Tukiwa wakweli UKIMWI ni Overrated sana

Tukiwa wakweli UKIMWI ni Overrated sana

Mkuu me nimewashudia wote
Ila Figo na kisukari ni hatari sana
Yaani haya maradhi yakikupata huponi kirahisi na ni suala la muda haizidi miaka 5 utakufa tu
Mungu atuepushe na maradhi ya Figo na kisukari
Figo kisukari wapo wanaopona tatizo umasikini hayo maradhi kupona kwake ni gharama kubwa mno sababu huwezi kuirudisha kongosho kwa siku 1 na huwezi kuirudisha figo kwa siku 1

Ila ukimwi ni mbaya zaidi maana unasababisha kansa kaposisi sakoma ambayo ni hatari zaidi kuliko figo na kisukari yaan huponi ukipata kansa mwaka humalizi tena mwaka mbali miezi 6 hutoboi, ndio maana ukigundulika una ukimwi wanakuwahi na dawa kuviwahi virusi visikushambulie bila dawa wewe huwezi kuishi lazima ufe tu tena ndani ya muda mfupi yaan tukudunge virusi vya ukimwi kwenye mishipa yako ya damu tusikupe dawa yoyote hata penadol wewe hutoboi wiki tunakuzika
 
Acha Mzaha ndugu muandishi au wewe ni tomaso mpaka ukupate ndio utajua huo ugonjwa ni kitu gani?
 
We acha Bukoba watu walipukutika Kama Kama UPEPO. Ile 2001-2002 ilikuwa hatari Sana .
Ile ilikuwa zamani Sasa hivi ARV zinasaidia watu
Na kasi ya maambuzi inapungua
Maana hata ukikutana na mtu yupo doze virus vinakuwa vimefubaa ni ngumu kukuambukiza
 
Muathirika wa UKIMWI akikubali hali na kufuata masharti tu anaishi miaka mingi sana hata ya maisha ambayo ingebidi aishi .

Watu wengi wakufa kwa magonjwa kama Presha ,stroke ,Moyo , Sukari, Ajari na Majanga tuyaepuke sana haya pia pale inapobidi .

Naomba kutofautiana na hoja yako;


Yes ni kweli kuna magonjwa makubwa zaidi yanayotesa kuliko UKIMWI lakini hata UKIMWI wenyewe sio kitu cha kuchukulia rahisi na unaweza kukubadilishia mfumo wako mzima wa maisha. Kunywa dawa kila siku, kuishi maisha strict ya kula vizuri, kufanya mazoezi, kupata muda wa kupumzika, restrictions za kufanya mapenzi kwa kutumia kinga kila mara (including kwa mkeo au mumeo), unyanyapaa, resistance ya dawa inayopelekea uhamishiwe dawa nyingine, maudhi ya dawa, kuishi kwa kutunza siri, wengi inabidi waende vituo vya mbali ili wasionekane na wapendwa wao kukwepa unyanyapaa, na magonjwa mengine yanayoweza kusababishwa na ARTs, mfano Tenofovir inafahamika kusababisha Kidney Disease.

Mtu mwenye sukari au pressure anakunywa dawa kila siku lakini hakuna mambo ya unyanyapaa, hakuna sijui kwenda kituo cha mbali kuchukua dawa etc kwa hiyo naona still UKIMWI sio kitu cha kuchukulia poa. N aukumbuke ikitokea kwa bahati mbaya ukaenda stage CD4 count zikashuka sana, show yake yake ya magonjwa nyemelezi sio poa.

Endelea kumchukulia kila mtu kama mwathirika na usikubali kufanya mapenzi bila kinga na mtu usiejua hali yake maana kuna wengine nao hawajui kama wanao. Aidha, jiepushe sana na ngono kinyume na maumbile, tafiti zinaonesha prevalence ya maambukizi kwa watu wanaoshriki matopeni ni kubwa kuliko njia ya kawaida kibaiolojia.​
 
Naomba kutofautiana na hoja yako;


Yes ni kweli kuna magonjwa makubwa zaidi yanayotesa kuliko UKIMWI lakini hata UKIMWI wenyewe sio kitu cha kuchukulia rahisi na unaweza kukubadilishia mfumo wako mzima wa maisha. Kunywa dawa kila siku, kuishi maisha strict ya kula vizuri, kufanya mazoezi, kupata muda wa kupumzika, restrictions za kufanya mapenzi kwa kutumia kinga kila mara (including kwa mkeo au mumeo), unyanyapaa, resistance ya dawa inayopelekea uhamishiwe dawa nyingine, maudhi ya dawa, kuishi kwa kutunza siri, wengi inabidi waende vituo vya mbali ili wasionekane na wapendwa wao kukwepa unyanyapaa, na magonjwa mengine yanayoweza kusababishwa na ARTs, mfano Tenofovir inafahamika kusababisha Kidney Disease.

Mtu mwenye sukari au pressure anakunywa dawa kila siku lakini hakuna mambo ya unyanyapaa, hakuna sijui kwenda kituo cha mbali kuchukua dawa etc kwa hiyo naona still UKIMWI sio kitu cha kuchukulia poa. N aukumbuke ikitokea kwa bahati mbaya ukaenda stage CD4 count zikashuka sana, show yake yake ya magonjwa nyemelezi sio poa.

Endelea kumchukulia kila mtu kama mwathirika na usikubali kufanya mapenzi bila kinga na mtu usiejua hali yake maana kuna wengine nao hawajui kama wanao. Aidha, jiepushe sana na ngono kinyume na maumbile, tafiti zinaonesha prevalence ya maambukizi kwa watu wanaoshriki matopeni ni kubwa kuliko njia ya kawaida kibaiolojia.​
Umeandika point
Ila watu wakumbushwe kuhusu lifestyle zinazoweza kuwapa magonjwa hatari zaidi ya Ukimwi kama Figo na kisukari
Japo UKIMWI tusiuchukulievpoa
 
Huko ni kujifariji mkuu, UKIMWI NI UKIMWI TU....
Yaan haufananishwi....wanaishi maisha marefu sawa,ila changamoto wanazopata kutokana na kumeza madawa daily ni Siri yao...

Hivi wewe unasema nn sijui
 
Muathirika wa UKIMWI akikubali hali na kufuata masharti tu anaishi miaka mingi sana hata ya maisha ambayo ingebidi aishi .

Watu wengi wakufa kwa magonjwa kama Presha ,stroke ,Moyo , Sukari, Ajari na Majanga tuyaepuke sana haya pia pale inapobidi .

Naomba kutofautiana na hoja yako;


Yes ni kweli kuna magonjwa makubwa zaidi yanayotesa kuliko UKIMWI lakini hata UKIMWI wenyewe sio kitu cha kuchukulia rahisi na unaweza kukubadilishia mfumo wako mzima wa maisha. Kunywa dawa kila siku, kuishi maisha strict ya kula vizuri, kufanya mazoezi, kupata muda wa kupumzika, restrictions za kufanya mapenzi kwa kutumia kinga kila mara (including kwa mkeo au mumeo), unyanyapaa, resistance ya dawa inayopelekea uhamishiwe dawa nyingine, maudhi ya dawa, kuishi kwa kutunza siri, wengi inabidi waende vituo vya mbali ili wasionekane na wapendwa wao kukwepa unyanyapaa, na magonjwa mengine yanayoweza kusababishwa na ARTs, mfano Tenofovir inafahamika kusababisha Kidney Disease.

Mtu mwenye sukari au pressure anakunywa dawa kila siku lakini hakuna mambo ya unyanyapaa, hakuna sijui kwenda kituo cha mbali kuchukua dawa etc kwa hiyo naona still UKIMWI sio kitu cha kuchukulia poa. N aukumbuke ikitokea kwa bahati mbaya ukaenda stage CD4 count zikashuka sana, show yake yake ya magonjwa nyemelezi sio poa.

Endelea kumchukulia kila mtu kama mwathirika na usikubali kufanya mapenzi bila kinga na mtu usiejua hali yake maana kuna wengine nao hawajui kama wanao. Aidha, jiepushe sana na ngono kinyume na maumbile, tafiti zinaonesha prevalence ya maambukizi kwa watu wanaoshriki matopeni ni kubwa kuliko njia ya kawaida kibaiolojia.​
 
Ila ukimwi pia ujichunge..unaweza ukadhani utaishi sana lakini kumbe mwili uka react vingine...
Hakuna ugonjwa mzuri ila binafsi naogopa sana Kisukari na Figo zaidi ya UKIMWI
Kuna kipindi niliona wagonjwa nikabadili life style yangu ila Sasa Sasa nimeshindwa
 
Overrated because you don't have it..
Ukimwi usikie kwa mwenzako!
Unajua ukiwaona wanameza ARV wamenenepeana unadhani wazima,Fungus kila kona ya mwili,Sehemu za siri,Kooni na nk!
Na mda ukienda unacreate usaha kwenye uti wa mgongo na kwenye fuvu la kichwa!
Kwa hifupi ukipata unatembea ukiwa ndani umeharibika sana!
 
Hakuna ugonjwa mzuri ila binafsi naogopa sana Kisukari na Figo zaidi ya UKIMWI
Kuna kipindi niliona wagonjwa nikabadili life style yangu ila Sasa Sasa nimeshindwa
Jambo hatari sana kwa UKIMWI ni kupata magonjwa kama Ini na Figo na moyo kwa kuwa matumizi ya dawa kila siku hudhoofisha sana figo na ini
na ndo maana wagonjwa wengi wa UKIMWI ni wahanga sana wa ugonjwa wa Figo,ini.
 
Jambo hatari sana kwa UKIMWI ni kupata magonjwa kama Ini na Figo na moyo kwa kuwa matumizi ya dawa kila siku hudhoofisha sana figo na ini
na ndo maana wagonjwa wengi wa UKIMWI ni wahanga sana wa ugonjwa wa Figo,ini.
Aisee hapo nime surrender
 
Acha kutisha watu wewe mie nina ngwengwe zaidi ya miaka 18 na bado nadundika mtaani na corona ili donda hapa.
Siri ni moja tuu. Hsianze kutumia arv utakwisha. Piga mazoezi kula vizuri na pia ingia jf uwe unapiga story upungjze stress utaishi vizuri tuu
Hongera ila pia usiwaaminishe watu kuwa unaishi nomo kama mtu asiye na maambukizi never!
 
Acha kutisha watu wewe mie nina ngwengwe zaidi ya miaka 18 na bado nadundika mtaani na corona ili donda hapa.
Siri ni moja tuu. Hsianze kutumia arv utakwisha. Piga mazoezi kula vizuri na pia ingia jf uwe unapiga story upungjze stress utaishi vizuri tuu
Kwamba miaka 18 unadunda na mkono wa nyani bila kutumia tembe za minjingu
 
Back
Top Bottom