Tukiwaambia inchi ya wenyewe hii mnabisha

Tukiwaambia inchi ya wenyewe hii mnabisha

Hatukuona hata ofisi moja ya serikali ikipambwa angalau na maua tu, wacha taa za umeme zinazokula umeme kutoka kodi za wananchi na waislam wakiwemo kusherehekea sikuku za krismasi na pasaka
Mfumo ovu bado upo, kuweni makini
Povu ruksa
Na wakubwa bado mnawaza sikukuu
 
Hatukuona hata ofisi moja ya serikali ikipambwa angalau na maua tu, wacha taa za umeme zinazokula umeme kutoka kodi za wananchi na waislam wakiwemo kusherehekea sikuku za krismasi na pasaka
Mfumo ovu bado upo, kuweni makini
Povu ruksa
Kila siku mtabaki kulalama tu..!!! Leo hili kesho lile. Badala ya kujenga shule na mahospitali, mmebaki kujenga vituo vya mafuta na misikiti..!!

1. Hukuona JPM akichangisha hela kanisani kule Dodoma ili mjengewe msikiti?

2. Hukuona Mkapa akigawa chuo cha serikali (TANESCO) kule Morogoro kuwa chuo kikuu cha kiislamu

3. Hujaona benki ya taifa NBC inaanzisha islamic banking badala ya waislamu kuanzisha benki yao?

4. Hukuona Nyerere akitaifisha shule zilizokuwa zinamilikiwa na wakrito huku yenu moja tu (Tambaza) ikitaifishwa ili kupunguza ap la elimu kutoka wakristo kuwa juu hadi tuwe tunafanana?

Kweli mahindi hayaoti mjini..!!
 
Kila siku mtabaki kulalama tu..!!! Leo hili kesho lile. Badala ya kujenga shule na mahospitali, mmebaki kujenga vituo vya mafuta na misikiti..!!

1. Hukuona JPM akichangisha hela kanisani kule Dodoma ili mjengewe msikiti?

2. Hukuona Mkapa akigawa chuo cha serikali (TANESCO) kule Morogoro kuwa chuo kikuu cha kiislamu

3. Hujaona benki ya taifa NBC inaanzisha islamic banking badala ya waislamu kuanzisha benki yao?

4. Hukuona Nyerere akitaifisha shule zilizokuwa zinamilikiwa na wakrito huku yenu moja tu (Tambaza) ikitaifishwa ili kupunguza ap la elimu kutoka wakristo kuwa juu hadi tuwe tunafanana?

Kweli mahindi hayaoti mjini..!!
Wasiwasi wa nini sasa?
Mpaka sasa inchi ni yenu hilo halina shaka,
Lakini basi msifuje mali ya walipa kodi kusherehekea sikukuu za kidini?

Kuweni waadilifu

Vipi M. O. U? Kati ya serikali na kanisa?Unajua habari zake lakini?

We acha tu ni heri unyamaze kuliko kutonesa vidonda yatamwagika mengi hapa tena mshangae bureee
 
Wasiwasi wa nini sasa?
Mpaka sasa inchi ni yenu hilo halina shaka,
Lakini basi msifuje mali ya walipa kodi kusherehekea sikukuu za kidini?

Kuweni waadilifu

Vipi M. O. U? Kati ya serikali na kanisa?Unajua habari zake lakini?

We acha tu ni heri unyamaze kuliko kutonesa vidonda yatamwagika mengi hapa tena mshangae bureee
1. MOU inatafutwa haikufuati ulipo

2. Nchi yetu sote, na ndiyo maana hata Rais ni muislamu. Na aliyekuwa Rais (mkristo), Mkapa aliwapa waislamu eneo lenye majengo wakakifanya kuwa chuo kikuu cha kiislamu.

3. Uadilifu au wizi dini zote wamo. Kuanzia waislamu, wakristo na hata wasio kwenye dini hizo mbili. Kile kiwanja cha waislamu pale Kibasila (DSM) kiliuzwa na wakristo? TATIZO LENU MNALALAMA KILA KUKICHA. Mikareti mnayojifunza huko misikitini wakristo wanahusika?
 
Hatukuona hata ofisi moja ya serikali ikipambwa angalau na maua tu, wacha taa za umeme zinazokula umeme kutoka kodi za wananchi na waislam wakiwemo kusherehekea sikuku za krismasi na pasaka
Mfumo ovu bado upo, kuweni makini
Povu ruksa
Hawatakuwa wazi mayahudi na manaswara hadi mfate mila zao
 
Hatukuona hata ofisi moja ya serikali ikipambwa angalau na maua tu, wacha taa za umeme zinazokula umeme kutoka kodi za wananchi na waislam wakiwemo kusherehekea sikuku za krismasi na pasaka
Mfumo ovu bado upo, kuweni makini
Povu ruksa
Ni utamaduni tu hakuna lolote nchi ya wote hii. Kwani wewe sikukuu ya Idd huwa unapamba nyumbani kwako? sasa ulitaka nani akakupambie serikali?
Maeneo ya kibiashara/huduma huwa yanapambwa sikukuu ya krismas kuendandana utamaduni uliopo katika jamii wakristo walipo. Hivyo ofisi nyingi za serikali hufanya hivyo ili kuendana na ushindani wa kibiashara. Mnaweza kuiga utamaduni huo kipindo cha Idd sio vibaya
 
Ni utamaduni tu hakuna lolote nchi ya wote hii. Kwani wewe sikukuu ya Idd huwa unapamba nyumbani kwako? sasa ulitaka nani akakupambie serikali?
Maeneo ya kibiashara/huduma huwa yanapambwa sikukuu ya krismas kuendandana utamaduni uliopo katika jamii wakristo walipo. Hivyo ofisi nyingi za serikali hufanya hivyo ili kuendana na ushindani wa kibiashara. Mnaweza kuiga utamaduni huo kipindo cha Idd sio vibaya
Haya sawa
 
Back
Top Bottom