Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
Kunyongwa kwa mafisadi kuendane na matumizi sahihi ya rasilimali za nchi katika kumnufaisha mwananchi... Vinginevyo ni hasara kuwaua mafisadiMafisadi wanyongwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunyongwa kwa mafisadi kuendane na matumizi sahihi ya rasilimali za nchi katika kumnufaisha mwananchi... Vinginevyo ni hasara kuwaua mafisadiMafisadi wanyongwe tu
Mafisadi ndio huhakikisha mwananchi mnyonge hapati haki daima, kwahiyo kuwaacha hai hakutaleta matumuzi sahihi ya rasilimali abadanKunyongwa kwa mafisadi kuendane na matumizi sahihi ya rasilimali za nchi katika kumnufaisha mwananchi... Vinginevyo ni hasara kuwaua mafisadi
Ungeanza kwa kuwalaumu viongozi wa itikadi yako walioko maofisini wameshindwaje kununua hata mshumaa !!Hatukuona hata ofisi moja ya serikali ikipambwa angalau na maua tu, wacha taa za umeme zinazokula umeme kutoka kodi za wananchi na waislam wakiwemo kusherehekea sikuku za krismasi na pasaka
Mfumo ovu bado upo, kuweni makini
Povu ruksa
Upande wetu hata wakifanya ibada pembeni tu ya ofisi, tena kimya kimya binafsi tu utasikia oooh jamaa kajenga msikiti ofisini, inchi ina wenyewe hii bwasheeUngeanza kwa kuwalaumu viongozi wa itikadi yako walioko maofisini wameshindwaje kununua hata mshumaa !!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app