MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Sisi tuna bet tu na kunywa pombe za kupima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamisi umepanga kunigombanisha na watu wema.hiyo avatar ni uchochezi
subiri zamo yako, wawakuja hukohuko IlalaHamisi umepanga kunigombanisha na watu wema.
Hii roho umeitoa waaapi ?.
Kama wanapenda kulamba mchanga waje tu.subiri zamo yako, wawakuja hukohuko Ilala
Tmetengeneza mangapi ya aina hiyo? 😀 😀 😀 😀Hayo ni maswala ya Projectile Motion. Ukisha determine umbali ( range ), then unaset kombora lifumuliwe katika angle gani na speed gani. Ni physics tu hio mkuu
kizalisha UTI yule, bado niko chamani till faza notisiMou anasemaje lakini ?
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.
Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.
Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.
Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pal
sisi wanajeshi we2 ni wataalam wavunja matofali kwa kichwa na kuvuta pikipiki kwa meno!!Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.
Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.
Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.
Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Huku kiongozi anaitisha mkutanoNdio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.
Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.
Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.
Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Huku kwetu uchawa tu.Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.
Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.
Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.
Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Tmetengeneza mangapi ya aina hiyo? 😀 😀 😀 😀
Wapi 😄kizalisha UTI yule, bado niko chamani till faza notisi
utaalam we2 sio mdogo man!!!...wee huonagi wanajeshi we2 wanaruka kutoka kwenye helikopta kama HARMONAIZ!!!,,,,,alafu wanapigana kung fu kama BOLO YANG tena mbele ya amiri jeshi mkuu!!!....jeshi le2 noma jamaa!!Sisi uwezo mdogo mkuu, hizo vitu zinahitaji bajeti kubwa sana.
Hata sisi tuna akili bana. Polisi wetu anaweza akapiga risasi juu na bado ikamfuata mwanafunzi wa chuo ndani ya daladala, na mwanafunzi akafa.🤣🤣🤣🤣Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.
Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.
Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.
Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Usiku lazima uwe mrefu..Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.
Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.
Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.
Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale