Tukiwa wakweli UKIMWI ni Overrated sana

Tukiwa wakweli UKIMWI ni Overrated sana

Hata hivyo mkuu wewe ngoma hupati kamwe maana unapiga sekunde mbili waaaah hujitesi.
Ngoma wanapata kina Poor Brain brain wapenda mishangazi, huyu kijana lazima kaukwaa.
Mkuu ebu niwie radhi...😂😂😂😂
Mi sikamii mkuu ila ni vile napenda sana haya mambo..

Sasa hivi kuna njia mpya hiyo inaitwa nyombi to bombi.. kupata ukimwi sahau mkuu
 
Muathirika wa UKIMWI akikubali hali na kufuata masharti tu anaishi miaka mingi sana hata ya maisha ambayo ingebidi aishi .kikubwa kuhakikisha kinga yako iko vizuri iwe kwa dawa -ARV plus lishe ..nk

Watu wengi wakufa kwa magonjwa kama Presha ,stroke ,Moyo , Sukari,kansa Ajali na Majanga..nk tuyaepuke sana haya pia pale inapobidi .
Omba usiupate.

Maana hata hizo dawa za kufubaza makali zina side effects nyingi achilia mbali kunywa dawa kwa miaka yako yote utakayoishi duniani
 
Ukimwi unaona cha mtoto sababu umefanyiwa ukarabati kisukari kikifanyiwa ukarabati hamtokiogopa nyinyi rudi 1990 kisha ongea kuhusu ukimwi utanielewa nazungumzia nini
Hata corona tulitishana hivyo hivyo, hofu zikawauwa sana watu.
 
Figo kisukari wapo wanaopona tatizo umasikini hayo maradhi kupona kwake ni gharama kubwa mno sababu huwezi kuirudisha kongosho kwa siku 1 na huwezi kuirudisha figo kwa siku 1

Ila ukimwi ni mbaya zaidi maana unasababisha kansa kaposisi sakoma ambayo ni hatari zaidi kuliko figo na kisukari yaan huponi ukipata kansa mwaka humalizi tena mwaka mbali miezi 6 hutoboi, ndio maana ukigundulika una ukimwi wanakuwahi na dawa kuviwahi virusi visikushambulie bila dawa wewe huwezi kuishi lazima ufe tu tena ndani ya muda mfupi yaan tukudunge virusi vya ukimwi kwenye mishipa yako ya damu tusikupe dawa yoyote hata penadol wewe hutoboi wiki tunakuzika
Mh...huo sio uhalisia, huku kutishana kuhusu ukimwi ibaki tu hiyo historia ya sijui mwaka 90 basi.
 
Ukimwi ni kweli ovaratedi mm nimelishi na mwanamke muathirika mwezi mzima nagegeda kila siki mzigua yule nilivokuja jua nikapiga tipa nikasalimika.pia nikalala na mwanamke mwingine kavukavu nkiwa nimelewa nae muathirika nikasalimika pia nikanyandua mgogo mmoja nae kawaka nikapona.yaani mpaka sasa mwanamke akiniambia kaungua na nina nyegezi zangu siogopi kumuweka naweka.
 
Back
Top Bottom