Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Wanajamvi!

Hili halipingiki. Tuko tayari kufa, kupigwa na kubaguliwa na Wa Israeli/wayahudi. Myahudi akikupiga, kukuua na kukubagua hiyo ni mibaraka. Mungu alilinde taifa teule la Israel. Pia tunawaombea kheri ndugu zetu wa Palestina kikubwa tu waitafute na waijue Kweli.

20240322_002405.jpg
 
Ila Niggaz ni wabishi. Nothing we can do we've been told if yo bless Israel you will be blessed if you curse Israel you will be cursed no matter what they do toyou segregation, kill you and hate you but you must stick to the scriptures.

Niggaz our hands are tied nothing we can do
20240322_002405.jpg
 
Mathayo 21:43

Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Ufalme wa Muumba ulishahama kutoka mashariki ya kati (Israel) kama yesu alivyosema na sasa umehamia mashariki halisi (Tanzania) ambalo ndilo taifa baba na Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote.
 
Ila Niggaz ni wabishi. Nothing we can do we've been told if yo bless Israel you will be blessed if you curse Israel you will be cursed no matter what they do toyou segregation.

Niggaz our hands are tied nothing we can do
View attachment 2738517
Mkuu we unaona hao maniggaz wako blessed hapo? Mimi naona kama wana life gumu kinoma kuliko hata Taliban...
 
Mkuu we unaona hao maniggaz wako blessed hapo? Mimi naona kama wana life gumu kinoma kuliko hata Taliban...
Hao wamekuzidi mara billion. Wana faraja ya moyo na uhakika wa uzima wa milele.

Wewe utakapokuwa motoni wenyewe wana enjoy kula matunda zayuni wakifurahia kuwaona simba na mwanakondoo wakicheza pamoja.

Shtuka na utafute uzima wa milele.
 
Haijalishi imeandikwa kwa vyovyote vile ukimbariki muisrael unabarikiwa ukimlaani unalaaniwa
Wakina Netanyahu ni wa mchongo hao ni wa Israeli walipotea na ni washirika wa karibu wa Shetani, wenyewe wa kuwafuata ni Daudi, Selemani, Musa, Issa, Haruni, Yakobo nk (Peace be upon them) pamoja na wema waliowafata katika misingi yao.
 
Hao wamekuzidi mara billion. Wana faraja ya moyo na uhakika wa uzima wa milele.

Wewe utakapokuwa motoni wenyewe wana enjoy kula matunda zayuni wakifurahia kuwaona simba na mwanakondoo wakicheza pamoja.

Shtuka na utafute uzima wa milele.
Hahaha imeandikwa kilicho ndani kinajidhihirisha nje. Hao jinsi walivyo mwonekano wao wanaonekana hata hiyo amani hawana.
 
Mathayo 21:43

Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Ufalme wa Muumba ulishahama kutoka mashariki ya kati (Israel) kama yesu alivyosema na sasa umehamia mashariki halisi (Tanzania) ambalo ndilo taifa baba na Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote.
Fafanua kuhusu Tanzania na madai unayodai hapo ,tupe facts Tz hii ambayo raia wake hawana furaha wamejaa makasiriko kiasi ambacho wenyewe wanajiona wapo katika nchi ya kipumbavu.
 
Back
Top Bottom