Tukiweka ushabiki maandazi pembeni, pale Mashariki ya Kati zinaongea akili ukubwa tu!

Tukiweka ushabiki maandazi pembeni, pale Mashariki ya Kati zinaongea akili ukubwa tu!

MGOGOHALISI

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
3,294
Reaction score
4,920
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
 
Uwekezaji kwenye tech ya kutengeneza silaha sio mbaya ila hauna tija

Wawekeze kwenye teknolojia ya manufacturing wapandishe uchumi

Wakajifunze kwa nchi za Far East Asia

Vita ni uchumi plus bajeti ya ulinzi ya taifa
 
Ndugu wagombanapo...
who will win 😅🤣.jpeg
 
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Ukiona upo kwenye taifa la watu wanajisifia kucheza vikoba vya laki laki kimbia.
 
Tukimbilie wapi mkuu tumezaliwa humu humu 😀 😀 😀
Basi msiwe mnafikiri matumizi makubwa ya akili maana kwa kiasi kikubwa mnaishi kama wanyama wa kufugwa. kwa mfano Ukienda kumuuliza Samia leo hii ana mipango gani na Tanzania anayotaka kuiongoza utagundua hana vision yoyote ya maana zaidi ya kuwaza kujipodoa na kibadilisha mitandio.
 
Serikali ya CCM wamewekeza kwenye intellinjensia ya jeshi la polisi kuwa track chadema
 
Umeandika ukweli kabisa.nimewaza kama ndiyo Tanzania chini ya huyu kizimkazi wetu ndiyo tuna tuna uhasama na Israeli au Iran sijui ingekuwaje?.halafu mbaya zaidi ni kwamba,pamoja na kuwa wenzetu wako kwenye vita lakini Bado Wanamaisha mazuri kuliko sisi.yaani wametuzidi Kila kitu.
 
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Sisi hata kunya tu hatunyi ipasavyo.

Mods kwani nasema uwongo?

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom