KwahiyoSasa hivi ni msimu Wa maembe na nanasi
Kanunue uleKwahiyo
Hadi kipind cha msimu mnanunua? Kweli huko daslama mambo ni magumu.Kanunue ule
Hivi nyie wezangu mnapataje raha kugegeda na kondomu?Ndio maana usipokuwa makini wanawake wanachomoa kondomu
Ndio fungu buku😂Hadi kipind cha msimu mnanunua? Kweli huko daslama mambo ni magumu.
Tafuta oversize....Hivi nyie wezangu mnapataje raha kugegeda na kondomu?
Hivi ushawahi kukaa kidogo na muathirika ukamwambia siku moja unatamani akupunguzie kiasi cha virusi alivyonavyo mwilini mwake ikiwa wewe hauna virusi alikujibu nini?Muathirika wa UKIMWI akikubali hali na kufuata masharti tu anaishi miaka mingi sana hata ya maisha ambayo ingebidi aishi .
Watu wengi wakufa kwa magonjwa kama Presha ,stroke ,Moyo , Sukari, Ajari na Majanga tuyaepuke sana haya pia pale inapobidi .
Ogopa ngwengwe ikiwa huna ukiwa nayo ni km unaishi na kansa,Overrated because you don't have it..
Fungu buku kwani hao ni dagaa mchele😅Ndio fungu buku😂
Tena kama kisukari ukibugi kidogo tuu matokeo yake ni papo kwa papoUkimwi sio ugonjwa hatari ki vile
Magonjwa hatari ni figo, kisukari na Moyo
Manyayaso tu😂Fungu buku kwani hao ni dagaa mchele😅
Sio umeua ni unaua hata sasa kuna mtu anakata Moshi muda huu sababu ya ngwengweUkimwi ni pandemic disease na umeua watu wengi Sana duniani
Wapwa hivi mnaelewa vizuri ngwengwe ilivyo balaa au mnajivua ubongo sababu wanasayansi wanajaribu kufanya ukarabati?Tena kama kisukari ukibugi kidogo tuu matokeo yake ni papo kwa papo
Acha kutisha watu wewe mie nina ngwengwe zaidi ya miaka 18 na bado nadundika mtaani na corona ili donda hapa.Wapwa hivi mnaelewa vizuri ngwengwe ilivyo balaa au mnajivua ubongo sababu wanasayansi wanajaribu kufanya ukarabati?