Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Kwema wazee?

Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.

Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.

Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Unajua Saa zingine mtu Unaweza kuwa unafanya kitu Fulani Kumbe mwenzako anawaza vingine . Ndoa ina wakati in cool off na wakati things are hot ..fight for your marriage
 
Sasa rafiki yangu mtu amefiwa na babu unahamia huko................. huoni kama umeenda sana deep ulitakiwa uende kuzika na kurudi siku hiyo hiyo ama uende leo uzike kesho alfajiri uondoke usingekuwa na haya malalamiko.
 
Kwema wazee?

Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.

Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.

Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Ukiona Manyoya ujue kaliwa
 
Hivi huwa mnaoa ili mteseke !?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkuu.....Sasa aache shughuli za msiba...aanze kukuhudumia ww
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ndio asijue mwenzake kala Nini !?
Mbona binamu zake ana wahudumia inshort hapo Hana mke
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto

Huwa unamtia vizuri?

Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza

Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe

Zamu ya mabinamu kuhudumiwa

[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza kwenda kujinyonga [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
Hata Mimi nimeshangaa angeenda siku 1 tu na kurudi ingetosha, au angekwenda siku ya matanga
 
Shaur Lako Ndio Nakueleza Sasa.....

Mkono Mtupu Haulambwi. Njoo Uchaggani Uone. Huna Hela Kaa Pembeni. We unadhani wachagga wanavyo komaa mjini kutafuta hela ukajua ni bahati mbaya....

Mchagga Usipokua na Hela Sisi Kwetu Unaonekana Failure / Hujapevuka Bado. So Kaa Kwa Kitulia.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
hivi babu tu, mkwe anafunga safari....si angempa tu wife nauli na rambirambi.
halafu sijui atakua mkwe kapuku make wakwe hawashtushwi na uwepo wake
Mmeanza, [emoji1][emoji1][emoji1]
Halafu mwamba kakaa siku 3 Hana Kazi za kufanya eti !?
 
Back
Top Bottom