Tukiwa wakweli UKIMWI ni Overrated sana

Tukiwa wakweli UKIMWI ni Overrated sana

Muathirika wa UKIMWI akikubali hali na kufuata masharti tu anaishi miaka mingi sana hata ya maisha ambayo ingebidi aishi .kikubwa kuhakikisha kinga yako iko vizuri iwe kwa dawa -ARV plus lishe ..nk

Watu wengi wakufa kwa magonjwa kama Presha ,stroke ,Moyo , Sukari,kansa Ajali na Majanga..nk tuyaepuke sana haya pia pale inapobidi .
Chai
 
Back
Top Bottom