ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Haaa basi Wacha tuendelee kuyafaidi Kwa machoVumbi halisaidi kitu kwa mshangazi bila kitendea kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaa basi Wacha tuendelee kuyafaidi Kwa machoVumbi halisaidi kitu kwa mshangazi bila kitendea kazi
china europe America na kwenginekoUkimwi ni pandemic disease na umeua watu wengi Sana duniani
Mkuu ebu niwie radhi...😂😂😂😂Hata hivyo mkuu wewe ngoma hupati kamwe maana unapiga sekunde mbili waaaah hujitesi.
Ngoma wanapata kina Poor Brain brain wapenda mishangazi, huyu kijana lazima kaukwaa.
As is everything in life...Muathirika wa UKIMWI akikubali hali na kufuata masharti tu anaishi miaka
Bora ukimwi mara elufuMtoa mada ana hoja asikilizwe...
Ukilazimika uchague kati ya Ukimwi, kansa, kisukari, maradhi ya moyo au figo utachagua nini?
Omba usiupate.Muathirika wa UKIMWI akikubali hali na kufuata masharti tu anaishi miaka mingi sana hata ya maisha ambayo ingebidi aishi .kikubwa kuhakikisha kinga yako iko vizuri iwe kwa dawa -ARV plus lishe ..nk
Watu wengi wakufa kwa magonjwa kama Presha ,stroke ,Moyo , Sukari,kansa Ajali na Majanga..nk tuyaepuke sana haya pia pale inapobidi .
Kuliko nini?Bora ukimwi mara elufu
Kwamba siujui au ?Omba usiupate.
Maana hata hizo dawa za kufubaza makali zina side effects nyingi achilia mbali kunywa dawa kwa miaka yako yote utakayoishi duniani
Huku hadi kisamvu na tembele ni hela.Hadi kipind cha msimu mnanunua? Kweli huko daslama mambo ni magumu.
Hata corona tulitishana hivyo hivyo, hofu zikawauwa sana watu.Ukimwi unaona cha mtoto sababu umefanyiwa ukarabati kisukari kikifanyiwa ukarabati hamtokiogopa nyinyi rudi 1990 kisha ongea kuhusu ukimwi utanielewa nazungumzia nini
Mh...huo sio uhalisia, huku kutishana kuhusu ukimwi ibaki tu hiyo historia ya sijui mwaka 90 basi.Figo kisukari wapo wanaopona tatizo umasikini hayo maradhi kupona kwake ni gharama kubwa mno sababu huwezi kuirudisha kongosho kwa siku 1 na huwezi kuirudisha figo kwa siku 1
Ila ukimwi ni mbaya zaidi maana unasababisha kansa kaposisi sakoma ambayo ni hatari zaidi kuliko figo na kisukari yaan huponi ukipata kansa mwaka humalizi tena mwaka mbali miezi 6 hutoboi, ndio maana ukigundulika una ukimwi wanakuwahi na dawa kuviwahi virusi visikushambulie bila dawa wewe huwezi kuishi lazima ufe tu tena ndani ya muda mfupi yaan tukudunge virusi vya ukimwi kwenye mishipa yako ya damu tusikupe dawa yoyote hata penadol wewe hutoboi wiki tunakuzika
Mnateseka sana wana dasalamaHuku hadi kisamvu na tembele ni hela.
hahaSasa hivi ni msimu Wa maembe na nanasi.
haha ila watuTafuta demu mwenye VVU ugonge mkuu.
Ili hata mm nimeliona anatafuta unafuu wa lazima.Ukiona hivyo umepiga kavu sehemu mbaya hapa unajifariji...
Ukimwi ni gonjwa bayaa...