mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
- #21
Inchi ina wenyewe au haina?Sasa
kama sio utamaduni wa watu husika utawalazimisha?
Nazungumzia taa sio mishumaa ya kuwasha na kibiriti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inchi ina wenyewe au haina?Sasa
kama sio utamaduni wa watu husika utawalazimisha?
Kwani weye utakuwa mzungu? Au tayari?Mwarabu mtarajiwa huyo. Una uhakika wa kubadilika kuwa mwarabu ukifa kwenye
Wenye inchi haopovu si ruksa haya wewe ni nyumbu
Maswali ya nyongeza hayakashfa ya sukari ndo iko mezani
Shehe sio kanzu na kilembaSheikh wa kulilia baiskeli ume kuja hadi uku..ili bidi tuchinje ngamia
Tatizo mnatumia hela ya serikali kwenye sikukuu zenu, kapambeni makwenu na kwa hela zenuAnzeni kwanza na shehe wa msikiti wenu kumnunulia ka ist
Mada ni kutumia hela ya serikali kwenye sikukuu za kidini, full stop mengine mnatutoa inje ya madaUislam ni dini ya nomads ndio maana mambo yao huyafanya kama wanakimbia, ni utamaduni wa dini yao mtu akifa anazikwa dakika hiyo hiyo, na kukiwa na sherehe za kidini hufanyika kavu kavu na kwa haraka na kuisha, lakini hawaishi kulaumu Wakristo kuwa wanazikwa kwa gharama na kwa mapambo mengi.
Waislamu wengi inchi hii, ila mnatubana kwa mabavu tuAsilimia 95 niliokutana nao wamevaa shanga kiunoni ni akina Amina na Asha.
Kwani nyie mmekatazwa kutumia????Mada ni kutumia hela ya serikali kwenye sikukuu za kidini, full stop mengine mnatutoa inje ya mada
Ukishaona mtu kaandika "weye", huyo ni Kiembesamaki.Kwani weye utakuwa mzungu? Au tayari?
Sio udini, natetea maskahi ya inchiKinachosumbuwa akili yako ni udini na si kingine
Hata iwe kiembenyama muhimu umeelewa,Ukishaona mtu kaandika "weye", huyo ni Kiembesamaki.
Huo ndio ufisadi sasaKwani nyie mmekatazwa kutumia????
Tatizo hamna matumizi nazo mnaishia kulalamika
Tafuteni matumizi na nyie mtumie
Nyie mnateka barabara Kariakoo siku za Ijumaa kiasi wengine hatuwezi kupita. Zanzibar mmejimilikisha kisiwa kiasi hamtaki kuona imani zingineTatizo mnatumia hela ya serikali kwenye sikukuu zenu, kapambeni makwenu na kwa hela zenu
Acheni ufisadi
Kwani nani kawazuia kuweka mapambo ?????????Kwani weye utakuwa mzungu? Au tayari?
Wenyenchi yaoKwani nani kawazuia kuweka mapambo ?????????
We muislam acha wivu huwezi ifananisha dini yenu ilokuja juzi na dini kongwe