Tukiwaambia inchi ya wenyewe hii mnabisha

Tukiwaambia inchi ya wenyewe hii mnabisha

Nyie mnateka barabara Kariakoo siku za Ijumaa kiasi wengine hatuwezi kupita. Zanzibar mmejimilikisha kisiwa kiasi hamtaki kuona imani zingine
Kariakoo eneo la waislamu, zanzibar inchi ya kiislamu na bado tunawapa nafasi sana,
Ilitakiwa tubane mpaka msemee
Sema nini, sie waungwana bwashee
 
Nimetoka kapa

Angalizo ni ngumu sana kuelewa thread hii
Amemaanisha hivi: Krismas na pasaka ofisi za Serikali hupambwa mithili ya nyumba za Wakristo, lakini wakati wa sikukuu ya Waislamu ya kuchinja hakuna kilichofanyika. Ameona kama sherehe za Kikristo zinapewa heshima kwenye ofisi za Serikali ilhali za Kiislamu hazijaliwi.
 
Hatukuona hata ofisi moja ya serikali ikipambwa angalau na maua tu, wacha taa za umeme zinazokula umeme kutoka kodi za wananchi na waislam wakiwemo kusherehekea sikuku za krismasi na pasaka
Mfumo ovu bado upo, kuweni makini
Povu ruksa
Andaeni viwakilishi vya sherehe/sikukuu zenu navyo viwekwe mtakapo na umeme wa walipakodi utumike.Kwa mfano,wale huweka miti halisi au bandia yenye mapambo na taa aina kwa aina au sanamu za katoto kamelala kamezungukwa na watu wazima na wanyama.Za serikali huwekwa mabango makubwa yenye jumbe mbalimbali zenye picha wakilishi.Sasa,ni muda muafaka mfanye ubunifu na kuacha ufunifu!
 
Mnalalamikia Hadi mapambo?? Sasa kama 95 sio waumini wa mwamedi ulitaka apambe nani?? Kuleni wali mtulie sherehe zenyewe KAZI kupelekeana moto hamna Cha maana kabisa
 
Andaeni viwakilishi vya sherehe/sikukuu zenu navyo viwekwe mtakapo na umeme wa walipakodi utumike.Kwa mfano,wale huweka miti halisi au bandia yenye mapambo na taa aina kwa aina au sanamu za katoto kamelala kamezungukwa na watu wazima na wanyama.Za serikali huwekwa mabango makubwa yenye jumbe mbalimbali zenye picha wakilishi.Sasa,ni muda muafaka mfanye ubunifu na kuacha ufunifu!
Tatizo ni kulazimisha dini zenu sehemu za kazi, na pindi wenzenu wakifanya ibada pembeni tu tayari mnazushia mpaka mawaziri eti wamejenga msikiti ofisini
Acheni ufisadi wa kutumia rasilimali za inchi kufisidi kodi za watanzania
 
Nimesoma mara mbili nimetoka kapa. Nikarudi kuangalia ID ya mtoa mada nikajua ni yule mzee wa Butiama
 
Mnalalamikia Hadi mapambo?? Sasa kama 95 sio waumini wa mwamedi ulitaka apambe nani?? Kuleni wali mtulie sherehe zenyewe KAZI kupelekeana moto hamna Cha maana kabisa
Tunalalamikia ufisadi wa kodi za wanainchi, sio mapambo , usihamishe magoli
kupeleka moto ni maumbile ya mwanadamu hata kwenu wapo
 
Back
Top Bottom