mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
- #41
Kariakoo eneo la waislamu, zanzibar inchi ya kiislamu na bado tunawapa nafasi sana,Nyie mnateka barabara Kariakoo siku za Ijumaa kiasi wengine hatuwezi kupita. Zanzibar mmejimilikisha kisiwa kiasi hamtaki kuona imani zingine
Ilitakiwa tubane mpaka msemee
Sema nini, sie waungwana bwashee