Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

Ulihama lini sangapi,Kwa tz hapa sio kwa ccm hii,ungesema USA ungeeleweka.

Muumba alishasema haangalii kama watu na wanadamu waangaliavyo na pia alishasema katika

1korintho 1:27-28 “bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;

tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;”


Hivyo amekuja kuviinua vinyonge kuwaaibisha wenye nguvu. Ukifikiria kwa akili ya kibinadamu utafeli maana alishasema akili yake haichunguziki (isaya 40:28).
 
Huo ni ushirikina na ujinga tupu.
Maandiko hayamaanishi Taifa hili la mazayuni
 
Wayahudi wenye asili ya Ethiopia wanauawa kila mara na wale wayahudi wazungu wanaodai ngozi nyeusi sio binaadamu bali ni Nyani waliolaaniwa.
Mtu mweusi asie muislamu mpk kesho atanyanyaswa na mzungu sababu toka mwanzo kaambiwa yesu alikuwa mzungu na ndie wanaemuabudu.
Wajinga ndio wali wao
Vipi kule Tunisia Libya Morocco watu weusi Waislamu wananyanyaswa na kubaguliwa?
 
Vipi kule Tunisia Libya Morocco watu weusi Waislamu wananyanyaswa na kubaguliwa?
Hizo nchi zote ni za AFRICA na kuna wananchi WEUSI wa asili ya hapo. Ndio maana hujawahi kuona kwenye chombo chochote cha habari kuwa kuna mlibya au mmoroco mweusi kanyanyaswa kwa sababu ndani ya familia ya weupe kuna weusi wengi tu.
Mimi mmoja wapo. Nina watu weupe na website kwenye familia yangu. Damu moja
 
Ila Niggaz ni wabishi. Nothing we can do we've been told if yo bless Israel you will be blessed if you curse Israel you will be cursed no matter what they do toyou segregation, kill you and hate you but you must stick to the scriptures.

Niggaz our hands are tied nothing we can do
View attachment 2738517
Huu Ni uchizi
 
Huu ni Ujinga wa Karne wa Mwafrika! Simama na Taifa lako kijana, ni mtanzania simama na Tanzania yako, ni mganda simama na Uganda yako, ni mnyarwanda simama na Rwanda yako, nk
Mwache Mwisraeli asimama na Taifa lake la Israeli.
Wewe Mwafrika huku unakufa ni maskini kwa sababu ya ufisadi, rushwa, ubadhirifu wa mali, dhuruma, nk katika nchi yako haya ndiyo ya kupambana nayo katika Taifa lako!
 
Huu ni Ujinga wa Karne wa Mwafrika! Simama na Taifa lako kijana, ni mtanzania simama na Tanzania yako, ni mganda simama na Uganda yako, ni mnyarwanda simama na Rwanda yako, nk
Mwache Mwisraeli asimama na Taifa lake la Israeli.
Wewe Mwafrika huku unakufa ni maskini kwa sababu ya ufisadi, rushwa, ubadhirifu wa mali, dhuruma, nk katika nchi yako haya ndiyo ya kupambana nayo katika Taifa lako!
Vijana wamekua brain washed mpk wamekua mazuzu
 
Ni kazi kwelikweli kumshawishi mtu ambaye tayari ni brainwashed, kuhusu Wayahudi feki wa kizungu.
 
Wayahudi wenye asili ya Ethiopia wanauawa kila mara na wale wayahudi wazungu wanaodai ngozi nyeusi sio binaadamu bali ni Nyani waliolaaniwa.
Mtu mweusi asie muislamu mpk kesho atanyanyaswa na mzungu sababu toka mwanzo kaambiwa yesu alikuwa mzungu na ndie wanaemuabudu.
Wajinga ndio wali wao
Lakini Sheikh hata Uislam haumuoni Mtu mweusi kama binadamu
 
Lakini Sheikh hata Uislam haumuoni Mtu mweusi kama binadamu
Leta andiko. Sio bla bla za vilabuni.
Kwenye UKRISTO wala hawajifichi ktk kumbagua mtu mweusi.

Wapi ulisikia PAPA mweusi?
Hata katibu wake ni marufuku kuwa mweusi.
Mtu mweusi anaonekana kwenye kubeba ile gauni yake tu.

Kingine. Picha walizoamua kutangazia UKRISTO.
Yesu MZUNGU
Mama yake MZUNGU.
Malaika WAZUNGU .
Mpk wachunga kondoo WAZUNGU.

Picha ile ya Last supper WAZUNGU TUPU.

Santa clause 🧑‍🎄 MZUNGU
Christmas nzuri inaitwa (WHITE CHRISTMAS).

Movie zote za Yesu WAZUNGU.
Viongozi wote waanzilishi wa MADHEHEBU YOTE YA KIKRISTO WAZUNGU.

Halafu hapo hapo ndani ya Bible SHETANI ni MWEUSI.
Watu wa Jahanamu WEUSI.
Uchawi (BLACK MAJIC).
Utapeli (BLACK MARKET)
Ukiwa muhalifu unaandikwa kwenye (BLACK LIST)



Hio kwenye UISLAMU umeshwahi Kuona upuuzi huo.?
 
Leta andiko. Sio bla bla za vilabuni.
Kwenye UKRISTO wala hawajifichi ktk kumbagua mtu mweusi.

Wapi ulisikia PAPA mweusi?
Hata katibu wake ni marufuku kuwa mweusi.
Mtu mweusi anaonekana kwenye kubeba ile gauni yake tu.

Kingine. Picha walizoamua kutangazia UKRISTO.
Yesu MZUNGU
Mama yake MZUNGU.
Malaika WAZUNGU .
Mpk wachunga kondoo WAZUNGU.

Picha ile ya Last supper WAZUNGU TUPU.

Santa clause 🧑‍🎄 MZUNGU
Christmas nzuri inaitwa (WHITE CHRISTMAS).

Movie zote za Yesu WAZUNGU.
Viongozi wote waanzilishi wa MADHEHEBU YOTE YA KIKRISTO WAZUNGU.

Halafu hapo hapo ndani ya Bible SHETANI ni MWEUSI.
Watu wa Jahanamu WEUSI.
Uchawi (BLACK MAJIC).
Utapeli (BLACK MARKET)
Ukiwa muhalifu unaandikwa kwenye (BLACK LIST)



Hio kwenye UISLAMU umeshwahi Kuona upuuzi huo.?
Uislam na Ukristo kwa kutumia akili zetu kwa dhati ni tamaduni kandamizi. Uislam uko kwa ajili ya Waarabu, na Ukristo uko kwa ajili ya Wazungu, kama ambavyo Hinduism iko kwa ajili ya Wahindi.

Ni muda muafaka sasa Waafrika kujitafuta na kurudi kwenye asili yetu.
 
Leta andiko. Sio bla bla za vilabuni.
Kwenye UKRISTO wala hawajifichi ktk kumbagua mtu mweusi.

Wapi ulisikia PAPA mweusi?
Hata katibu wake ni marufuku kuwa mweusi.
Mtu mweusi anaonekana kwenye kubeba ile gauni yake tu.

Kingine. Picha walizoamua kutangazia UKRISTO.
Yesu MZUNGU
Mama yake MZUNGU.
Malaika WAZUNGU .
Mpk wachunga kondoo WAZUNGU.

Picha ile ya Last supper WAZUNGU TUPU.

Santa clause 🧑‍🎄 MZUNGU
Christmas nzuri inaitwa (WHITE CHRISTMAS).

Movie zote za Yesu WAZUNGU.
Viongozi wote waanzilishi wa MADHEHEBU YOTE YA KIKRISTO WAZUNGU.

Halafu hapo hapo ndani ya Bible SHETANI ni MWEUSI.
Watu wa Jahanamu WEUSI.
Uchawi (BLACK MAJIC).
Utapeli (BLACK MARKET)
Ukiwa muhalifu unaandikwa kwenye (BLACK LIST)



Hio kwenye UISLAMU umeshwahi Kuona upuuzi huo.?
We utakuwa umelewa ghahawa siyo bure. Nani kakwambia Yesu ni Mzungu. Leta andiko.

Kuhusu Uislam na dharau kwa weusi jisomee mwenyewe:

Some hadiths
Sahih Bukhari 9:87:161
Narrated 'Abdullah: The Prophet said, "I saw (in a dream) a black woman with unkempt hair going out of Medina and settling at Mahai'a, i.e., Al-Juhfa. I interpreted that as a symbol of epidemic of Medina being transferred to that place (Al-Juhfa)."


Ishaq:243
"I have heard the Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal.' He was a sturdy black man with long flowing hair,


Narrated Anas bin Malik: Allah's Apostle said, "You should listen to and obey, your ruler even if he was an Ethiopian (black) slave whose head looks like a raisin."


Sahih Bukhari 9:89:256
In another Hadith, Mohammed is quoted as saying that Blacks are, "pug-nosed slaves". (Sahih Moslem vol. 9 pages 46 and 47).

We jamaa unapenda tuanze tena zile ligi za zamani mm nilishaacha na sikujibu tena!

Nakuletea
mgeni
BAKIIF Islamic
Citizen B
Che mittoga na
Gavana

Muendeleze mpambano

Gavana rafiki yako Kipala yuko wapi?
 
Back
Top Bottom