hiyo Amri kwenye biblia yenu hali kadharika kuombea wafu ninyi mnafanya wakati biblically ni kosa mwisho mnatumia jina la mnayemwita bikira Maria kwenye ibada zenu wakati hana impact yoyote kiimani isitoshe Maria sio bikira kwasasaNdio ukweli
Hata Papa alipotoa matamshi yenye mwelekeo wa kuunga mkono mashoga ilionekena wakristo wote ndio msimamo wao.
Hata Rwanda pale wapadre na watawa waliposhiriki mauwaji ilionekana wakristo wote wameshiriki.
Hivyo vyeo vya uaskofu, havipo kibiblia,
Huyo sheikh anatueleza Mambo yaliyo njee ya biblia