Tukiweka ushabiki maandazi pembeni, pale Mashariki ya Kati zinaongea akili ukubwa tu!

Tukiweka ushabiki maandazi pembeni, pale Mashariki ya Kati zinaongea akili ukubwa tu!

@Mods saidia hiyo tittle badala na neo "ukubwa" isomeke "kubwa"
 
Hayo ni maswala ya Projectile Motion. Ukisha determine umbali ( range ), then unaset kombora lifumuliwe katika angle gani na speed gani. Ni physics tu hio mkuu
 
sisi
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pal

Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
sisi wanajeshi we2 ni wataalam wavunja matofali kwa kichwa na kuvuta pikipiki kwa meno!!
 
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Huku kiongozi anaitisha mkutano
Anasema kuna bonanza wakina dullard makabila watakuwepo

Ova
 
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Huku kwetu uchawa tu.
 

MGOGOHALISI

Ume andika vyma sana,
Watu wa kabila zetu hizi, hatukupewa uwezo huo.
Uwezo wetu uko kwenye kusifia sifia na kujigalagaza.
Sio ajabu ukamsikia mbuge/diwani akimshukuru mama kwa hatua za iran kujibu mashambuizi israel
 
Sisi uwezo mdogo mkuu, hizo vitu zinahitaji bajeti kubwa sana.
utaalam we2 sio mdogo man!!!...wee huonagi wanajeshi we2 wanaruka kutoka kwenye helikopta kama HARMONAIZ!!!,,,,,alafu wanapigana kung fu kama BOLO YANG tena mbele ya amiri jeshi mkuu!!!....jeshi le2 noma jamaa!!
 
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Hata sisi tuna akili bana. Polisi wetu anaweza akapiga risasi juu na bado ikamfuata mwanafunzi wa chuo ndani ya daladala, na mwanafunzi akafa.🤣🤣🤣🤣
 
Uzuri wetu sisi kila m2 anamlaumu mwenzake lkn ukiangalia kweny sector yake hakuna alichofanya yaan ni huzun yetu
 
Ukisoma comments kwenye huu uzi,
Unaweza kudhani hizi comments zinaandikwa na watu wa mataifa ya nje!
Kila mtu ana lalamika na kila mtu anamlaumu mwenzake na wengine wenawacheka wenzao!

😀😀
 
Ndio, tukiweka ujinga ujinga mwingi pembeni pale mashariki ya kati zinaongea akili kubwa tu. Hebu fikiria Iran inarusha kombora linavuka Iraq na Siria na kutua Israel tena mjini kabisa. Hata kama halijaua mtu lakini fikiria watu waliokaa mpaka wakaja na hiyo silaha! Wenzetu wanatumia akili vizuri jamani tuache masihara.

Halafu fikiria ile IRON DOME ya israel. Inakupigia hesabu kuwa hili kombora linalokuja litatua wapi na kama hiyo sehemu ina watu wanaishi basi ndio interception inafanyika. Wairan kwa kujua hilo wanavurumusha makombora mengi kwa mpigo hadi IRON DOME inakua jammed!!!! Jamani jamani wenzetu wako dunia nyingine. Sisi bado tunagawa baiskeli ili tutangaziane mikutano ya wananchi mtaani kujadili shida ya maji na tunapata mvua kila mwaka. Tuoneni aibu kidogo.
Halafu fikiria zile drone za Iran na Uturuki. Ngoma zinapenya anga bila kuwa detected na rada tena za kivita!!!!! Jamani wenzetu wanatumia akili.



Mwisho nisisitize pale mashariki ya kati akili kubwa zinaongea. Ni walioamua kuwekeza kwenye akili sio uchawa uchawa na kuabudu vyama au mwanasiasa. Akili halisi inaonekana Mashariki ya kati. Israel, Iran, Russia, Marekani, Uturuki wanaume wameacha akili ziongee.

Sishabikii vita wala vifo ila jamani mashariki ya kati akili zinaongea pale
Usiku lazima uwe mrefu..
 

Attachments

  • 17278549028670.mp4
    3.1 MB
Mimi huwa najiuliza sana... ni Mungu ndyo aliamua rangi nyeupe na nyeusi(sisi) tuwe tofauti kimaendeleo kulinganisha na watu weupe? Au sisi ni wavivu wa kufikiria?

Mtu asilete habari za ukoloni hapa eti ndyo sababu za utofauti wa kimaendeleo kati yetu...
 
Back
Top Bottom